Bwana yesu asifiwe wapendwa
habarini za jumapili ..natumaini mmerudi salama toka kanisani,mlioshindwa mungu awawezeshe wiki ijayo kuwepo madhabahuni..nimewiwa kukumbushana jambo hili si jipya bali...
Natumaini wote mu wazima wa afya njema. Mie mzima kama jiwe nadunda maisha kwa raha zangu.
Nimewaza sana kulingana na hali ya maisha ya sasa na jinsi mambo yanavyendelea kubadilika nikaona ngoja...
Kabla hatujaoana nilikuwa nafanya sana mazoezi kwa ajili ya kujiweka fit na ili niwe na mivuto hasa kwa wasichana na wavulana wavivu wanaotamani miili ya wenzao wafanya mazoezi huku wao...
Juzi siku ya Ijumaa ya tarehe 23/9/2011 usiku katika kipindi cha Kipima Joto cha ITV kilichokuwa kikiongozwa na Reinfred Masako, mmoja wa wachangiaji katika mjadala huo mama Rehema Mwateba kutoka...
Rafiki yangu ana galfrd wake ambae wamedumu nae kwa takribani mwaka sasa,jamaa alikua na mipango mizuri sana kumhusu huyu dada lakni imetokea jamaa kabadilika ghafla baada ya yule mdada kumwambia...
Nadhani watu wengi hawajadhani na kuona umuhimu wa jambo hili...
Kila siku inapoanza (hasa za kazi kwa sisi wafanyakazi) tuna masaa mengi ya kututenga na wapenzi wetu kwa zile shughuli na pilika...
Habari wana JF wenzangu, kuna kitu kinanitatiza sijui kinasababishwa na nini, kila nachofanya nahisi kuna kitu kina miss, najaribu kula chakula nikipendacho bado nahisi sijaridhika, najaribu kuwa...
Stor inaanzia miaka zaid ya 20 iliyopita ambapo wawili hawa wote wakiwa watumishi katika shirika moja, walikuwa katika mahusiano yaliyofikia stage ya uchumba na kutambulishana nyumbani. Kwa sababu...
Wana MMU habari za weekend?
Nimeona nianzishe Uzi huu baada ya The Finest kunitafakurisha kwenye Uzi wake "what make u stay"
Ni mara nyingi sana kwa kwa baadhi ya waume kupiga wake zao naomba...
Wanawake ambao wana vurugu za kindoa na hasa kufujwa na waume zao, huwa wanapoteza saa nyingi za kazi kwa kiasi cha asilimia 40 ukilinganisha na wanawake ambao ndoa zao hazina vurugu. Muda huo...
Hivi urembo wa mwanamke uko wapi??
Mpaka sasa ninachanganyikiwa kutokana na mambo yafuatayo;
1.Wengi wanadhani ni sura(hawa hawanipi shida,wamepotea njia)
2.Wengine wanachukulia kuwa ni sehemu za...
Habari za Jumapili ndugu zangu wapendwa, nimekuwa najiuliza hili swala,
kila mtu akiwa na upweke ana njia yake ya kuondoa upweke alionao
na mimi pia huwa nina njia zangu za kuondoa upweke nilio...
Imenichukua muda kuisimulia hii hadithi iliyo ya kweli..
Nahisi ni mie mwenyewe katika dunia hii nilokumbwa na mkasa huu wa aibu na ambao sitausahau maishani..
Ama kweli sikusikia la mkuu na...
Yaani siku hizi wanawake wenye midevu iliyosababishwa na mikorogo si wa kutafutiza tena, maana wamejaa kibao. lakini kuna msemo wa long taimu unaosema "Black is Beauty" sasa kama kweli black is...
Ni saa mbili kasoro usiku mko sebuleni na watoto mnasubiri taarifa ya habari TBC mara linarushwa tangazo la biashara ya bidhaa za kinamama za kujisetiri.Tangazo linaanza mara oh inanyonya...
wanaume tafadhali naombeni mawazo yenu ili nimsaidie mdogo wangu ushauri,hili mana mnaweza kuwa na mawazo ambayo ya ukweli mwingi zaidi,
Hivi kweli ukiwa umekaa katika uhysiano kwa miaka 6 without...
Nnimewahi kusikia kuwa mwanamke akifikia umri fulani hasa above 35
huwa anajua moja kwa moja iwapo kuna mwanaume around mwenye kumtamani
au mwenye nia ya kumtongoza.......sijui ukweli wa hii kitu...
Wakuu,imekuwa ni kawaida kwa wanaume 2napopigiwa cmu na namba ambayo imekosea(wrong no) inapokuwa sauti ya kike...2natongoza hapo hapo na kupanga hata kuonana..wengine wanapenda sauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.