Juwa kwamba maisha ni uchizi.! Nina sababu kumi kudhibitisha hili_
Kwani kila siku;
1.Unachotaka hukipati(MAPENZI)
2.Unachokipata hukifurahii (NDOA)
3.Kinachofurahisha hakidumu...
Nimewiwa kuuliza hili hiivi wakati wanandoa mkiwa mnakula lile tunda
wengi wamekuwa wakisema nanii wenzao wanafunga macho
na wengine huanzia hata wakati wa romance na mpaka unapoanza
kumantain...
Unakuta binti ana b/f wake tangu akiwa level za sec, boy anajiweka kwa binti kiukweli koz anategemea badae flan aje awe wife!!jamaa anamsapoti binti mpaka kufikia level ya chuo!!baada ya kujoin...
Imagine what life would be like without the pain of disappointments, betrayals or heartbreak, imagine how free would everyone be, imagine every single person you meet has your best interest at...
Wapendwa wadau naomba msaada wenu wa mawazo, hivi inawezekana kweli ukapata mapenzi ya kweli kutoka kwa msichana ambae hajaolewa na wewe umeoa na anajua hilo, lakini wewe(mwanaume) ukawa na upendo...
Namshukuru Mungu kwa ajili ya akina dada/mama mlio wengi humu mlio na vipato na mnaochangia matumizi katika Masuala ya familia.
Hata hivyp naomba ninene na Mwajuma, akiwakilisha kundi la akina...
What changes when you have a baby?
Or say: What doesn't change after you get a baby?
1.You finally stop to smell the roses, because your baby is in your arms. You find your baby smells better...
Nchi nyingi za Ulaya na Amerika ya Kusini ni kawaida kwa mwanaume kulala chumba kingine na mwanamke kulala chumba Kingine. Jee kibongo bongo inawezekana (kama mna nyumba kubwa) mwanamke kulala...
Ni wiki ya pili sasa toka nipate ombi hilo kutoka kwa rafiki yangu wa karibu sana.
Hilo limekuja baada ya kupata uthibitisho wa vipimo vya kitaalamu kutoka Hospitali
Kuwa hana uwezo wa kupata...
Mpaka miaka ya hivi karibuni mambo ya uchumba yalikuwa hayawezi kufanyika bila ya kuwepo wazazi na familia. Mitoko mingi na kualikana ilifanyika majumbani wakiwapo wanafamilia wote. Kujitokeza kwa...
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii...
Hiki ni kisa cha kweli cha rafiki yangu ila jina la muhusika ndio nimelibadilisha. Naandika kwa masikitiko sana kwa jinsi hali aliyonayo sasa hivi inasikitisha sana nafikiria ila kichwani mwangu...
Najua wazoefuwako wengi
ila penzi alina exp jamani vyema kukumbushana sana ..kuna watu wakianza kula lile tunda
wanakuwa na furaha sana sana na baada ya tunda wanasahau kupongezana kwa shuguli...
Nimekuwa nikilitafakari hili na kwa kweli kuna maswali huwa najiuliza ila leo nimeona niwaulize wana MMU. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa nachukizwa sana ninapoona mtu mzima anamtongoza mtoto...
Asilimia nyingi za wanaume wa jamii yetu hawawezi kuwasiliana au kumsaidi mtu wa jinsia tofauti bila kumtongoza,na kwanini tabia hii ipo kwa wavulana tu?na kwa nini ipo ivi?
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe...
Three days. Thats how long it took me to sit down and write this. Every night I spend around 5 hours online trying to run away from this and end up sleeping at 7 am without actually getting the...
Najiuliza, lakini sipati jibu.
Kwa nini madume ya ng'ombe yakitoka malishoni hukaa nyuma na majike hukaa mbele?
Najiuliza kwa nini simba dume anaitwa King of the Jungle, lakini jike haitwi Queen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.