Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wadau hebu nisaidieni.. Traditionally mwanaume ndio mwenye jukumu la kutunza watoto, lakini hivi ni sawa kama mama wa watoto nae ana kipato kuacha kununua hata kiatu cha mtoto wake mwenyewe wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani kuna mdada tulikutana kwenye mkutano fulani hivi Arusha, dah tukawa na mawasiliano ya kikazi mwisho yakaingia kwenye page nyingine. Tabu ni kwamba she is too old for me nakadiria tu kuwa...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
EBU SOMENI HIKI KISA!!!!!!!!!!!!!!! One afternoon a husband arrived home with sad news for his wife... Husband: Wife, I just received a call, mother(mama) passed away. Shall we go to town...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jamvi :; Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka na rehema zake kwangu. Kwa ufupi nimepitia ktk kipindi cha majaribu..iko. hivi, :Nilikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na...
0 Reactions
77 Replies
6K Views
Naombeni mitazamo yenu waungwana. Mume/Mke anaingia ktk kundi la ndugu au rafiki?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkikosa chakula, mnajipoza na ******* Mkikosa pesa, mnarudi kitandani kutafuta maono Ukitoka kitandani, furaha hujaa Heri maskini mwenye mke/mume kuliko tajiri single
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ebu fikiria unamtongoza mwanamke anaonekana naye amekupenda inafika mahali anakwambia hivi kweli wewe utanitoshereza huduma zangu????!!!Utaweza kunihudumia??wakatu mwanzoni hakuuliza swali...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nilikuwa na girlfriend niliyempenda sana, lakini ikajatokea tukaachana kisa ujumbe mfupi wa kwenye simu yangu. Nimemuomba msamaha miezi miwili sasa lakini hataki kunielewa, na nafsi yangu bado...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Who should have apologized in this case? One of the renowned lawyers in Texas had made love to a city prostitute who unfortunately forgot to take her pant from the lawyer's car. Afterward he drove...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Ni wengi sana hata hapa JF wapo, Yukoje? Anapokutaka haridhiki mpaka aanze kukueleza makosa ya mpenzi wake aliyeachana naye hata kama hujamuuliza na ukiwa na bahati basi atakueleza makosa ya...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Not everyone who smile on you is a real friend. Some people are evils and its impossible to understand them Haters/ By Maya Angelou A hater is someone who is jealous and envious and spends all...
1 Reactions
7 Replies
970 Views
habari yako? Tatizo lenu wasichana mukishaona hela mipango inazidi matumizi.eti "unakumbuka uliniahidi kuninunulia kitu fulani?"kisa kaona leo mfukoni una hela.nyie mkishaona hela ndo kila tatizo...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Kuna Dada ambaye yupo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka miwilii sasa, walibahatika na mumewe kupata mtoto wao kwanza kama baada ya mwaka mmoja wa ndoa ingawa huyu Dada alipata complications nyingi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana jf naomba kujua kama kuna ukweli kwamba unapotaka kuoa unatakiwa kuwa makini kuna makabila yana utata wake pindi utakapoungana nao je nikweli? Ni makabila gani hayo? Na utata wao ni upi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi, Mommy. ... ...I'm your baby. You don't know me yet, I'm only a few weeks old. You're going to find out about me soon, though, I promise. Let me tell you some things about me. My name is...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ya mchana huu wanajamvi,, Ni miezi sita sasa tangu tuachane mimi na yy kwa madai kwamba ndugu zake hawajaridhika awe na mimi maishani ...cha ajabu ni mwezi sasa tangu aanze kunifata na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba': 'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi...
1 Reactions
112 Replies
13K Views
Hivi ninavyofungua huu uzi kuna kijana jirani yangu yamemkuta. Yeye ni mmoja wa wale wanaoitwa 'watoto wa nje' (neno hili silipendi kabisa,kwangu mtoto ni mtoto tu). Mzee wake amefariki hakuacha...
6 Reactions
65 Replies
5K Views
Uzae mtoto wa kike msagaji au wa kiume shoga?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom