Heshma mbele ndugu zangu wa Tz na wana jf kwa ujumla. Polen kwa msiba. Mungu azilaze roho za marehem mahal pema pepon.
Kwanza naomben ukarbsho wa dhati katka MMU. Nimekuwa nkivnjar kwingne kabla...
Nyumba ni ya familia na wanaishi pamoja na wapangaji. Binti kamaliza elimu yake ya juu na kufanikiwa kupata kazi, ili aweze kuwa huru kaamua kuhama nyumbani na kutafuta nyumba ya kupanga. Baba...
Kusamehe ni kitu kigumu sana ingawaje ni tendo zuri sana kwa upande mwingine .Kwanini ni msamehe mwingine ambaye ananikosea mara kwa mara na wakati mwingine kwa makusudi na wala harudi...
Nipo hapa idara ya uhamiaji Nyerere Road, kijana mmoja mwenye mlegezo na sauti ya kisharabaro analiona jina lake kwenye ubao wa matangazo, lakini anaambiwa passport yake bado haijatoka...
Wana wa JF mambo vp?.Kama kichwa cha habari kilivyojieleza ni mkasa ulomkuta shemeji yangu mdogo wake na mke wangu.Kama anavyoeleza;Ni miaka miwili sasa toka niwe katika uhusiano wa kimapenzi na...
Jf Members Praise the Lord!
I suddenly loose my Father this morning, RIP baba mdogo. Ooh Lord Give me strength huu mwaka sijui kuna nini, Nahitaji maombi yenu sana kwa sababu nimechoka kabisa...
Kwa nini uzinzi ni dhambi? Watu tumekubaliana kwa ridhaa yetu kula raha, sijamchukua mke wa mtu. Huyu niliyemchukua mimi hana mume, bwana wala boyfriend. Kwanini kwa kulala naye niambiwe mimetenda...
Habari wana JF
Hapa mtaani nimeshuhudia ndoa kama 4 hivi zimevunjika na hazijadumu zaidi ya miaka miwili, pia nina rafiki zangu ambao nimesoma nao chuo kikuu nao ndoa zao zimevunjika wakati muda...
Tunapendana nae sana tumeanza tangu primary hadi sasa tupo chuo tumepishana siku nne tu mwaka tupo nae sawa yaa umri.Nimepanga kumuoa yeye ila ndugu na marafiki wananitisha kuwa atanizeekea huko...
kweli sisingizii ingawaje najua majuto ni mjukuu...................
sukari nilipoanza kuilamba nilifikiri ni shujaa....................
lakini sasa najuta kwa nini hata...
Unachukuliaje kumuoa binti aliyekwisha kuzaa labda akiwa O level huko.
Au unamsimamo gani kwa mwanamke aliyekwisha kuzaa, utaweza kumuoa akikwambia ana mtoto baada ya wewe kukaa naye wiki kadhaa...
Hivi kwa nini sisiwanaume tukiwa na uhusiano na mwana mke baada ya mda mrefu huona kama mzigo au anakukera na kuona bora utafute mpya?nakama mkiendele halikama hiyo haijawatokea jua hata mkioana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.