Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

SIKUOMBEI UACHIKE KILA JARIBU LINA MLANGO WA KUTOKEA Kuvunjika moyo, kukatishwa tamaa, upweke, nk ni maneno yanayoelezea feelings za uzoefu ambao binadamu hupitia pale mahusiano yanapovunjika iwe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
moved to another jukwaa
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Kina dada ni watu wenye huruma sana na huweza kusamehe hata kosa kubwa kiasi gani…. They are emotional and full of love……Mfano Kuna cases kama tatu ambapo mwanamume anamtelekeza mke na watoto...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
moved to another jukwaa
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Hellow JF, leo nimekaa nikatafakari safari yangu ya maisha hasa upande wa shule. 1. Nakumbuka nikiwa std 5 kuna mtoto alihamia skul kwetu, tulitokea kuzoeana sana na karibu darasa lote walijua...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimejiuliza sijapata jibu, naomba msaada wako mwana JF mwenzangu
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nilimeshawishika kufungua hii thread ingawa ni habari ya mwaka jana mwishoni. Niliwaahidi watu kuwa nitakuja kuandika hii habari ingawa nimesita kwa siku nyingi. Nimepata nguvu baada ya kuona...
9 Reactions
32 Replies
3K Views
Mapenzi mahali pa kazi au maofisini ni kitu cha kawaida sana kusikia siku hizi, hii ni kwa sababu kushuka kwa nidhamu makazini na kwamba tunatumia muda mwingi sana kuwa ofisini kuliko nyumbani...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ninaposema wanawake wazuri nina maana pana sana na yenye utata kwa kiasi kikubwa kwa sababu uzuri kama dhana dhahania inachanganya sana. Je wanawake wazuri ni wenye sifa zipi na hasa ni wazuri kwa...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
mwanaume kakuzalisha mtoto halafu hataki kutoa barua,ukimwambia kajitambulishe kwa wazazi hataki na anataka kuendeleza uhusiano. Je, huyo mwanaume ni mkweli au anataka kunipotezea muda tu. Tuna...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto? Inaumaaaaaaaaaaaaa.
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Katika utafiti uliofanywa kwa vijana 1,500 kuanzia miaka 20 na kuendelea huko Australia ilionesha kwamba asilimia 25 wana matatizo ya jogoo kuwika na asilimia 8 hali ni mbaya zaidi. Jogoo...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
mwanaume kakuzalisha mtoto, ukimwambia nenda kajitambulishe kwa wazazi hataki, halafu bado anataka kuendelea na uhusiano na huyo binti. Je, huyo mkaka ana mapenzi ya kweli au ni mlaghai?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba, karibu wanawake tisa kati ya kila kumi wanaridhishwa na maumbile ya sehemu za siri za waume au mabwana zao. Kwa hiyo, ni mmoja tu kati ya wanawake kumi ambaye...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
1> Giving the 1st salary to your parent 2>Thinking your love with tears 3>looking old photo$ smiling 4>A sweet $ emetional chat with friends 5>holding hands with your loved ones for a walk...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Nijambo la kawaida mkena mume walianzia kwenye urafiki wa kawaida na baada ya muda mfupi au hata kipindi kireeefu kua marafiki hatimae hufunga pingu za maisha je? Tuwaangalieje hawa wadada bilaya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hitma ya aliyekuwa Branch Director wa CRDB Bank, Vijana Branch, Mr. Sekoutoure 'Toure' Mndeme itafanyika tarehe 17/09/2011 nyumbani kwake Kunduchi mtongani kuanzia saa 7:00 mchana
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Jamani niwape kisanga hiki jana niko kwenye basi akapigiwa mwanaume mmoja na mkewe ama hawara wake atujui lakini yaonyesha wanaishi pamoja,samahani hata kama wanaishi pamoja sijajua wamekaa miaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Jamani wadau wa humu ndani, mimi nataka kuanzisha kituo cha kusaidia watoto wa mitaani. na wewe mdau nakupa nafasi ya kuchangia kidogo unipe mawazo ni jina lipi litumike kwa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom