Kuna watu wengi ambao wanaamini katika jambo hili, kwamba kama mtu hana wivu, ina maana kuwa hampendi mpenzi wake. Wanaamini hivyo, kiasi kwamba wapenzi wao wanapokuwa na wivu juu yao hujisifu...
Ni miezi kadhaa imepita toka niachane na huyo msichana, nilimpenda sana lakini yeye hakuonyesha ushirikiano juu ya pendo langu kwake, kwani alifanya chocho alichojisikia akijua kuwa sita kuja...
kwenye blog hii ya wakenya nimekuta kwenye mahusiano lawama na malalamiko ni kibao yaani hakuna anayesema ameridhika labda ndiyo maana kuna blogger mmoja huko Kenya aliwashauri wakike wao kuja TZ...
Sex: Why it makes women fall in love - but just makes men want MORE!
Sex is one of our biggest preoccupations causing thrills, heartache and downright confusion. But until recently, exactly...
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru...
Mhh! ndugu zangu wana jamii f.
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.
- Ajabu...
Utafiti wangu nimebaini ya kuwa familia ndogo ambayo wazazi wanaweza kuihudumia bila kutembeza bakuli la kusaidiwa ndiyo siri iliyochanuka ya kuishi maisha...
Kufuatia swala la ndoa siku hizi kuwa fashion, nimeona ni vyema kuangalia mambo machache muhimu katika sheria yetu ya ndoa. Karibu kwa
mchango na mawazo yako. Kumbuka sheria ya ndoa ni ile ya...
Nashindwa kuelewa hili swala wana jamvi. Ni kwanini ni sisi wanaume tu ndo tunawaita wapenzi wetu "my Angel". Mbona Wanawake hawatumii my angel kuwaita wapenzi wao?
Nimepita kwenye mtandao mmoja na nikakutana na huyu bibi harusi ambaye alimkamia bwana harusi kumwonyesha kazi kwa maana ya kumdhalilisha ili kulipa kisasi kwa kutembea na wapenzi wake wengi huku...
Amwua Mwanaye Ili Aolewe!
Polisi wilayani Bariadi mkoani hapa inamshikilia mwanamke mkazi wa kijiji cha Mwamabu wilayani humo kwa tuhuma za kumnyonga mtoto wake wa kumzaa ili aolewe.
Kamanda...
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta...
Niliongea kuhusu mume kwenda nje kila mtu kachangia wazo but let me tell u truth guys mie siendi nje nai heshimu sana ndoa yangu na mume nampenda sana na nimezaa nae watoto 3, na mda ninao kwa...
Habari wana JF wote,
Naomba nitoe shukurani nyingi sana kwa wanajf wote walionipa ushauri kuhusiana na thread yangu niliyoanzisha hapa kuomba ushauri wa nn cha kufanya baada ya kupata dv 4 ya...
Hebu tuchukulie kwamba, unaye shemeji yako, yaani mdogo wa mke wako, ambaye ni mwanamke mnayeishi naye nyumbani. Inatokea kwamba, huyu binti amekufumania na mwanamke mwingine.
Wewe unamwomba...
Habari za w'end.....!!!Ukiangalia nchi nyingi za Africa, ukiacha Ethiopia, Somalia, Djibouti, na Morocco ambao wanawake wao ni warembo by nature, Tanzania haipo mbali, wanawake wengi pamoja na...
Heloo wana jamii,nimekuja humu kuomba ushauri na busara zenu.Mie naishi ughaibuni na wife(mbongo pia) na watoto wawili, m/mungu kanijaalia kazi poa na elimu ya juu tatizo huyu mwenzangu...