Wapendwa wana Jamii Forum naombeni msaada wenu kuhusu huyu baba yangu mzazi.
Kwa kifupi mimi ni mtoto wa nje ya ndoa ninatambulika kwenye familia na kwenye ukoo ninashirikishwa kwenye kila kitu...
Ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru Mungu Ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu.
Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie Sodoma na Gomora, Lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe...
Usijidanganye!
Sex ni issue inayosumbua sana wanaume na wanawake katika ndoa.Mwanamke katika ndoa huhitaji intimacy & affection ili ajihusishe na tendo la ndoa wakati mwanaume anahitaji tendo la...
Hamjambo wana jamvi. Mwenzenu namwachia mama mkwe nyumba aishi na mwanae. Ni wiki ya 3 haongei na mimi anapika kwake. Kibaya alichemsha mitishamba ninywe na house girl hakutoa maelezo tukagoma...
Wapwaz na Binamuzi wote.
Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya...
Ukweli wao!
Mshauri maarufu wa masuala ya ndoa M. Gary Neuman alifanya Utafiti kwa kuwauliza wanaume 200 ambao kati yao walishachepuka nje ya ndoa zao na wengine walikuwa hawajawahi kuchepuka...
Jamani majumbani kuna vituko msione watu wanapita wanacheka mkaona moyoni ni hivyihivyo.!! Rafiki yangu mpendwa ambaye anahali ya ulokole fulani hivi kapewa Live na Mkewe kuwa inabidi wasitishe...
Leo nimepigiwa simu na kaka yangu. Mazungumzo yetu yalikuwa kama hivi:
Bro: Hello Mambo vipi?
Mimi: Poa tu
Bro: Hapo nyumbani hawajambo?
Mimi: Tunamshukuru Mungu sisi wazima
Bro: Mnaendeleaje...
Natumaini hamjambo wote ...
Wanaume sana sana Vijana
naombeni sana jamani muanze kuvuta suruali zenu juu
au kama mmeamua kulegeza au kuto kufunga mikanda
vaeni Boxes , sagz au Briefs.. ...
WanaJF wenzangu hebu kumbuka zamani zile ndo ilivyokuwa siku ya kwanza kabisa kujisajiri kwenye ulimwengu wa malavidavi ilikuwaje mara baada tu ya kubarehe.Je uliyempa malavidavi hayo kwa mara ya...
Jambo hili linaweza kuwashangaza wengi, kuhusiana na swala zima la kutoka nje ya ndoa. Ni kwamba, kama mwanamke ana hawara, ni rahisi zaidi kwake kufanya tendo la ndoa na hawara huyo wakati akiwa...
mimi nina mke anawivu mno,siku moja asubuhi nimekwenda kuoga ili niende kazini bosi wangu ambaye ni mwanamke akapiga simu basi mke wangu akapokea simu alivyosikia sauti ya kike wacha amshushie...
Links to this post
Wanaume Nao......
Kwa nini wanaume hununua sex?Mwanaume anaondoka na kwenda kumtafuta mwanamke wa kumlipa fedha ili ampe sex bila kuhusisha upendo au mahusiano wala...
Truly, Madly, Deeply: How Love Makes you Sick
Cupid's bow can kill your appetite, nuke your focus and interrupt your sleep.
By Jennifer Nelson
TODAY.com...
Kama huridhiki mwambie, usilipize..........
Ni miongoni mwa makosa makubwa sana kwenye uhusiano wetu. Hebu fikiria kwamba, mumeo anashiriki tendo na wewe kwa njia ambayo aikuridhishi.
Inaweza...
Hata Ufanyeje!
Katika asilimia 100 ya wanaume wanaotoka nje ya ndoa zao, asilimia 12 ya hao wanaume wanao cheat hufanya hivyo kwa sababu ni cheaters, wao hutoka nje ya ndoa zao No matter what...
Wakuu mabibi na Mabwana!
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku...
Ni binti wa 2nd year ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchin ambae nimekuwa kwnye uhusiano nae kwa miez 8 sasa,nampenda na ananipenda pia.
Inshu iko hivi,mama yangu na ndugu zangu hawataki hata...
Igweeeee!!
tatizo ni nini, kuna nini wakuu?
Suala si lingine nalotaka kulizungumzia ila ni hili la siku zote, NGONO!! Tena Ngono ZEMBE!
Jamani elimu ya kutosha tunapata kuhusu UKIMWI na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.