Nii wakati mwingine wengine wanaweza kujiuliza delila ni nani
kwa wale wanaoua neno la mungu wanamjua delila alikuwa
mke wa samson...alimpenda saana sana lakini kulitokea wafilisti wakimtafuta...
Moto Umezima
SWALIMimi na mume wangu tumekuwa kwenye ndoa sasa ni mwaka wa 11, maisha yetu ni mazuri sana kila eneo la ndoa yetu isipokuwa suala la sex. Najiona kukumbuka sana namna moto wa...
Hapa ndio mahali unaweza pata msaada wakati wowote, sinamtu mwingine naweza wasiliananae kwa sasa. Naomba maombiyenu ili tufike salama. Hali ya hewa sionzuri ninakokwenda, tumekaa hewani more than...
Produce milk without eating grass
Bleed for four to seven days without drying
Bury a bone without digging a hole
Make a man come without calling him
Add yours
Binafsi nashindwa kuwaelewa hawa ndugu zetu wanaokuwa na wake zao halafu wanapiga kambi kwa wanawake wengine (nyumbandogo/kimada)
kwani binafsi ninavyoamini ni kwamba hao wanawake wa upande wa...
I have just contributed 1usd dollar to wfp to help fight hunger and help the needy to feed. I encourage you wakuu to do the same,if we are blessed with a little then letc share with our fellow...
Mambo wana JF,
waugwana na jambo linanisugua roho mpaka nakosa usingizi,
kuna mdada amechukua mume wamtu juu yakua anajua kama anamke na watoto na yeye ni mkristo huyo mdada,
kwakua ndoa...
Jamani eeh hivi inapofikia umri fulani ambao inaonekana sasa mwanamke au mwanaume anatakiwa kuwa kwenye ndoa na bahati mbaya anakuwa bado hajaona mwelekeo, nani anakuwa desperate zaidi kuingia...
Habari zenu wanaJF. Wife leo kapigiwa simu, unajua mambo ya wivu nikauliza aliyepiga simu ni nani ? Akasema kwa kuwa nataka kujua aliyepiga simu tubadilishane simu (pamoja line zake) yeye achukue...
jf naomba kufahamishwa zaidi mbona siku hizi kila dada/mama unaemtongoza an wakati mwingine wengingine wakutaka wnyewe kuna nini kinaendelea kwetu madume ya mbegu maana hamna anaekataa offer anayepewa
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu wa karibu sana amepata tatizo hili hapa na anaomba mumsaidie ushauri.naomba ambae hayuko serious asichangie kabisa.
Rafiki yangu ana boyfriend ambae...
hv wanaume mnajua kupenda?au mnajua tu kutamani? kwanini kungonoka kunakuwa kitu cha zaidi sana kwenye mapenzi
na kwa nini mnapenda kuachana saana baada ya kungonoka na sio kabla?
Today everyone bemoans the short life span of marriages in our society. Till death do us apart has now been shortened to just a few years or maybe even months. Sometimes, despite the hard work of...
Am in a very very bad situation! Niliyempenda anapendwa na wengi. Kwa moyo wangu wote nilimdondokea, nikampa kwa kadri ya uwezo wangu, leo penzi limenitoa chozi. Nilidhani twashabihiana kwa tabia...
Polen mliozaliwa hivi karibuni'wenzeni tulianzishaga pati za kutafuta wenza
ingawa weng waliishia kupotozeana muda na leo wanakutana kwenye shere kila
mtu na bwana wake anyway ni moja ya...
Imenishangaza sana hii. Kuna mama mmoja anamiliki mini-supermarket moja hapa A town alitupatia tenda ya kumwekea CCTV kwenye biashara yake. Watu wa installation walifanya kwenye angles...
Dah! hili jambo huwa linanitatiza Sana sielewi mademu ambao ni ma student huwa wako au wanafanana kitabia. Hii habari nilikuwa naisikia tangu zamani. kuwa Ukitongoza Demu mwanafunzi first date...
Kuna wimbi la kuongezeka kwa waganga wa dawa za miti shamba wanaodai wanatibu nguvu za kiume, ikiwa ni pamoja na kuongeza urefu na unene wa maumbile ya kiume hadi kufikia inchi "6.5 kwa urefu na...
1. Je anaona fahari kukutambulisha kwa ndugu rafiki na jamaa zake kuwa wewe ni mtu wake? Au huwa anakaa kimya tu?
Kama hutambulishwi jua wee ni kama door mat.
2. Je anaona fahari kuongozana na...