Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

<FONT size=3></FONT><SPAN style="COLOR: #ff0000"></SPAN><IMG id=vbattach_35094 class=previewthumb alt="" src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35094&amp;stc=1"...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wanajamvi!!! Hasa wa mambo ya mapenzi(MMU) .Huenda tukawa tunafana kimahisia mimi na wewe, .huenda pia huu ndo ukweli halisi hata kwako, .huenda ilishawahi kujadiliwa humu jamvini...
2 Reactions
100 Replies
8K Views
Hivi ni kwa nini wanawake au wasichana wanavaa nguo zinazoacha matiti yao wazi? Ni ujanja au ni ujinga na upumbavu na ukosefu wa maadili? Mbona watanzania tunapenda kuiga mambo mabayo tu kutoka...
1 Reactions
63 Replies
14K Views
kuolewa .......
0 Reactions
42 Replies
9K Views
X wangu amegeuka hataki tuachane, nimemuonyesha msimamo wangu, sasa amekuja na sharti/ombi jipya. Eti nimtafutie mwanaume wa kuchukua nafasi yangu. I thought she was jocking but dud, she keep...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
USIMWACHIE YEYE TU JITUME OOHThursday, April 29, 2010Usimwachie yeye tu Kwa kuwa mume huwa na hitaji kubwa la sex katika ndoa mara nyingi (siyo mara zote), hii husababisha sex kuwa suala la...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
Heshima kwenu jamani mwezenu nashindwa kufaham kuhusu hili jambo nimemtumia mkewangu pesa za shughuli maalum kijijini kama m2 hivi natumepanga mipango pamoja hizo pesa ziende kijijini kwenye...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Fumanizi husababisha hisia zenye maumivu, hasira, kutokuaminiana, woga, aibu na kujilaumu. Lakini kufumania au kufumaniwa hakupaswi kuwa sababu ya kuwa mwisho wa ndoa yenu, ingawa kunaweza kuwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza kwa nn mtu akioa mwanamke anaye mzidi Elimu ndoa haidumu hasahasa akikuzidi elimu na kipato ndo balaaa..Je nini tatizo?
0 Reactions
92 Replies
9K Views
0 Reactions
5 Replies
2K Views
EAST AFRICA HERALD: Over 500 couples tie the knot in mass wedding
0 Reactions
2 Replies
902 Views
Aisee mapenzi ya sekondari yalikua sweet sana. Wakati huo mtu ulikuwa unapendwa just for being yourself. BF/GF alikuwa haihitaji chochote kutoka kwako other than your love and companionship...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
Hivi mmemsikia huyu sharobaro anae2pa vilift wadada anavyoua?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hello jf!kuna galfried wangu wa zaman alinigunduaga kwamba nimemtongoza rafiki yake{ni kweli},bac ikatokea nkamuomba msamaha but mmanzi akachomoa,akashauri 2achane 2,nkawa kila nkimpgia cm au...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Once a stranger... You were once a stranger... a man with character... but yet could not be read like a blank piece of paper. I asked for your name and you did the same... was that fate?! I...
8 Reactions
124 Replies
6K Views
Je utajuaje kama 'mpenzi' wako anafungulia nnje?
0 Reactions
18 Replies
12K Views
Ukizingatia kwamba, kuwa na ndoa imara ni kitu muhimu sana ili kuwa na afya na furaha, italeta mantiki kuelekeza nguvu zenu katika kuifanya ndoa yenu kuwa bora zaidi. Hapa chini kuna vidokezo kwa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za jioni wadau? Nipo nabadilishana mawazo na rafiki yangu ambaye anataraji kuajiriwa na kuwa mwalimu, lakini anachonishangaza eti hataki mwanaume ambaye ni mwalimu kama yeye. Jamani hivi...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
mambo vp wana jf, kuna jamaa yangu mmoja ameoa kama miaka nane imepita. alikuwa anafanya kazi katika shirika flani hivi mitaa ya singida. mnamo mwaka 2006 aliachishwa kazi na hadi hii leo bado...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom