Kumradhi wakubwa zangu!kama wajua naomba unifahamishe. mm niko mbioni kuoa,nataka kujua je ni mara ngapi iliyosahihi kufanya mapenz kwa wiki?(kwa ajili ya afya).
Jamani mi nahisi nimelogwa kila ninapota kuachana na huyu jamaa najikutanimerudiana naye, mbali navituko anavyonifanyia ikiwemo kunicheat na nimeshamfumania na mwanamke ambaye ni X wake mara...
Wanajamii, ni asubuhi hii ya leo forwadiwa mail yenye Kituko cha Karne. Nimesoma, inaonyesha ni habari ilitoka kwenye gazeti fulani. Sikubahatika kulisoma gazeti hilo. Inawezekana pia habari hii...
Find a guy who calls you beautiful instead of hot, who calls you back when you hang up on him, who will lie under the stars and listen to your heartbeat, or will stay awake just to watch you...
Kama ilivyo kawaida ya jamvi, penye wengi pana mengi na hakika haliharibiki neno.
Hapa nina swali moja, hivi kuna ulazima wa maumbo ya mawili kati ya wapenzi/wanandoa kuendana ili kufaidi tendo...
...Maisha yanapelekea wengi wetu kujikuta tunaingia mahusiano mapya tayari tuna mtoto/watoto. Ili kuondoa ile hofu ya baba/mama wa kambo si sawa na 'mzazi'...Je? wazazi wapya (Step parent) tuna...
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa...
Nimepitia hii makal na nikaona nisiwe mchoyo lol...........................jisomee kama una muda na kama huna usijali nitatoa ufupisho wake hapo chini................
Kwa akina dada sababu ya...
Hebu fikiria, umekaa na msichana wako kwa zaidi ya miaka saba, tangu mkiwa shule hadi mnamaliza chuo, mnafunga pingu za maisha na kubahatika kupata watoto wawili.
Mkeo ana umbo zuri, licha ya kuwa...
Hivi kuna mtu yeyote anaeweza kujitosa hapa akasema na kuthibitisha kwamba kwenye UKOO wake wote hamna wezi..wadada wanaojiuza... wadada warahisi kupatikana...watu...
Kuna kijimvua na hali tulivu kabisa. Hakuna majotro, hali hii inahamasisha sana bia na nyama choma, kisha umalizie na totoz bila ya kusahau matumizi muhimu ya condom
Jamanni nimerudi tena na matatizo yangu,,hili janaume linataka roho yangu sasa, coz anafika mbali mpaka wageni na ndugu zangu sasa anawatongoza..me nimefika mwisho, nishaurini tena,, nafikiria...
Huwa tunahitaji nini kuwaonyesha wenzetu kuwa tunawapenda na kuwathamini?
Je huwa tunahitaji kuwadanganya mara zote ili kuwapa faraja kwa yale ambayo hatuyafanyi ili kuwamiinisha na kuendelea...
Ndani ya Pochi ya Wife jamaa anakutana na Business Cards kibao..anaanza kuzisoma.. mara anakutana na moja inayosomeka Bernad. J. Kululetera...Ni HRO wa Kampuni moja hapa Bongo...Kumbukumbu...
Salaam wana JF.
Siku kadhaa zilizopita nilitangaza hapa JF kwamba natafuta mchumba. Siku moja nikiwa kwenye gari nilipokea simu ya dada mmoja nisiyemfahamu na wala hakutumia namba za simu...
Huwa nashangaa jamii jinsi inavo kuwa selfish na biased. Inasistizwa sana kwa mtu asie olewa kutofanya mapenzi mpaka atakapo olewa. Sasa endapo itashindikana kuolewa je jamii inamshuri nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.