Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapendwa Habari za weekend? Najua karibu kila mmoja wetu amewahi kumkosea/kosewa mwandani wake, awe mume/mke, mchumba, boy/galfriend, nyumba ndogo/ATM/MBA wake. Sisi sote tu binadamu na kukosea...
14 Reactions
77 Replies
6K Views
Nimezaa nae watoto wawili,tumeishi miaka 12,nampenda sana ila alishanihakikishia katu hatobadili dini,iwapo nataka mke mkristo nioe,wanangu bado wadogo mmoja miaka 7,wa pili miaka 4. Kiimani sipo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ukweli napowaona wanaume wenzangu hasa wanaopenda sana wanawake/mademu huwa najiuliza maswali kibao kuhusu hizi lolipop! Utakuta mtu anajisifia eti ashatembea na wanawake kibao wakati mwingine...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
tunawashukuru sana wadau wanao tembelea huku kusin na slogan yao ya dondosha mkono sweta jamani kwa wale ambao wapo na hawaja dondosha mkono sweta tafadhari waungeni mkono hawa jamaa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dada huyu ni mtoto wa mama wa kambo wa rafiki yangu niliyesoma nae shule ya msingi;huyu dada yetu ni mfanyakazi wa kampuni moja ya usafirishaji,ameolewa,tatizo ni kuwa ali wahi kuwa na uhusiano na...
1 Reactions
117 Replies
8K Views
) Dress to Kill - all the time: No I don't intend that You wear that $5000 suit to the grocers or the Rolex to walk the dog. What I want you to do is is to dress decently each time you hit the...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu,jamani naomba kufahamishwa jambo moja linalo nisumbua kichwa changu, kuna binti mmoja mwenyeji wa kilimanjaro,nina mpenda sana na tumepeana ahadi ya kuishi pamoja katika maisha ya...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Natafuta mchumba jaman kijana mtana shati wa kitanzania nina umri wa miaka 24 mrefu mweupe nataka binti anayejiamin mrefu wastani miaka 18-23 awe na elimu angalao kidato cha sita na kuendelea kana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira...
2 Reactions
80 Replies
6K Views
Kumbe baadhi ya story za magazeti ya udaku wanazitoa hapa jamvini...Hii nimethibitisha ile story ya Asprin ''Ulikuwa wapi siku zote...eeh!! wamecopy na kupaste katika gazeti la Risasi...
0 Reactions
73 Replies
9K Views
Real tears are not those that fall from the eyes and cover the face, but are those that fall from the heart and cover the soul. I don't have tears on my face but my heart is crying tonight. Nami...
10 Reactions
99 Replies
7K Views
Wapendwa wana JF Dada's , Heshima yenu nyote ....... shikamooooo! Mie naomba kuuliza au kufahamishwa nafasi ya uvaaji wa nguo ya ndani = ch.u.p.i na bra katika kuhamasishwa tendo la ndoa...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Sijakosea jukwaa maana kuna walioanza kununa, mwezenu nyumbani kumeanza kuwa kuchungu baada ya wifi yenu kuanza visa baada ya vikao vya bunge kuanza. Wiki ya kwanza alianza kama utani eti anataka...
7 Reactions
73 Replies
6K Views
Kuna binti amejenga urafiki na wife siku za karibuni, sasa ameanza kamchezo ka kunipigia sm na kunambia maneno yanayoelekea kunishawishi nimlambe. Swali nimpe mambo au nimwache.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Kila nikirudi home huku napepesuka na kuyumba yumba, na mara nyingine nikiwa sina kumbukumbu viatu nimeacha wapi. Mke wangu huwa ananipokea kwa upendo na upole sana na kuniimbia huu wimbo wa njoo...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
post deleted
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri...
11 Reactions
43 Replies
4K Views
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani penzi langu limeangukia kwa mtt wa kihehe sina wasifu wao mzuri moja nililopewa kuu ni kwamba wana hasira sana sasa nahitaji kujua mengi jamani kuhusu hawa watu naombeni michango yenu najua...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
huyu demu inaelekea hana uhakika.. achague yupi... msela kakaba penalt mshakaji wa white anapiga goli kwa fre e kick
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…