Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwanini hamna huruma? Kwanini hamthamini wanawake? Kwanini hamna heshima na adabu? Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia?? Kwanini Mnamadharau? Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa...
10 Reactions
249 Replies
15K Views
***QUESTION*** I have been talking to this girl for about a month now and I find myself falling in love with her everytime we see each other (every Tuesday Night). She recently told me that...
0 Reactions
10 Replies
16K Views
wana jf naomba mnisaidie hil nielewe mchakato mzma.
0 Reactions
59 Replies
7K Views
siku moja moja tutoe avatar then tuweke original picture zetu ili kila mmoja apate kuiona vyema taswira ya mwenzake.. Coz avatar ya cheusi mangara na afrondezi na wengine wengi zanikosha!
1 Reactions
45 Replies
4K Views
siyo mara ya kwanza kuomba ushauri humu mimi ni mama mwenye miaka 24 nina mtoto wa mwaka na nusu, na ndoa yangu ina miaka mitano na nusu,ni miaka miwilli sasa mume wangu amekuwa kiwembe kutokana...
2 Reactions
87 Replies
10K Views
Kwa nini mwanaume anakuwa dhaifu pale mwanamke anapomwambia nakupenda
0 Reactions
9 Replies
1K Views
CLICK HAPO UONE HIYO VIDEO MUANGALIE HUYO DADA http://youtu.be/_PQitC-z73o
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani mnipe ushauli,mimi nina mpenzi wangu nimekaa naye almost 2year mara nilimheshimu kama mume wangu mtarajiwa tangu hapo tulipoanza lakini siku zote uchumba ulishamiri na hatimaye aliniambia...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Hii inatokana na kipindi cha 'Habari ndiyo hiyo' cha TBC1 jana. Topic ilikuwa "wanaume wa cku hizi" Sijui mwandaaji wa kipindi aliwaza nini kuleta topic hii (ni mwanaume) ila almost wanawake wote...
2 Reactions
75 Replies
5K Views
wakuu nawasilisha hili maana ndoa za siku hizi imekua kama fashion, ndoa inadumu miezi michache tu wanandoa wanachana. Hasa kati ya mwanamke na mwanaume. Utasikia ameachika kwa mumewe au ameachana...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
usia huu nauwasilisha kwenu ninyi wana jf,ili wote kwa ujumla tuwe chachu ya mabadiliko,maana mambo 2nayofanya cjui YESU akirud 2taendaje naye kwa matendo ye2 maovu.jamani tuacheni uzinzi ukimwi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mie ninae rafiki yangu wa kiume, tu marafiki wa kawaida tu. Tatizo ni kuwa hivi karibuni nahisi hali ya kumkosa sana anapokuwa yu mbali au hatuna mawasiliano. Nahisi kuuhitaji uwepo wake karibu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sina tabia wala mazoea ya kuanzisha thread za mahusiano lakini kwa hili hapana; Mimi kama Mwanamme ambaye nitabaki kuwa mkweli kwa kuwa kweli hukuweka HURU, nasema hivi; tangu kubalehe hadi sasa...
4 Reactions
86 Replies
6K Views
Jaman wadau naomba kujua huu msemo na umeanzia lini na kwann upo, "TANGA WAENDA LEO WALUDI LEO"
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba kichwa cha habari kisomeke; Wazazi msiwaambukize watoto wenu chuki dhidi ya wazazi wenzenu Wapo watu waliozaa, na kwa sababu moja au nyingine hawaishi pamoja. Wapo baadhi ya watu (hasa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada wa kupata namba za Simu za watu wa USPS (United States Postal Services) - Dar-es-salaam. They hav my parcel, but I am here in Mwanza, no offices here, I don't know how to get...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I overheard this story! A: Umemcheki yule mrembo mshkaji? B: Da! Ni balaa kaka, mzuri kama jini! Jamani kuna watu wazuri wazuri dunia hii!! A: Mm huwa namzimia balaa, lakn hata kumpa salamu tu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
sherehe ya harusi itafanyika bwani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
101 LIES MEN TELL WOMEN 1. I'll call you. 2. I love you. 3. You're the only one. 4. I've never felt this way about anyone else. 5. I've got to work late at the office tonight. 6. That's...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hapari wapendwa! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale tumekuwa tukichangia hoja za hapa na pale, zaidi kuna uzi mmoja hivi tulikuwa tukiuchangia kuhusu suala la wanawake kuvaa wigi, kila...
2 Reactions
59 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…