Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kesi nyingi za kufumania na kujiua au kuua zinafanywa na wanaume . Hivi ni kwanini? Kwanini usiamini kuwa binadamu ni nyoka kwenye nyasi anauwezo wakufanya kila atakalo. Na kwahiyo uwe tayari...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wana JF, What about African men???!! just thinking aloud........ 1. Fear of commitment "I had been dating Michelle for about four months when the invitation to her Dad's party arrived. I...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Wajameni, Nimesoma "article" moja hivi karibuni ambayo mwandishi wake anasema watu wengi hatuendelei kwa kuwa tunang'ang'ania hali zetu za zamani. Anatoa mifano ya watu kupaka rangi nywele ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani naomba tujadiliane hili, ndoa nyingi za kiislam unaweza kupata mchumba asubuhi na kuoa jioni, lakini kwa wakiristo is complicated. Je kwa experiance yako, ni zipi zinaongoza kuvunjika, za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamvi. Mimi ni kijana wa makamo na nimedhamiria kuchukua 'jiko' yaani mke mwakani.kwa wale wenye majiko au wazoefu wa kamati za harusi naomba msaada wenu katika hili...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
wadau wa jamvini, ukweli tumekuwa tukishauriana mengi tena kwa ustarabu na busara ya hali ya juu. Mimi ni mwanafunzi ktk chuo fulan hapa Dar, nimetokea kuwa na hisia za kimapenzi kwa mwanamke...
0 Reactions
179 Replies
13K Views
Wanaume tuna lugha moya tunayoelewana na kukubaliana mahali pote duniani. Lugha hii wanawake wanaweza kuihisi lakini ni ngumu sana kuilewa kwa wao pia wana lugha yao inayowaunganisha wanawake wote...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Mie B, Na date na Dada X, Inatokea X anakuwa MBALI nami kwa muda mrefu, najikuta Na nasa kwa Dada Y, she is hot and descent, anapata info za X, ananiulizia kuhusu X, nakana kuwa sina mahusiano...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
wengi wakikutana na wacchana wakiwa ata nguo ya ndan ikionekana kdogo 2 watasema anatembea uchi bt kwa mvulana akitembea amevaa mlegezo n kawaida y???????????????????
0 Reactions
37 Replies
12K Views
Habari wan JF!!! Hapa ofisini tuna jamaa (mwanaume) kaajiriwa takribani mwaka sasa umeisha, wakati anahama kutoka alikokuwa (Singida) alikuja na mpenzi wake! Mpenzi wake huyu jamaa alikuwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi karibuni nimerudi Tanzania, nikafurahi kuona wazungu wengi kwenye ndege, hasa ma single hasa wanawake na baadhi ya wanaume wenye hadhi ya kuwa wa maana. Utani wao wengi kwenye ndege na...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
jamani wana jf nisaidieni nina mpenzi wangu ambae nampenda sana, na tumeishi mda mrefu, kuna tatizo limemtokea hivi karibuni, kila tunapo have sex anatokwa na damu ingawa haumii, je tatizo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za sahizi wapendwa, poleni na weekend na pia nawatakia weekend njema. Nilikuwa na swali kuhusu wanawake/wamama wajawazito; Ni kama inatokea mara kwa mara wanawake wajawazito wanakuwa na...
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Mtu aliyopo kwenye uhusiano kuwa na wasiwasi na mawasiliano ya mwenzake, inaweza kuwa ni: 1. yeye hachiti kwahiyo anataka ahakikishe na mwenzie hacheat? 2. anachiti ila anadhani na mwenzie...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
natafuta mchumba kabila lilite,dini yoyote,awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne,awe namapenzi ya kweli.asiyewahi kuolewa umri kati ya miaka 20-22.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mkeo au hata mzazi wako akigundua kuwa hapa jamvini wewe ni kutetea matumizi ya tigo na ufirauni, pia ni mtetezi wa ngono nje ya ndoa. Sipati picha.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Moyo ulianza kunienda kwa kasi, viganja vilianza kulowa jasho, na koo lilinikauka nilipokuwa nikikata kona kuingia katika eneo la Hospitali ya Bombo, mjini Tanga. Moyo...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Wadau, Ninae mchumba ambae natarajia inshallah kumuoa na sote tumeridhiana, cha ajabu ndg zangu wa karibu hapo awali waliridhia na kushinikiza nimuoe lakini kwa siku za karibuni hao dada zangu...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Inasemekana wenye majina hayo na mengine mengi huwa ni vicheche na hawatulii na wapenzi wao,sijui kuna ukweli kwenye madai haya!
0 Reactions
74 Replies
5K Views
Sisi wanaume ndo tungekuwa tunapata mimba (ceteris peribus)? Je wanawake wangeendelea kusubiri sisi tuwatongoze kwanza hata kama wamefall inlove na wangependa kuzaa na sis? Sisi wanaume na tabia...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…