Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Home: Geneva of Africa,mama mchagaa.baba nmgoni. Nimekuwa nikisafiri kati ya DSM na ARUSHA.Kuna nyakati nalazimika kulala gesti house.Huko gesti husikia vilio vya maraha,kwenye corrido hupishana...
0 Reactions
108 Replies
13K Views
Sasa sitaki magumash Yeyote aliye Tayari anitafute haraka sana maana najua muda ukiisha tu nafunga recruitment chrissg@myway.com fasta
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari yenu wandugu...natumaini wote m-wazima wa afya! Linapokuja swala la mahusiano/ndoa na watoto waliozaliwa kabla hua hatuachi kuongelea mama wa kambo na malezi ya watoto.Naongelea wamama...
7 Reactions
166 Replies
10K Views
Hawa watu wanaotumia jf lv conct kusaka wachumba huwa wanafanikiwa? Na nyie mnaofanya hivyo muwe mnatupa ushuhuda, sio tunakuwa wote kuchangia halafu kitu chako unakula mwenyewe.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilibahatika kuwa na m penzi tangu 2006,ambapo pia nilifaulu kuendelea na kdt 5 na baadae chuo na sasa nahitimu mwaka wa 3,wakati wote huu 2mejitahidi kuwa wapya kila mwaka na bado 2napendana.HOFU...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Hivi ni kwa nini wanawake waliopata nafasi ya kupata elimu zaidi wengi wao wanaongoza kuwa na tabia zisizo nzuri za kimaadili, kama vile mavazi yasiyo ya kimaadili, umalaya. Hatimaye baadhi ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ebana wana JF,Mimi nataka msichana wa kuwa naye urafiki,na kama tuki couple tabia tuoane,maana niliye naye hayuko tihari kuolewa na sababu hasemi. Ila itakuwa bora zaidi kama unaishi mikoa ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mdada mmoja,siyo mzuri sana lakini ni mrefu,mrembo na msomi na ni type yangu na binafsi namuona ni wife material.Nimempenda huyu dada.Yuko single.Ni muda mrefu namtongoza lakini kila mara...
0 Reactions
66 Replies
10K Views
aaah! mods naomba mic niwakilishe. oh! baby! nimekaa na kutulia, mengi nimefikiria Mawazo yamenijia, tangu tulipoanzia shairi nakutungia , nielewe my dia mwenzio ninaumia, please say wewe pia...
11 Reactions
165 Replies
11K Views
Tunadanganyana, navojua baby ni mtoto mdogo tena asieweza hata kuongea, sasa inakuaje leo watu wazima tunadanganyana kwa kuitana majina ya ajabuajabu? Mfano sweet/tamu, kwani kuna mchungu au...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
Unakuta girls wengine mkishaachana kwenye mahusiano utasikia anaongea hivi face to face na wewe au anaongea kwa pembeni.''''So this is the person you replaced me with? hahahahahah!'''' Hapo ina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi! Jamani inasemekana kuwa % kubwa ya wanaohudhuria kwa sangoma kuhusu suala la mapenzi ni wanawake, SASA,,,, sababu inayomfanya mwanawake kwenda kwa waganga wa kienyeji ni nini? Je, 1...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Does a vast age difference in relationships mean that the relationship is bound to fail? Or is it something that couples can work on togeth
0 Reactions
24 Replies
3K Views
kuna binti mmoja ana mpenzi wake anampenda kwa dhati na kujitaidi kumfanyia kila lililo ndani ya uwezo wake... na wana mipango mingi na endelevu ndani ya mahusiano yao..sasa basi kuna siku moja...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Gazeti la daily mail la marekani limeripoti leo hii. Kichwa cha habari,"imf boss dominique strauss kahn semen found on shirt of hotel maid accusing him of sex assault" na linatiririka kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Im sorry if i wl nt be understood ,bt i met ths gal after brick the ice it was sex she was screemin in a loud that i hv never heard before,th ws gol scored ,i told her u better leave cz its lyk, i...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Strauss-Kahn DNA 'linked to maid' Dominique Strauss-Kahn's DNA matches a sample found on the clothes of a New York hotel maid who accused him of sexual assault, US reports say. bbc...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mie kiukweli huwa nasikia watu jinsi wanavyo sifia kwenda chumvini na wengine alamba! Alamba! Amu! Yaani kulamba koni sasa juzi ndo nilizidi shangaa kuna dada mmoja ambae tumezoeana sana yaani...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Jana hapa mtaani kwetu tulipokuwa tunabadilishana mawazo ikaibuka mada kuwa akina dada wasomi kuanzia kiwango cha digrii na kuendelea eti wengi wao huwa hawaolewi na hata wakiolewa huwa umri wao...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
jamani okoeni hii ndoa wanajamvini...Huyu dada kaolewa miaka 6 iliyopita lakini wakati anaolewa alimkuta mumewe kashajijenga kwa mali nyingi ijapokuwa sio saana! Mumewe kiufupi kwenye 6*6...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…