Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hi wana jf, mi mwenzenu mara kwa mara huwa najiuliza ivi ikatokea kuwa aya maisha uliopo sasa ni ndoto tu na wewe kiualisia ni mtoto wa miaka mitano umelala ndo umeota maisha ulionayo sasa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Naweza nikawa nimewakera kwa nia moja au lingine na posts zangu mbalimbali. nachosema I'M SORRY nilichukulia hii site kama site zingine.BUT MNISAMEHE TU KAMA NIMEWAUDHI KWA CHOCHOTE.
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Was just wondering!
0 Reactions
60 Replies
4K Views
Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'.... ***************************************************************** Mimi na mke wangu tumekuwa katika ndoa yapata miaka mi 3 sasa! Hali...
0 Reactions
90 Replies
18K Views
Mamaako anatembea na mtu mwingine wakati babako yuko hai na anampenda sana mama.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika. Miongoni mwa hao...
0 Reactions
74 Replies
6K Views
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu! Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi...
3 Reactions
204 Replies
12K Views
Dear Malaika... You were honest and true to me, your love was caring and kind, It turned sadness to happiness, a love that judges with heart and never with the minds, because is...
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Kuna rafiki yangu mpenzi ameoa mwanzoni mwa mwaka jana...ni kipindi kirefu sasa amekuwa akiniomba ushauri juu ya mambo kadhaa kwani nami pia nimeoa...ameniambia amekuwa akivumilia sana katika ndoa...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, kama tujuavyo kila mmoja wakati ukisogea huhita kuwa na jiko...hivyo yatupasa kufahamu baadhi ya mambo mhimu ndani na nje ya hilo jiko. Hvyo jamani mimi leo niko hapa kuombeni...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari wana JF Hapa nilipo nina mpenzi wangu ambaye tuna miezi 8 sasa tokea tumeanza urafiki wetu. Huyu mpenzi wangu ananipenda sana lakin mimi moyoni mwangu hayumo kabisa, najitahidi kila mara...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Helo Peeps.. Since Last Year Up Until Few Months, Nilikua Kwenye Uhusiano Na Mtu Maarufu... We Met Through A Mutual Friend At A BBQ And The Attraction Was Spot On For The Both Of Us.. Anywhoo Yeye...
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Nani mwenye kuathirika zaidi, kati mwanamke na mwanamme baada ya talaka? Naombeni wana JF.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niliulizwa hili swali nikakosa jibu naomba nanyi munisaidie. Kuna jamaa yuko Jo'burg akamuagiza mdogo wake amuolee mke na nduguye akamuolea,huyu jamaa akaamua kurudi Mafia kiss one(kisiwani) ili...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ni kuzalishwa huku hajaolewa!
0 Reactions
33 Replies
11K Views
Kinamama someni signature yangu mpya hapo chini,je mnakubaliana nayo?
2 Reactions
168 Replies
9K Views
Imeshakupata au kutokea au huamini kama ipo kitu kama hii?au ni uzushi? Unakuta jinsi unavyoendelea kuchat na mtu,kuwasiliana kwa simu hata kama hamjawahi kuonana au kuona picha yake unaweza...
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…