Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Inakuaje binadam unakula kwa style kama hii? una tafuna chakula kama mbwa au ndo tuseme umeishi na mbwa sana? Nope,ume haribu lunch yangu!
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Duuh! hii kali, ama kweli ubaguzi unapamba moto! vipi wakuu mnakubaliana na hizi findings? maana mimi binafsi nimegoma! the most beautiful woman in the world is a black woman! Shabaash!! Are...
2 Reactions
84 Replies
14K Views
Mnakumbuka huu wimbo amempata mwenzake aliepewa na bwana nawatakia wote wanaoenda kupeana pete za kuwa mume na mke maisha mema na ya faraja na furaha ndan yenu..kumbuken mungu ndie mweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani umri wangu naona kama unasogea taratibu,nina miaka 42 lakini sijaoa bado,lakini niliishi na mwanamke miaka ya nyuma tukazaa lakini tulipoachana mpaka leo sijafikiria kuoa tena,lakini nahisi...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wana jf, hebu niambieni endapo itatokea kwenye mahusiano yenu utafanyaje. Umezoea kuchat na mwenza wako mara kwa mara unampenda sana na huna mahusiano na mtu mwingine.,sasa inatkea siku...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Ndugu zangu unakuta mara ya kwanza kwenye uhusiano kuna kuwa na upendo wenye nguvu zaidi.Na kila mtu anakuwa anamfurahia mwenzake wanapokuwa pamoja. But kinachonikera mpenzi wangu ana tabia ya...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
nimewahi sikia hili jambo? kwamba kuna kipindi fulani,katika mwaka miezi fulani hivi... huwa inakuwa ina mapenzi zaidi... na kipindi fulani hivi kunakuwa na kama ukame hivi........ binafsi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuna mzee nilikutana nae kwenye basi nikielekea Mwanza kutoka Arusha, katika stori nikajikuta namuuliza yule mzee, nikija kuoa ili ndoa yangu iwe na amani nifanye nini? Akanijibu kuwa; Ukija...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Inaonekana mabint na hata wamama watu wazima siku hizi wanapenda vijana masharobaro ndo maana vijana wengi sikuhizi wanajipodoa na kuoga mara 6 kwa siku!!Je wewe wako nae ni sharobaro?
0 Reactions
96 Replies
11K Views
Mtafaruku wa Mkuu wa Shirika la Fedha duniani kushawishika na mwanamke wa kiafrika mwenye mtoto wa miaka 9 akiwa mfanyakazi hotelini na kuishia kulazimisha mapenzi bila ridhaa yake. Ninachoshangaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanawake wengi wanachangia sana kwa waume zao kuwa na vidumu aka nyumba ndogo. Mkiwa pamoja mwanamke ana visababu vingi sana vya kumfanya asiwajibike. Hivyo inawafanya wababa watoke (kidooogo) ili...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nina best yangu mmoja ameanza uhusiano na binti mmoja mrembo sana tuuu, na wana kama miezi 6 hv, kwa jinsi ninavyomfahamu huyu jamaa ana uzoefu mkubwa ktk maswala ya mahusiano na girlfriend zake...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Najua ni vizuri kushine ila kuna rafiki yangu amesema neno moja nkajiuliza mara mbili,ETI WOMAN ARE NOT WEARING CLOTHES TO GET MORE ATTENTION TO MAN BUT TO THE FELLOW WOMAN AROUND , I like the...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
1. There are two types of men. Those who cheat and those who lie about it. Choose one 2. Men have sexual thoughts about EVERY woman they meet (except their mothers & blood sisters only). 3...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi wana jf, mimi ni mgeni katika ukanda huu hivyo natafuta members ambao tutabadirishana mawazo katika sekta zote!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi salamu! Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara...
15 Reactions
217 Replies
12K Views
Dear JF reader, yes you, this is for you. This is a letter to tell you that you're special. Not only are you a unique person, made from the same stuff as stars, but everything you have done in...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu dada anaomba msaada.. Akiwa ndio amemaliza skuli yake na kupangiwa kazi alipofika kwa ofisi akakutana na kaka ambaye hakumpenda hata kidogo kuanzia muonekano mpaka mavazi ,na hakupenda hata...
5 Reactions
106 Replies
8K Views
Its about Love na hii hisia ya Mapenzi. Nina maswali machache ambayo nimekuwa nikijiuliza: 1. Hii hisia ya love inawezaje kugawanyika? Kwa kugawanyika nina maana kuna love za aina nyingi. Kwa...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Kuna mzee mmoja (mfanyakazi/mheshimiwa) alienda semina mbali na kwake, huko ikabidi akuchukue nyumba cha kulala wageni, baadae ikabidi atume wahudumu wamtafutie kiburudisho (ka CD). Kwa kuwa yeye...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom