Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani kila mara nawaza na ninapenda kuwa na familia yangu(kuoa),kuwa na nampenzi mwaminifu,but mimi nikifiria maisha baada ya kuoana naanza kuwaza sana,kwa mfano najiuliza. Je akija kuniacha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano: 1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi 2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani...
4 Reactions
120 Replies
7K Views
jamani mimi kitu kinanishangaza ni haya majibu ya wanawake wanapopigwa sound au kutongozwa, kwa mfano mwanaume; mi nataka niwe na wewe mwanamke; nina mtu. mwanaume; kwa hiyo...
0 Reactions
63 Replies
39K Views
Mi ninakupa sifa kwa mapanzi wajuaa..... Tuma ringa, we ndio wangu kifaa.... Tuma dunda! wewe ndio wangu mamaaa-sitaki mwingine tena! Umewashinda wote nilopitia.... Tuma Ringa!
1 Reactions
11 Replies
11K Views
Kumbe ukweli kwa mara ya kwanza ukimwambia demu utamkosa hata muuza maandazi? Lol..!! So kwa mara ya kwanza uongo 90% ukimpata uongo unapungua around 70%, mara ya pili umempata 50% uongo na ukweli...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nataka kujua hivi ngono ina faida gani zaidi ya ule utamu unaosikia wakati unakojoa/kukojolewa na kuzaa. Hivi kuna faida zaidi either kiafya, akili etc. Nataka kujua ili kama kuna faida extra...
0 Reactions
48 Replies
24K Views
Habari zenu wana jf i hope mko poa, swali langu ni kwamba ni dalili zip/ alama gani ambazo huonekana kwa mwanamme anaye toka kimapenzi na housegirl wa nyumbani kwake ilikhali yeye ana mke...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Watanzania mimi ni mwanaume niliye na mchumba ninayemjali sana,nilimwamini na kumtambulisha kwa ndugu zangu lakini ghafla amebadilika anazima simu na kuwa na visingizio vingi.Leo ilifikia hatua ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni miezi miwili imepita tangu ndoa hii imefungwa,lakini iko kwenye misukosuko mikubwa baada ya mume kila akilala amekuwa akiota ndoto na kujikuta akitamka kwa sauti jina la mpenzi wake wa zamani...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndugu jamaa na marafiki nawasalimu wote. Je Avatar ninayotumia sasa ina tatizo lolote au niendelee nayo tu. Nauliza hivi kwa kuwa kuna watu watatu tayari wameni-pm kuwa nibadilishe naomba maoni ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kila mwaka matukio yanayojiri kwenye jumba hilo ni ngono zembe, uzinzi na ulevi. Zaidi ya hayo BBA ina mpya gani?
0 Reactions
20 Replies
7K Views
jaman nilikua na mpenz kwa miaka mitano na ushehe ila 2kaja achana na kila mmoja akaenda separate way, ikawa no calls, no sms hata salam na sasa kila mtu ana mpenz mwingine kwa takriban kama mwaka...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jana nlianzisha thread kuuliza wale ambao bado hawajoa/olewa kama wangependa kufanya hivyo mbeleni na kama ni ndio au sio kwanini??! Majibu niliyopata yalikua yanatofautiana kwanzia waonataka...
6 Reactions
81 Replies
6K Views
1. Hamna kuingia JF 2. Hamna kuangalia mpira. 3. Hamna kutoka na washikaji, kama ni bia zitanywewa home na mwisho ni bia mbili. 4. Hamna kutembelewa na marafiki. 5. Hamna kununua magazeti...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
Kama ni kweli basi kizazi chetu kina laana.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kila kijana utakaekutana nae barabarani hata wewe unaesoma hii thread na wengine wameshatendwa(kuumizwa kimapenzi)kutokana na hali kuna ambao wameamua kutokuwa waaminifu au wengine wanarevange...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
By Dr. Phoenyx Austin 1. Facebook Stalk Facebook has truly taken ex-stalking to a whole new level. And while I understand the temptation to peek at an ex’s profile from time to time, I still...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Kama Ivuga amekua "Saint Ivuga",basi na mimi naweza kuwa Saint Speaker,... na kila mtu ajiite Saint *****; Nahitaji kipimo nijue kama nakaribia kutangazwa mtakatifu au nisubiri kidogo...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom