Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Imani ktk mapenzi haizizingatiwi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi sio mwenyeji wa hili jukwaa, lakini napitapita mara kwa mara angalau kusoma mada. Juzi w/end nilikuwa kwenye kasherehe na vijana wenzangu kutoka mataifa mbalimbali ya Africa (sana Zimbabwe)...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Shalom nashuukuru mungu kwa kuwapa nafasi tena kuweza kuuona mchana wa tar 16 may2011...si mbaya tukakumbushana najua akuna jipya ila kinachoaribu ndoa za watu sikhizi ni kusahau yale...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu tafadhalini sana naomba msaada wenu, kijana mkorofi, mtukutu amemaliza f4-2010 matokeo ana D moja tu ya biology,veta hataki anataka kuunga certificate ya business, akaomba ali-sit mwaka huu...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Huu wimbo na upenda hasa pale nipokuwa niko lonely na kumisss mpenzi wangu waroho lakini si kwa wapitaji.. Sijui wewe huwa unakumbuka ukiwa wapi.. YouTube - SEXUAL HEALING - MARVIN GAYE - (1982)
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Ni bora msiba unaojua umetokea na watu wanakuja kukupa pole ogopa mtu alieumizwa aliekuwa na msiba wa ndoa ambae soln yake ni yeye na mungu wake akuna atakae kuja kumpa pole maana soln ni yeye na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ndugu wana jamii hili suala limekuwa likinitatiza binti mbichi kabisa kuwa na mausiano na mwanaume aliye oa kwanini asijiusishe na kijana mwenzake ladba ipo siku mambo yakwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Juzi jumamosi nilibahatika kumsindikiza rafiki yangu mmoja kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa fiancee wake. Pamoja nami na bwana harusi mtarajiwa, tulikuwa pia na mjomba wa huyo rafiki yangu na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Natangaza maandamano ya nchi nzima kwa wamaume wote ambao wamechoshwa na kufanywa kama ATM machine na wapenzi wao Wanaumeeeee!!!!! itikeni basi,...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
A woman awakes during the night to find that her husband was not in their bed. She puts on her robe and goes downstairs to look for him. She finds...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF popote pale mlipo,ni matumaini yangu Mungu wetu mwema anawapigania daily, Wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu kwa wale mliokuwa tayaru mmeoa/olewa na wale walio bado pia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
provided by More women are taking their new husbands' names after marriage, research shows. But the decision continues to spark debate and confusion. More from Yahoo! Finance: • Gas Saving...
1 Reactions
84 Replies
6K Views
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa. Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto. Leo anajitegemea na...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Mara kadhaa imejitokeza mijadala humu jamvini kuhusu dawa za kichina za kuongeza au kupunguza ukubwa wa viungo mbalimbali vya miili yetu. Lakini mjadala mkubwa umekuwa unahusu dawa...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
wajemeni hivi ni mimi tu au kuna wanawake wengine pia hizo G-strings na bikini hatuna mzuka navyo??am more comfortable nikivaa pants kubwa ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Simaanishi yule mliochakachuana, mpenzi ninayemsema ni yule wa enzi zile za kidali poo, kombolela,kucheza ule mchezo wa baba na mama au kama mnakumbuka ule wimbo wa " NILONGE NISILONGEEE...
0 Reactions
89 Replies
7K Views
That you should:- Go for younger men. You might as well be young - they never mature anyway. Never marry a man for money. You'll have to earn...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Pengine wawezaa jiuliza kwanini? Hii ni hali halisi na ukweli, Habarini za asubuhi wapendwa ktk bwana natumaini Mungu amewawezesha kuikwepa folen ya asubuhi hii na kama bado basi si haba waweza...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu zangu nionavyo ni kuwa sisi waafrika watanzania in particular kutafuta wapenzi au wachumba kwa njia za mtandao hatuwezi kabisa na wala hili si letu ingawa tunajitahidi na kujaribu...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Twafafanua upendo nana gani? Imeandikwa, 1Wakorintho13:4-7 "Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hausudu; upendo hautabakari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti ambo yake; hauoni...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom