Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nitaanza kuwataja,kwa majina na tabia, Afrodenzi namtaja, nyamayao fatilia, Nilham anakuja,wa rasheedi fatilia, Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja, Judi wetu mwanaheri,asha d sitokuacha...
6 Reactions
163 Replies
10K Views
Bhoke arrived home from work early one day and found her husband, Marwa, in bed with another woman. "That's it!" she shouted, "I'm leaving and I'm not coming back!"...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanawake nchini Burundi wana mazoea ya kuwaandalia wenza wao kondoms wanaposafiri. Je, hiyo inamaanisha kuwa wanaume hawawezi kuvumilia? Na kitendo cha kupewa kondoms na mke hakiwezi kuonekana ni...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Wakubwa nina hilo gamba nalifananisha na EL! Nina miaka kama 6 na huyu demu but katika miaka hiyo kashindwa kabisa kubadilika both kitabia and kimuonekano! Demu ananipenda sana tatizo ni tabia...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna demu mmoja nilikua na mahusiano naye zamani sana ilikua mwaka 2003, mahusiano yetu yalikaa kama miezi mitatu then akaondoka kurudi kwao Ngara. Katika kipindi cha mahusiano yetu hatukuwahi...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Takribani mwezi sasa umepita Nguli sijakuona iwa unachangamsha jukwaa pia hata meza kwa kujivinjari na Nguli kubwa vp mzee mabox yamekuelemea? Masa jana kasema amekuacha Zenji umenogewa na pweza...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Cheating everywhere in every time! Do You cheat? And what do You think about cheating?
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hivi kuna saa nyingine mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
3 Reactions
71 Replies
6K Views
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita. Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
kwa wale waliosoma shule za bording na single sex mnakumbuka nini kuhusu wake/waume zenu? shule moja huamini kuwa wake zao ni shule fulani katika madisco wao hupewa kipaumbele sana na kama kuna...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mchumba,wajamani nina tatizo ambalo ni siriaz naomba msipuuzie,nina mchumba nimempenda na si ishi nae mwaka ss umeisha,kuna shida moja nampenda sn na yeye ananipenda shida ni kwamba mi niko chuo...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kwa kufanya hivyo tutaweza japo kwa kiasi kidogo kupafanya duniani kuwa ni mahali pazuri pa kuishi.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wahenga walisema mnyonge myongeni lakini haki yake mpeni... To date mwanaume bado anasimama kifua mbele kuwa mpishi mzuri duniani na hakuna wa kumlinganisha. Just imagine kwa soseji moja, mayai...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu? Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki? Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana...
0 Reactions
169 Replies
13K Views
Ndg wana JF naombeni mnisaidie kujua hili, inamchukua muda gani mwanamke anaye nyonyesha kuanza kushriki tendo la ndoa na mwenza wake? Naombeni majibu yenu mnaojua plz
1 Reactions
71 Replies
11K Views
Wana JF hongereni kwa kazi!!!!. Jamani naombeni maoni yenu kuhusu mwanamke anayecheza Karate anafaa kuolewa? Au inabidi aolewe na mcheza karate mwenzake? au kama mwanaume achezi nilazima kujifunza...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimeskia watu wengi wakiongea kuwa kama wewe ni mwanamke then ukamwona mpenzi wako anakuomba tigo ujue hakupendi!!wanajamii hivi kuna ukweli katika hiyo belief
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani wadau nimepanga kutoa posa hivi karibuni kwa binti machachari hapa jamvini na kwa jina ni DENA AMSI. Nawakaribisha woteeee tusherekee natumaini hii itakuwa safari yangu ya mwisho wa...
1 Reactions
153 Replies
8K Views
Wana Jf kuna dada yake na mdogo wangu ambaye ni mtoto wa baba mdogo. Nimefahamiana naye sababu ya mdogo wangu, tumezoeana na namheshimu kama ndugu yangu. Lakini cha ajabu ameanza kuonesha kila...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam wakuu kuna kisa kimenitoke ila nakosa namnaya kukikabili, Nina mpenzi wangu nipo nae huu mwezi wa 9 sasa, yeye yupo moshi mimi nipo arusha...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom