Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Umekuwa mbali na mpenzio/mkeo/mmeo kwa takriban miezi sita au zaidi...! Japo mawasiliano yalikuwepo na mipango yenu ilikuwa wazi kwa kila mmoja... ! Wiki moja baada ya kukutana tena mwenzako...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
When a woman loves, she loves for real. Mercy - I don’t want my boyfriend to go to jail; I love him STICHES cover her once beautiful face, while pus seeps from her severely cut ear. Her...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Dear Friends, Lets Share this as well..... It's a story that you might find strangely familiar. Don't be alarmed. Once upon a time, there was a man who was very attracted to a particular...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wiki hii nili vinjali Tanga Baada ya Mizunguko ya muda mrefu kutafuta faranga pande zote za Dunia! Nikiwa Ocean Breeze pale Tower Street, Nilikuwa na hamu kubwa ya kuendesha black mettalic car...
3 Reactions
98 Replies
8K Views
last three months nilipatwa na msiba baba yangu kipenzi, tukazika salama na kila kitu kimeenda vizuri hakukuwa na tatizo lolote..about two weeks sasa yamenza kubumburuka mambo ya nani mrithi wa...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
...kuna nyakati hunijia wazo nitafute mw'mke anizalie mtoto wa kike, aniachie mtoto (aendelee na maisha yake.) Sihitaji mke:nono:, wala kujaribu mtoto mwingine na my Ex-Wife wangu, (mama wa...
1 Reactions
156 Replies
22K Views
Jamani, kuna rafiki yangu wa karibu sana kaniambia kuwa yeye anaurafiki na dada mmoja hivi (urafiki wa kawaida tu) kwa muda mrefu sasa! Hajawahi kumtongoza hata siku moja, lakini juzi kati hapa...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana JF, poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia zetu kwa ujumla. Ninaomba ushauri wakuu, Katika hali isiyo ya kawaida kuna dada mmoja anadai kuwa jamaa yake wa karibu kampa kibendi ...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Nina kijana wangu ana soma form one, maendeleo yake ni mazuri sana kwani ameweza kuwa wa 2 kati ya watoto 140. Sasa ili kumpa motisha nilimwambia nitampeleka out siku ya mwisho kabla hajaenda...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Juzi nilikuwa kwenye kitchen party ya shoga yangu na mama mmoja aliyekuwa karibu yangu akasema WANAUME WENGI USIWAONE WANAJIDAI BURE, HAWAJUI KUFANYA MAPENZI!! He, nilishtuka kidogo na kutega...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
hongereni kwa kuivuka pasaka tukiwa na uhai. (TUMSHUKURU ADENAI). Ni tumaini langu kuwa hapa jf ni kama chungu kilichobeba kila aina ya watu, wakubwa, watoto, wafanyakazi, wanafunzi n.k. Tatizo ni...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Unapotokea msiba, tunalia sana. Hasa ndugu na jamaa wa karibu. Uchunguzi usio rasmi umeonesha kwamba, kila mmoja hulia kwa sababu tofauti na ni wachache sana ambao wanalia kwa mapenzi ya dhati...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Mijadala mingi ya ndoa imeangalia sana mambo ya mapenzi na tendo la ndoa. Haya yameonekana kuwa ndiyo chanzo cha mifarakano na matukio ya kutisha kwenye ndoa. Hata hivyo watu wamekuwa hawajadili...
19 Reactions
169 Replies
14K Views
Kuna siku mdau mmoja hapa MMU alileta mada ya mama kufua kufuli ya mwanae wa kiume,kusema kweli yalisemwa mengi,nakumbuka ilifikia mahali mashambulizi yalipamba moto dhidi ya mtoa mada hadi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wadau naweka hoja ya haja jamvini, je ni sawa kuoa/kuolewa na mtu mwenye jina sawa na mzazi wako?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Binamu yangu ananitaka kimapenz.nifanyeje?kuna ubaya?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habar zenu great thinkers wote? Mimi ni kijana mfanya biashara, niliwah kupata rafik wa kike katika biashara zetu na ilitokea tukawa karibu zaidi kitu ambacho kilisababisha niwe na hisia za...
0 Reactions
93 Replies
7K Views
Si kutu cha ajabu kusikia wadau wa kundi fulani wametokea kuandaa kitu cha kuwakutanisha kwa pamoja. Sijuwi na hapa imeshawahi kutokea hii au....? Ila kwa ufupi, natamani itokee. Huu ni mtazamo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jaman nina mpenzi wangu ambaye tunaishi mbali naye me niko mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine tuliachana miaka minne iliyopta baada ya kucheza mechi za utotoni bila kujari kinga na kumasababishia...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu kila mmoja wetu hapa amewahi kupenda au kupendwa kama hajapendwa au kupendwa basi yuko kwenye mapenzi tayari lasivyo soon au later atakuwa na mpenzi kama si hivyo anafikiria ipo siku atakuja...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom