Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ivi wanawake kulinga linga wakati wanatongozwa wanafanya makusudi au ni kujifnya hawataki wakati wanataka. Mara simu kakata, mara majibu ya mkato, mara nimechoka siwezi kuongea, mara kazima simu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Huwa najiuliza mara nyingi lakini nakosa jibu zuri, naomba nipate mawazo tofauti tofauti, inaweza kutusaidia wengi wetu. Wanandoa wengi hasa wa miaka ya sasa, wakikorofishana korofishana baada...
14 Reactions
216 Replies
13K Views
Jeez mwenzenu katika hali ya mshangao nikiwa gereji nasubiri bajaji yangu ifanyiwe marekebisho madogo madogo Kulikuwa na kina baba pia kina mama na ndoa zao,pia kulikuwa na vijana ambao wako ktk...
5 Reactions
98 Replies
6K Views
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't...
2 Reactions
124 Replies
14K Views
Hivi inakuaje mwanamke anaondoka nyumbani kwake anamuaga mume wake ambae ni mzuri as in hamnyanyasi na anajitahidi siku zote kumfanyia mke yaliyo mema..alafu anaenda kukutana na kimada wake ambae...
9 Reactions
243 Replies
13K Views
Wapendwa kuna rafiki anataka kumwambia mtu ile I LOVE U ya kuanzisha uhusiano,anaomba neno jingine la tofauti coz hili la sasa kwake anahisi ni jepesi sana (limekosa mvuto wa uhalisia) kwa huyo...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Nimepita mahala nikakuta my carpet na wadada wengine wanapiga story,kilichoniuma zaidi ni kusikia mimi naitwa buzi.na aliyetamka hivyo ni wife.Je ungekuwa wewe ungefanyaje?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ninapokuwa nimetulia, huwa napenda kuandika kidogo.... JIKO Yapo aina nyingi, bei yazidiana, Ya tofauti shilingi, pia kulitumia, Kuna ya ujuzi mwingi, na ule wa kawaida, Jiko lako aina...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwaka jana kuna rafiki yangu ailkutana na msichana mmoja aliyesoma nae!Kwa muda msichana alimganda sana mshkaji na "I LOVE YOU" kibao.Mwezi uliopita mshkaji anaambiwa hivi unajua fulani kaolewa...
0 Reactions
70 Replies
4K Views
Nilipomfata mwanzo hakutaka hata kunisikiliza, nilipozid kumfatilia akanambia "sikupendi", "nina mpenzi wangu na ninampenda sana",, niliukubali ukweli na kuamua kukaa pembeni, siku, miez hatimaye...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Me personally ningependa kuwa ile G ..ng lol!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Napita hapa shinyanga na muda huu nakuta mzinga arusi, Bwana arusi umri miaka 79 na ni mhubiri na bi arusi afisa mmoja wa serikali. Imefana na waungwana wanashangilia ile mbaya. Kwa wazungu huwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
If you're buying a woman dinner twice a week, giving her flowers, calling her every day, and basically "chasing" her, then you can be about 80% sure that there's another guy in the picture...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimeshudia mabinti wengi hawavutiwi na nice guys kwanini??
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Hi JF members. Kuna ubaya wowote kama itatokea mtoto wako wa miezi 3-6 ambaye unalala nae atakuona ukifanya mapenzi na mama yake
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habar zenyu wanathnker ninawatakia her ya pasaka na pole sana kwa uchovu wa jana japo pia leo bidae kama kawaida tunaendelea na dubai. Jana katka matembezi ya hapa na pale nikaingia ndan ya gal...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
"The more attrective the voice for a lady, the higher the pitch and the more likely the chances she will cheat". Is it true? Please justfy it or dissaprove. Wana JF kuna ukweli wowote wa jambo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamaa anadai yupo kwa love relation mda wa mwaka na binti aliyenaye mara alipompata binti alijinadi kuwa ni mhanga wa love pia alishawadamp wakaka wa3 kwa kumfanya kikaragosi, sasa jamaa anasema...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Hello, need ur help guys Nina rafiki ambaye tumekutana chuo, toka nijuane nae is about 2 years now, siwezi kusema ni best friend coz simjui ki undani, ila most of the time tukiwa campus ndio mtu...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Kunaulazima au Nilazima kwa kijana wa high schl kuwa katika mahucyano?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom