Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huyu ni msichana ambaye nilianza kumfatilia toka mwaka 2009 mwanzoni. Mwanzo aliniambia anihitaji, nilipojitahidi kumbembeleza aliniambi kwamba hakuna kitu anakichukia kama mapenzi japo hakunipa...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Kutoka kwenye experience yangu binafsi. Nilikuwa na mrembo, mambo yalikuwa mazuri sana kati yetu... Tukapitia mengi sana kwa takribani miaka 3. Mipango ilikuwa mingi sana baina yetu.... baadae...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
KATIKA hali ya kuonyesha mmomonyoka wa adabu unazidi kushika kasi kwa baadhi ya watu, mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Rabia [32] amejikuta akipata aibu ya mwaka baada ya kukutwa...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Mi jamani hii inanikera sana hadi sasa hivi nimejikuta sipendi kuchakachua tena! Kwani demu anakupigia simu na kubeep mara kibao nimekumiss, nimekumiss afu ukikutana nae anaanza kukuomba hela na...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
One of the things I always believe about people is that each one of is purposefully , perfectly and uniquely made/born. We are unique from one another. The way I was created (if you believe in...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Someni hii: "I don't know why...there's just no spark left, you don't pay enough attention to me and our sex life and I guess I don't either!" This is a common sexless marriage situation...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimekuwa nikionana wamama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watotot wao wa kiume bila sababu maalumu hii inasababishwa na nini. Kuna kijana mmoja (true story0alilelewa kwenye kituo cha watoto...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Niaje, hii statement ilikuwa inanichanganya sana na mawazo yang mwanzoni yalikuwa yakitofautiana na hii statement. let me say it again " between men and women there is no friendship possible...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together?? Zamani...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wapenzi wangu Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha. This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui...
8 Reactions
213 Replies
12K Views
Kuna mdada mmoja mfanyakazi mwenzang kaolewa ana mme na mtoto mmoja, kinachoniuma ni kwamba huyu mdada anakipato kikubwa kumzidi mmewe sasa akikorofishana na mmewe anaanza kuwaambia wafanyakazi...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Tuna watoto wawili ktk famlia yetu, binti na wa mwisho ni mvulana. Mvulana ana mwaka mmoja na miezi sita. Sasa kinachonitia aibu ni kwamba huyu mtoto wa kiume tunapombadili nepi hua anashika nyeti...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Mambo zenu wana jf. I hope mu wazima. Kuna mdada nilido naye sasa cha kushangaza anasema ana mimba yangu wakati tuli do siku ya 23 ya mzunguko wake na anadai mzunguko wake nikat ya siku 26 mpaka...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari zenu great thinker, nina tatizo ambalo naamini naweza kupata msaada kutoka kwenu. Nina mpenzi ambaye tulifahamiana wakati wa shule yeye akiwa mwaka mmoja mbele yangu A-level lakini hatukuwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu wanajukwaa, Natumaini wote mpo fine. Jamaa yangu ambaye tumeoa nyumba moja, (yeye kaoa Mkubwa, mimi mimeoa mdogo mtu) kakosea alitaka kutuma ujumbe kwa nyumba ndogo yake badala yake akatuma...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ndugu zangu, Habari ya Karume Day. Leo nakuja na swali jingine la kizushi. Je, tukiamua nchi nzima tusifanye ule mchezo wa kikubwa kwa mwaka mzima ni nani 'watakaozidiwa' kiasi cha kuonekana...
0 Reactions
70 Replies
9K Views
Nimepata kuona, kusikia na kutendewa hiki kitu. Nauliza hivi kwanini Wanaume hawapendi kuambiwa: "Leo inabidi tuzungumze kuhusu jambo fulani" "Today We need to Talk"msisitizo. Nimeona...
2 Reactions
140 Replies
11K Views
Hi everyone outhere,Iam DAn and its just that Im so much in need of a soulmate.First she should be searching too to avoid wasting time. Two she should be ready for a serious...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Samahani kama nimekukwaza. Nina swali moja kwa kina dada walioolewa na mwanaume ambaye ana mke zaidi ya mmoja kwamba Je huwa wanajisikiaje mume anapoaga kuwa anaenda kwa mke mdogo au mkubwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wanathnker ni muda mrefu ckuwepo online hii ni kutokana na kufight kwa hali ngumu ya maisha. 2ache hlo leo nimeona 2saidiane suala hil kwa hv sasa naona kama ni fashion kwa watu weng kuwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…