Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Katika jamii yetu (Tanzania) mwanamke hapati elimu bora , anaonewa ndani ya nyumba,ndani ya madaladala (usafiri),kazini.e.t.c ili kuepusha haya mambo inabidi mwanamke apewe -elimu bure toka shule...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Nilikuwa na mjadala na rafiki yangu mmoja siku chache zilizopita kuhusiana na tabia ambayo miaka hiyo ya 47 tulikuwa hatuchukulii kwa namna yoyote mbaya na ambayo bado inaendelea kwa namna moja au...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wapendwa wana JF, Kwa muda mrefu nimekuwa nikitabika na hii kitu. Mara nyingi niwapo katika mizunguko yangu nikikutana na mdada yeyote yule aliyejazia jazia hamasa yangu kubwa huwa kumuangalia...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
You may be wondering how these foods can boost your sexual drive, but they certainly have the ability to do just that. Such foods may be consumed or used to enhance your relationship by having a...
4 Reactions
13 Replies
11K Views
habari wapendwa wanajamvi, naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa mmoja wa member wa JF amefiwa na Baba yake leo asubuhi. Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu. R.I.P Baba Pearl...
0 Reactions
149 Replies
10K Views
This thn changanya me most of the tym! Me napenda ku be luvd fist how abt u?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
waungwana! nilikuwa na mchumba,toka mwaka 2004,nikamtoa form four na sasa anamalizia degree ya education mwezi wa sita mwaka huu,mwaka jana mara tu baada ya kumlipia ada ya mwaka wa mwisho,kesho...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Heshima mbele wanajamvi,ni hivi nina marafiki zangu wawili ambao wao hawajuani bado ila mimi ndio nawajua Sasa rafiki yangu no 1 alikuwa na my girlfriend wake kwa muda mrefu tu,akaamua kubadili...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Bibi mwenye umri wa miaka 92 wa nchini Marekani ametiwa mbaroni kwa kumpiga risasi mwanaume jirani yake ambaye alikataa kumpa 'denda' bibi huyo ambaye alizidiwa na penzi kwa jirani yake ambaye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Una mpenzi wako wa kiume umekaa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu na wakati wote huo mmekuwa mkifanya mapenzi. Imekuja kutokea wewe umeamua kubadili mfumo wa maisha kwa maana ya...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
nina umri wa miaka 25,ninahitaji girlfriend mwenye umri kuanzia 18-23,awe atleast amesoma mpaka kidato cha sita,mkiristo,anayejiheshimu,mrembo na sifa nyingine nzuri. kama upo interested...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mara yako ya mwisho kulia ilikuwa lini na ulilia kwa sababu gani?too confidential,listen to your heart and say something.
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Luv is a game easy to start difficult to end. I thought I could control luv but sasa siwezi kuyaacha mapenzi, labda mapenzi yaniache mimi. Na nitamwacha mpenzi/nitaachwa ila mapenzi yako pale...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekaa nikawaza kidogo na kujiuliza hili swali. Yawezekana yaliyonisababishia kuwaza haya nimeyapitia jana, juzi, miezi kadhaa, ama miaka kadhaa nyuma. mapenzi ya wawili waliokutana kwa bahati...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
hawayuu JF! jamani naomben tushee experience kidogo. hivi kile kinachoitwa learn to love (kujifunza kupenda) kama nimepatia kiinglish, ni kitu ambacho kinawezekana kweli?? me nimepata hii doubt...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna huyu mwanamke ambaye nikiwa kijana nilimfuatilia kwa muda wa miaka minne alikuwa bikra hakuwai kumuona mwanaume..tumekuwa marafiki kwa muda wote huo..sasa ikafika kipindi urafiki ubadilike...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Yaani mimi kukutambulisha kwa "shemejiyo" ndiyo imekuwa nongwa? Simu, SMS, Please call Me, Please Recharge me, kila wakati? Kha! Siyo vizuri bana, acha hizo!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamaa yangu hapa ana mke mrembo haswa na jamaa linampenda kweli kweli mkewe. Tatizo ni kuwa mke ana vijitabia ambavyo jamaa vinamkera saaaana. Huyu mwanamke anapenda hela huyu balaa, anafanya...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom