Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani naomba msaada mpenz wangu huwa anatoa harufu mbaya but naogopa kumwambia
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ama kweli za mwizi arobaini, nikiwa naendelea na kazi zangu humu ofisini kuna rafiki yangu mmoja amekuja ofisini kwangu macho yamemtoka, sijamuuliza tayari akanipa simu yake na kunionyesha sms...
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Baada ya kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,nimejikuta naangukia penzi la kaka mmoja tuliyefahamiana miaka mitatu iliyopita, huyu kaka aliniambia kwamba ananipenda toka mwanzo...
0 Reactions
104 Replies
8K Views
Schoolgirl,12, gives birth on school trip A Dutch schoolgirl has been put into foster care after giving birth on a school trip.… Wednesday, 30 March 2011 17:02 BST A 12-year-old...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa Wana JF Wote: Mnaobakia nyumbani, pumzikeni salama. Mnaoenda kusali, ombeni pamoja na mengine, Mapenzi na Amani, mjiombee nyinyi na wapenzi wenu, muwaombee wagonjwa, masikini. Watanzania wote...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu...! Nina tatizo moja nahitaji msaada wa mawazo. I've been in this relationship for almost a year now., I mean this 6th April will be our Anniversary since we started...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello JF Kuna zawadi nazawadiwa ila kiukweli duh! Kuan jamaa yangu aliwahi kuachwa na mke! By that time jamaa laikuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Wakati anaachwa walikuwa na mtoto mmoja wa kike...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkazi mmoja wa Arusha alimuaga mkewe anakwenda Dar kwa safari za kikazi. Kumbe safari ikawa ni kwenda Loliondo kwa babu. Mkewe naye, akaona huu ndiyo wakati haswa wa kwenda kwa babu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani kunajamaa yangu alimpata binti mmoja miezi minne iliyopita wakapeana sana maluv duvi sasa wameachana ghafla jana amepigiwa simu na dada yake wakati wakiagana akaambiwa "msalimie wifi yangu"...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini wandugu, Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m...
0 Reactions
83 Replies
10K Views
Wana JF nimekuja na mada nyingine kuhusu hizi cm zetu za mikononi, binafs nataman niachane na cm kwn ndio chanzo cha mgongano na my wife! Mke wangu kila nikirud kutoka kazn lazm akague cm zangu...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Jamani naomba kujua kama kuna insurence inayo toa bima ya mapenzi hapa Tz tafadhari!
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika mahusiano ya wapenzi wengi pamekuwa na vijineno ambavyo ni common sana aidha kutoka kwa mwanamke au mwanaume. Kwa mfano ; baby!, Honey!, malaika, nakupenda kama...., uko peke yako...,kwako...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna mdada ambae ana boy friend nje ya nchi kikazi na anatoka na mdada mwingine huku ambae nae ni girl friend wake wamekua katika relationship na huyu mdada wa huku kwa miaka mi4 sasa yaani tokea...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani naomba kujua mshenga anatakiwa awe na vigezo gani maana kuna mtu mmoja aliniomba eti niwe mshenga wake nikakataa kwa kujua kuwa mshenga anatakiwa awe ameoa..... Wale ambao mmewahi kuwa...
0 Reactions
37 Replies
17K Views
Nimepigiwa simu kuna jamaa amefumaniwa ndani ya chumba cha jirani akijinjari na mke wa jirani yake usiku wa kuamkia leo. Aliambiwa kwamba mume kasafiri basi jamaa akajiachia kinomi. Ghafla jamaa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?
0 Reactions
66 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…