Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wana JF, naomba mchango wa mawazo yenu. Kuna kaka ameoa na familia ya watoto 2, mke wake ni mfanyakaz pia anasoma evening classes. Tatizo huyo bibie hapatikani home kuanzia monday to...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimefanya kautafiti kadogo na kugundua ukitaka 'kumlamba' binti mrembo aliyeshika dini basi mwambie ''lengo langu si kukuchezea na mungu akipenda tuta....halafu hapa unaanzisha kikohozi cha ghafla...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Everyone is bound to cheat on their spouse one time or another. Chance comes to all. Opportunities abound for all to seize. Admittedly, cheating is sweet (stolen bread is sweet). While some will...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba mnisaidie kwenye hili.. Nimejaribu kuchunguza na nimegundua kitu katika kizazi hiki cha sasa cha watoto wa kike, ukweli ni kwamba watoto wengi wa kike wanaozaliwa miaka hii hasa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna bima mpya imeanzishwa, inaitwa Bima ya Talaka au kwa kimombo "Divorce Insurance". Hii bima inasaidia kupunguza gharama mbalimbali zinazotaokana na talaka, kama vile gharama za kuajiri...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Najiuliza maswali mengi kuhusu hili neno nakupenda, huwa tunalitumia sana lakini likija swali la sababu ya kupenda, huwa tunajikanyaga kujibu mara sijui tabia yako, mara uzuri, unapika vizuri na...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
Wanajf naombeni mwenyekujua sifa za mwanaume mwenye adam's apple(kile kidudu kinachotoka kwa nje kwenye koo)
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Huwa tunapenda kujibu tu, ooh mi nampenda sana mke/mume wangu, kwa sababu ni mke/mumeo. Hivi umeshawahi kuliwaza kwa undani... Mi nimefanya hivyo... na nadhani nampenda mke wangu.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jamani kama kuna jambo linalonikera basi ni hii tabia ya kutumia majina ya viungo nyeti vya wanawake kutukana. Utakia mtu bila aibu mbele ya hadhara anamtukana mwenzie eti k.... mamako. Ajabu ni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
have you ever loved somebody so much it makes you cry? have u ever needed something so bad you cant sleep at night? have u ever tried to find the words but they dont come out right? have u...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni member wa facebook,nimekuwa nikikutana na watu tofauti katika facebook,facebook imeniunganisha na watu tofati wakiwamo ndugu zangu ,rafiki zangu tulisoma shule pamoja,pia new friends...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Sina nia ya kuwatusi mama zangu,dada zangu,wasichana ,wanawake au mke wangu bt nimesikia na naendelea kusikia msemo mmoja unaopendwa kutumiwa huku mtaani kwetu eti,wanasema wanawake ni kama sahani...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Have a nice week-end wapendwa woteeeeeeeeeeeee.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WanaJF wenzangu Jaribu kumuuliza kijana wa sasa umri wa 20 hadi 35 bima yake ktk mapenzi ni nini?? Atawezaje kujiamini na kujihakikishia kuwa mpenzi aliyenaye hatamuacha??? Nane kati ya vijana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani nimekutana na watu wengi sana sasa wanaoamini kuwa familia zinazoanza na first born msichana huwa zinapata bahati au baraka zaidi hasa kwenye kipato...... Katika mazungumzo na...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
It's serious business when one partner breaks the bond of marriage by cheating, but is it possible to move past the betrayal and stay in a "pretty happy" marriage in the wake of an affair? Redbook...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za Ijumaa wana JF wenzangu Ni matumaini yangu mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku Leo nina kitu kidogo cha kusema kwa wanawake kuhusu wanaume ktk mapenzi Changamoto kubwa kwenye...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Hizi teknolojia zinaleta mambo. Dogo anatumia jina la baba yake kwenye facebook yake matokeo yake mama mmoja wa makamo ambae nae ni memba wa facebook katika pitapita yake akakutana na facebook...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
...hivi, unamchukuliaje anayejitangaza ameachwa/amemuacha "mpenzi" wake?
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi heshima kwenu. Ndugu wanajamvi naombeni ushauri juu ya jambo hili ambalo limekuwa kama mzigo kichwani kwangu. Nina rafiki zangu wawili mmoja anafanya biashara za kusafiri na huyu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom