Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Dah jumatatu hii nimekaa ki I love you I love you!!! Natamani kumwambia mtu na nnatamani kuambiwa nakupenda...nakupenda...nakupenda!! So popote pale ulipo Mr Prince Charming a.k.a Mr Right I...
1 Reactions
121 Replies
7K Views
Je, imewahi kutokea ukawa na mgogoro na mfanyakazi mwenzako au hata kundi fulani la wafanyakazi wenzako,bosi wako nk? Je, umewahi kushuhudia wafanyakazi wenzako wakiwa katika mgogoro au...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Mama! Nakuheshimu mama. Umetoka shamba, umechoka, umembeba mdogo wangu mgongoni na ujauzito. Jembe lako hukuacha shambani, umeleta kuni na mboga za majani. Mimi ndo nimerudi shule, sijala na...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Hua unajisikiaje unapopigiwa simu na mpenzi wako wa kike zaidi ya dakika20 japokua hana kazi,wala shughuli yoyote ya kumwingizia kipato?hua unahisi nini? Au ndo uzungu wenyewe?
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Do you believe that your bedroom life is on an all time high, thanks to the immense knowledge you have about sex? Well, we bring you seven never-heard-before facts about the 'S' word, which are...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nataka niwaunge mkono wanawake katika harakati zao za kujikomboa na mfumo dume. Hivi kwa nini wanaume tunapenda kuwa juu kwa kila jambo?? Ni juu juu juu tu kila jambo. Mmhhh, siyo fair jamani...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yani unaweza ukajikuta unakosa amani moyoni, ukifikiria ulicho kifanya hukioni!!! Lakini moyo umeinama, huna furaha, yani hujachangamka kwa ujumla. Lakini ukiangalia umekosea wapi huoni...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Hello ladies, I hope some of you watakuwa wameshaiona hii but naomba nishee nanyi tena. Mie Imenigusa sana kwa kweli.... God forbid but kama itatokea nitaiapply... puuuu...metema mate chini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wanaJF! Naomba mwenye kufahamu wapi ninaweza kupata pete nzuri za ndoa. Natafuta pete za silver au white gold. Sasa sifahamu mahala pazuri na pa uhakika pa kupata pete izo...
0 Reactions
2 Replies
393 Views
Uko na mpenzi wako kwa muda mrefu. Baada ya muda girlfriend anakwambia she is expecting a baby. You get confused because rafiki yako wa karibu alikwambia that she had been cheating on you. To make...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
KWA UCHUNGUZI WANGU TUNAPOONGELEA WASICHANA WAZURI; KUNA UZURI WA AINA MBILI:- 1. UZURI WA MUONEKANO (KWA MFANO UTASIKIA WATU WAKISEMA "JAMANI YULE DADA AMEUMBIKA!! YAANI KWA KWELI MUNGU...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WanaJF naombeni maoni au ushauri nifanyeje kuhusu hili. Niko kwenye uhusiano wa miaka 6 sasa na nimezaa na huyu kijana,ninampenda sana na yeye analijua hilo,tatizo ni kwamba kwa muda wote huu he...
0 Reactions
85 Replies
6K Views
s,alykm :hand:wapenzi wangu wooote wa jf.... akhbari zenu jamani?? ni wiki tena sijawaoneni ... mie sina news ila nimewamiss sana sana.... inshallah nawatakieni siku nzuri.... from...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Ni uchokonozi tu! Lakini nashindwa hata kufikiria manake pamoja na kuwepo kwa ukimwi, bado ngono inafanywa tena 'ngono zembe' waziwazi tena kwa sana kana kwamba haupo.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
I have gone through Dumelambegu Thread which tries to seek opinions from JFmembers as to why most of the extremely beautiful women remain single indefinitely. Most of them do not simply get...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Ukiachana na walevi the second worse is IT Partners(according to me). they are most busy partners ever, hawatumii muda mwingi na wapenzi wao,anaweza kuwa yupo ndani 24/7 physically but not...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kila kukicha kinamama wana MMU kazi kutusimanga,sasa leo na mimi ngoja niwatolee uvivu.Kinamama mnatukera kwa haya yafuatayo: 1.Utegemezi: Unambeep mmeo/hawara/bf,nini mama?unamuuliza, 'naomba...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Weekend hii nimekaa na kujiuliza maswali kadhaa kuhusu mapenzi (sex). kwa kweli kuna mengi sana yalisemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa kuhusu mukhtadha mzima wa kufanya mapenzi. Leo naomba...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwanza nianze kwa kutahadharisha kuwa kwa thread hii sina nia ya kuwa-abuse wanawake, wala kuwavunjia heshima. Nawapa somo wanaume wenzangu out there ambapo mara kwa mara nawasikia na wengine...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Back
Top Bottom