Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

shukri llah jamani allhamdulillah niko tena hapa mbele yenu na sitafanya kosa kujakuwaeleza na kuwa mkweli kwa kila hali...... kitu muhimu ni kuwashukuru na nyie kuwa pamoja na...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
Kwanza nianze ni kakaz..... Kwanza kabisa linapokuja swala la kumwaga..kupokea sera na kutoa majibu kama mwanamke naamini hua tunajua kabisa jibu letu la mwisho litakua nini kabla hata...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
HABARI ZA WEEKEND WAKUU LEO NIMESOMA KATIKA GAZETI LA THE CITIZEN, MALALAMIKO YA WANAFUNZI WANAUME KATIKA VYUO HASA VYA TANZANIA, KUWA UVAAJI WA KINADADA KATIKA COMPUS UNAWALETEA MATATIZO HATA...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
nimemaliza utafiti baada ya miaka 2 ya uchunguzi.nimegundua kuwa kuwa:kabla ya ndoa wapenzi hufanya mapenzi kwa kujituma wote wawili,hubuni na kufanya style mbalix2.lakini kwenye ndoa asilimia 98...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Fikiria kidume na mbavu zako ulikuwa na mpenzi wako siku za nyuma..mkazinguana mkaaachana kwa ngumi na matusi...kila mtu akaendelea na maisha. Leo una maisha yako lakini bahati mbaya umepata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KILA LA KHERI HADI HAPO MOLA AKIPENDA. NAWAPENDA WOTE WANAJUKWAA.:
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Remember to protect yourself
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nakupenda sana mpezni wangu Mungu atakupa shifaa tutaonana kwa furaha. Si kitu kunipuuza, kwako tamaa sikati Kilio sitogeuza, roho yangu mahtuti Nilani utavyoweza, lakini sikubanduki Usirudi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wandugu wapenzi forum hii, Imefika mahali naona bora niseme wazi. Binafsi ninakerwa sana na harufu mbaya ya mdomoni. Imefikia stage hata 'kick' ya mapenzi inapotea kwa sababu tu mwenzangu ananuka...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
A wife is required: Qualifications Nationality: Tanzanian Age – 24 -28 Height: Above 160 cm Body size: Medium Body Colour: White Marital -status: single Sero - status: HIV Negative Tribe: all...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimetoka kwenye hospitali moja for CT Scan.. Nikaambiwa niingie ktk chumba kimoja hivi kwa ajili ya kupimwa..akaingia nesi mmoja yani nashkuru nimetoka salama kwakweli na hata yale maumivu...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
I miss you,,naye akakujibu I miss you too au I love you,, naye pia akakujibu I love you too,, Naona kama amekuiga tu,,alikua wapi kukuambia in the first place, mpaka ukampigia au ukam-text? Ivi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hili jambo haliishi kunishangaza... ni vipi madai mengi ya DNA ni ya wababa kukataa watoto na si wababa kudai watoto? Je ni kukwepa majukumu ama kutowaamini wanawake? au ni aibu kwa kupata mtoto...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
S/M MBUYUNI, KCU KISHUMUNDU P.O.Box 2000, URU. Halow, Pokea salamu nyingi. Utakapo kujua hali yangu ni nzuri wa afya. Wasiwas ni wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Madhumuni ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
################################################################### Mfano wewe umesafiri kwa wiki 2, unarudi ghafla unakuta mkeo ananong'ona na m2 chumbani lakini ukiwa unawaza ha2a ya kuchukua...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau naomba mnisaidie kuchanga mawazo. Zilipendwa wangu tuliyeachana miaka mitano iliyopita amenipigia simu anaomba ushauri. Anasema mume wake amemtelekeza yeye na mtoto wake tangu alipokuwa...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Siku hizi naona kupewa gari na wanaume imekuwa issue kubwa.......kiasi kwamba kuna wakati hoja inajadiliwa mtu labda ana tatizo...mtu anaweka comment za ajabu kwamba wasichana wa siku hizi...
0 Reactions
245 Replies
17K Views
Mimi nina best frend wangu sanasana ni mwanaume na mimi ni mwanamke. ni rafiki yangu wa siku nyingi kiasi kwamba ndugu zangu wote wanamjua na mume wangu anamjua na wanapatana sana sometime...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Haya swali hilo!!! Mimi nafikiri ni kweli wanawake ni zaidi lakini cha ajabu wanaume ndio wanaonekana kutaaka!!!????
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Rafiki yangu alikua outing beach bagamoyo last wkend na wenzake, gafla mzungu mmoja kwa mwonekano alikua mwanaume akamwita wakawa wanaongea at the end wakabadilishana contacts, just today msela...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…