Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimesikia hii katika pitapita yangu but sijamini, eti kuna baadhi ya mila zetu hapa Tanzania kama mtu kafiwa na Mumewe, kuna watu rasimi wanao itwa watakasaji, Wanatakiwa kutembea na mfiwa kama...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Maadam mmelianzisha basi tumalizie kabisaaaaa: Hayo mabriscafe sijui briefcase huwa mnabeba nini humo? Sanduku zima zitoooooo unakuta mtu anazunguka nalo.Niliwahi kuona mbaba mmoja kila mara...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mabibi na Mabwana kwa uzoefu wa miaka mingi, nimegundua kwamba katika tasnia ya kumtafuta mweza kimapenzi/kutongoza na kutongozwa, kuna makundi mawili makuu kwa upande wa hawa kina dada zetu...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Naamini wandugu wote mu bukheri wa afya, ningependa tusaidiane katika dhana hizi na kuona usahihi wake kwani kwa upande wangu huwa zinanipa mgagasuko kuzielewa. Ni kweli katika mapenzi mwanaume...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
:msela:Demu wangu kaniuliza leo hii, eti nimewahi kufanya malavidavi kwa kutumia asali? Nimemjibu sijawahi! Kasema basi yeye atanionjesha na nitapata utamu ambao sitakaa nisahau katika maisha...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............ Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu. Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa...
0 Reactions
236 Replies
14K Views
Wapendwa wanajf jamvi la MMU, nawatakia wkend njema. Kwa wenye kugonjwa wapone haraka, wenye matatizo mbalimbali Mungu awasaidie . Na wazima awazidishe heri. Ntakuwa safarini Kazuramimba...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
KAMA SI ANZA SASA USIKUBALI KUHARIBU NYUMBA YAKO Sikutegemea kabisa! Nimechoka sana kuendelea nkujitahidi kuhakikisha ndoa yetu inakuwa nzuri na inanifanya kuridhika, miaka nenda rudi...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kuna watu hua wanaongelea msamaha as if ni neno tu bila matendo...yani unaomba tu kirahisi NISAMEHE na mimi najibu tu NIMEKUSAMEHE ilimradi umeomba na mimi nimejibu. Utasikia watu wakisema ohh...
0 Reactions
85 Replies
8K Views
Leo nina hamu, tena hamu ni ya chai, chai isiyo sanda, tena iso na viungo tena nijibanze kona, wakati najifyonzea chai iwe ya kweli, niinywe kwa kuivuta Nina hamu nina hamu, kuliko hata ya jana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF jamvi la MMU nawatakia wkeend njema, kwa wenye kugonjwa wapone haraka, wenye matatizo mbalimbali Mungu awasaidie na wazima awazidishie heri...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Najua wengi mnajiuliza na maana Gani,..ni kweli wapo vijana wengi leo hii wamebadili ndoa kama vazi la kitenge ukichoka unaamua kuvua...nasema kwa wale waliokuwa bado naomba kama aupo tayari kuoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
While you SCREAM at your woman, there's a man wishing he could talk softly to her ear. While you HUMILIATE, OFFEND & INSULT her, there's a man flirting with her & reminding her how wonderful she...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
1GET TO KNOW HER. Hili ndilo la kwanza unalotakiwa kulifahamu. You have to know her like she was your own relative. Get to know what she likes, what she dislikes, what she enjoys, her favorite...
0 Reactions
76 Replies
5K Views
Wana ndg ningeomba ushaur wenu mana ninarafiki yangu anampenz wake wa kike. Nimejaribu kumshaur lakn nimeshndwa labda na nyny mnaweza kunisaidia ili nifikishe kwake ushaur huu. Rafiki yangu ana...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
ndugu,naishi nyumba za kupanga uswahilini.sasa nje ya dirisha langu hukaa wakina mama nikiwa nimepumzika ndani.wanaongea hao nami nawasikia.lakini sina mazoea nao.sasa juzi nilisikia mmoja...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana? l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
0 Reactions
46 Replies
4K Views
While you scream at your woman, there's a man wishing he could whisper in her ear. While you humiliate, offend, and insult her, there's a man flirting with her and reminding her how beautiful...
1 Reactions
129 Replies
7K Views
Juzi nilikua naangalia kipindi cha TV. Docta mmja alikuwa anaelezea jinsi anavyomtanua mgonjwa mwanamke kwa kuwaingizi vifaa maalumu na kupima kama atakuwa na magonjwa /saratani ya shingo ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
MUME WA MTU SUMU... Jamani msione watu wanaishi nyumba nzuri asubuhi kila mmoja anatoka na gari lake kwenda ofisini yanayoendelea humo ndani ni KUTA ndio zinayazuia.Jana lilitokea bonge moja la...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…