Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

  • Closed
JF habari zenu!! Mwenzenu nina tatizo kubwa sana ambalo tangu nizaliwe sijawahi kukutana nalo. Nina houseboy hapa home!! Jana wakati tuko shambani kanitongoza/kanitamkia ananizimia na anaweza...
0 Reactions
373 Replies
25K Views
Enzi hizo najifunzaga mambo makubwa
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ewe dada unaringa, unaringa kitu gani, umekonda kama kibao cha kusiginia chapati. Kama wewe unanguvu tukutani uwanjani.... Ahhh..... Maneno mengine nimeyasahau.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wana jamvi la malavidavi. Naombeni mchango wenu katika hili ,niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ila haongei ni mkimya sana hajui hata kusema asante. Hata sim zake ni za kikazi...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
hello jf....mko poaa nimerudi tena...sikujua kama kuachaga mtu nayo ni kazi ingine..ni hivi majuzi kati g/f wangu nilieanza nae tangu 2007 wakat npo chuo..tulipishana usemi, ila mwenzangu ana...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
haya maneno yana ukweli ndani yake
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana? Mfano: 1. DEMU 2. MLUPO 3. SHORI 4. KISHTOBE 5. MANZI 6. SISTA DUU 7. SKETI Kama unayajua mengine unaweza ongezea
0 Reactions
416 Replies
25K Views
swali la kivushi.....! Dear Gentlemen! HIVI MAISHA YETU SS WANAUME YANGEKUWAJE KAMA UUME ULIOSIMAMA (ERECT PENIS) UNGEKUWA UNAPIGA MLUZI..?????? (WHISTLING LOUD) imagine, kwenye daladala...
0 Reactions
79 Replies
11K Views
Nipo kwenye daladala kiti cha mbele ambacho huenda kinyumenyume gari likitembea. Mbele yangu kuna mdada nimempenda kama sio kumtamani....! kila nikimrushia macho tunagongana. Kwenye kiti cha nyuma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapenzi wa JF...............Happy New Year kwenu wote Was just thinking about Limbwata............ Kina kaka/dada on the second thought..hv mwanamke/mwanaume wako akikuwekea Limbwata kuna ubaya...
0 Reactions
307 Replies
18K Views
Wakiwa kitandani kwa mara ya kwanza Bibi harusi alimwambia bwana harusi” Honey unajua mimi bado bikra kwahiyo sijui chochote kuhusu mahaba/mapenzi. Unaweza kunielezea nini chakufanya kwa mara ya...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
KISA CHA BATA! - Global Publishers Wacha bata aitwe bata na wacha serikali (ya Zanzibar) uipige marufuku wimbo huu BALAAAAAAA
0 Reactions
13 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Pipooooz, kwana nawasalim! Sasa, kama kuna ktu anaishi Jinja naomba ani pm ili tuwetunawaliana tu na kupiga stori pamoja, mtaa naoishi bado sijaushika jina vizuri nitawataarifu. Naomba...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Baba Enock anapenda kufahamu kama inawezekana "kuvunja moyo ulokwisha vunjika"? Hili swali alilipata katika pitapita zake mitaa ya Mbagala akiwa na wadau... Naomba kuwasilisha...
0 Reactions
166 Replies
11K Views
Mpenzi wangu anataka kupigiwa sim kila siku yeye hapigi hata! nikiacha piga analalamika sana Jaman haya mapenzi yamekaaje?
0 Reactions
78 Replies
6K Views
Woman=Problems. How to prove this theorem,hebu check hapa down then mnipe mawaidha yenu!! 1. To find a woman you need TIME and MONEY, therefore: Woman=Time x Money. 2. But...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Hii Barua nimetumiwa kwenye email yangu na huyo dada. Hivyo jaribu bahati yako kama waweza lidada lina mijiela hiyo. Lakini angalia isije kuwa CHAMBO. Akitaka akaunti namba yako wakati wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
NIAMBIWA ETI JAMAA ALIJIFANYA ANACHUKUA TAI ALIYO ISAHAU NA KAMA HAKUWAONA VILE. USILIPIZE KIASASI BALI LIPA UBAYA KWA WEMA.
0 Reactions
65 Replies
5K Views
Back
Top Bottom