Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimejaribu kufanya kautafiti nina rafiki zangu zaidi ya 20 ni wanywaji wazuri wa pombe cha kushangaza hawa wadau wake zao karibia wote wamebahatika kupata watoto wa kike, je kuna konekesheni gani...
0 Reactions
113 Replies
8K Views
Habari wanajamii 'Great Thinkers' Hivi majuzi rafiki yangu aliniuliza swali ambalo binafsi nilishindwa kujibu. Najua siwezi kukosa jibu hapa. Rafiki yangu huyu anasema amekuwa akiota ana 'do' na...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
unajua tangu ni join jamvini nimekuwa bush na ni-browse kwa handet ambayo ki-ukweli capacity yake ni ndogo kuweza kuona Avatar za wana jf na hivyo mim nilikuwa nimejijengea Avatar zangu mwenyewe...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Hii imenitokea juzi kati wakuu nilikuwa na kifaa kipya ambacho nimekifukuzia takribani miaka 3 ndo juzi kati akaamua kuniachia nikague mali zangu huku nikimmwagia maahadi kem kem sasa siku hiyo...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Natafuta infii...mama mkwe ananitaka...namtamani baba mkwe and the list goes on!!! Sasa what is next? Nataka kummega binti yangu au nataka kumegwa na kijana wangu? Au nimemzimia kuku wa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hv ninasikia mwanaume ndo anaeacha na haachwi kwan hata mwanamke akimwacha mwanaume anasema ameachwa na co kuacha akiwa anawaelezea wenzie je ni kwel?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
SWALI KWANINI HATUAMINIANI?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana JF Niwashirikishe furaha yangu ya kuwa leo nimeweza kulipa karo za wanangu sita. Kwa furaha hii, nimepanga kidogo kilichobaki nikalambe ulabu (ndovu baridiiii) na nibakize sadaka kwa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wapwaz na binamuz habari za asubuhi, wakubwa shikamoni, natumaini mmeamka salama wapenzi. Hebu nisaidieni katika hili kwa nini inatokea anaekupenda wewe humpendi na matokeo yake unampenda ambae...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakajikuta swali lao limekosewa! Ni kweli zogo (controversy) au hekaheka kubwa inayowagawa watu katika makundi mawili kuhusu talaka inapatikana katika injili ya Mathayo 5:32 na 19:9 Kumbuka...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Hv kwanini wanaume wanapenda wanawake walio wazid urefu au umri?
0 Reactions
42 Replies
5K Views
kama habari hii ni kweli si banahisi uvamizi kwa mbaaaali ktk jukwaa hili..!!:coffee: FACEBOOK WILL END ON MARCH 15th! | Weekly World News
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hiki kisa ni cha leo leo. Nina rafiki zangu wawili ambao ni wafanyabiashara, ivo mara nying huwa nakutana nao weekend kwsbb ninaish mbali na wao ingawa wao mara zote hushinda pamoja kwasbb ya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Taarifa rasimi ni kuwa jana nilitoa tangazo la kutafuta mwenza, Nashukuru kwa waliojitokeza jukwaani ,mchakato ulienda sawa Na Baba wa familia kupatikana. Mengi yalisemwa kuwa si rahisi kwa JF...
0 Reactions
95 Replies
6K Views
Rafiki yangu kalalamika hajaonana na mpenzi wake tangu mwaka huu uanze wanazungumza kwa sim tu. kila akitaka waonane anasema yuko busy na last year ilikuwa ngumu kupitisha siku bila kukutana Je...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Samahani wandugu, najua hili si jukwaa la lugha lakini haya maneno nadhani yanahusu sana hapa MMU. Naomba kwa anayejua anisaidie tofauti ya haya maneno matatu ili niweze kuyatumia ipasavyo; 1...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Huwa sipatagi jibu, hivi ukisha oa mke wa kwanza, then unataka kuoa mke wa pili, tatu 4...... unamwambiaje mkeo uliyenaye? na mke wa kwanza si atakataa tu au wanalazimishwaga nini, maskini...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Mzigo jamani mzigo huu, kuubeba wameubeba wengi wa mwisho sasa umemshinda eti anataka anipasie umemzidi uzito, eti safari imebakia fupi! Nimeshtuka mzigo huu ushakuwa mzito hata hatua moja kwenda...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kusema ukweli sasa, inakuwa ni vigumu kumpata mchumba umpendaye wa kabila lako; hasa baada ya watu wengi kuhamia mijini na kwenda walikozaliwa kwa matembezi tu (au kugombea ubunge); ni baada ya...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Back
Top Bottom