Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

i have come to realise that, sex enterpreneurs among versity students is now a normal thing to many youths. nina wasi2 wasomi wetu tutakua kizazi cha namna gani, na tukabiliane vipi na...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
" Wadau, nikiwa nasikiliza baadhi ya maada leo hii, Niliguswa sana na huu utata" Katika hatua za mwisho unagundua Mpenzi wako amechichora Jina la Mpenzi wake wa dhamani, Mfano I love you AAA...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wataalam wa mahusiano naleta mjadala huku. nadhani ni mahali pake. Je katika katiba mpya ni vipengele ngapi viiongezwa ,viongelewe, viweje.............. Napendekeza katika katiba:- zitambuliwe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hi wadau, Baada ya kupiga kazi mwaka mzima katika jiji la Dar es Salaam, Mimi na Mr. tunafikiria kwenda kupumzika Morogoro for at least 5 days, Naomba mniambie mahali pazuri pa kupumzika na...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wife material a la president Khama Botswana President Ian Khama. Photo/FILE By JACKSON BIKOPosted Friday, December 17 2010 at 13:24 The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unhappily married ever after The one way to arrest such an unhappy union is to be very sober and independent while choosing marriage partners. Photo/FILE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri...
0 Reactions
77 Replies
6K Views
Are your friends real or seasonal ? We all have them. Bosom friends who will defend you with their own lives and fair weather friends who are only with you when the going is...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Wana JF, next friday ya Ijumaa ijayo kutakuwa na shughuli fupi ya arusi yangu ya mke wa pili. Nyooooote mwakaribishwa saaaaaaaaana.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Kakaz, dadaz, wapwaz/binamuz na Babuz...........Nawasalimu kwa upendo na amani. Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Yawezekana wakati unaoa uliona kabisa ametoka kwa mungu gafla shetwani akachukua nafasi ..sasa basi suluhisho sio kuachana ama kumuacha yupo mungu anaeweza..kanisa la assemblies of god mikocheni b...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Msaada tutani wakuu,wakati kiwinta kimekolea huko nje na hata kutoka siwezi nimekaa hapa sitting room kwangu nafikiria kisa kilichonikumba.Kisa hicho hakina tofauti na kile kilichoimbwa na...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Si kwamba nakutisha la hasha hiyo ndio hali halisi ..yawezekana we unaesoma hapa mama ndie anaejua babako halisi ni nani...kwa kuwapasha tu ndoa nyingi sasa wanawake wanaingia na mimba makanisani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimefunguliwa tokea jana mkuu upo naomba uirudishe ile mada yetu iliyonipa ban nina jambo lakusema
0 Reactions
3 Replies
892 Views
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Ni mtanashati lakini hajijui, ni mpole lakini wengi wa wasichana hawalijui hilo, Amependwa lakini hajui ampendae, amependa kwa asiempenda.....Ni nani huyo?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao! Yaani forum hii raha tupu. Mie...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwa wale walioshapata wenzao... na kuoa wanajua uvumilivu ni moja ya nguzo za ndoa... lakini tunajua kabisa kizazi cha sasa sio wavumilivu thats why wazazi wetu waliishi pamoja kwa muda mrefu...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Nashukuru,nimepata mchumba ,kupitia JF, niliweka tangazo kama one month iliyopita, kuna member mmoja akanipa sister yake,tumeelewana taratibu nyingine zinaendelea. Nilipata maombi mengi .
0 Reactions
52 Replies
3K Views
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…