Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwanini wanawake/mabinti wanaitwa majina haya? Wadudu/ dudu...? Vyombo/chombo..? miwashawasha/washawasha....? mizigo/mzigo/zigo...? n.k, Kuna sababu gani ya haya majina?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jinsia ya kiume, ya kike na tendo lenyewe ndio vitu vyeme majina mengi sana. kitu cha kiume utasikia kikiitwa mtarimbo, dudu, dude, kukwa lao, shafti, rungu, mpilipili, mkongojo, bakora...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawasalimia kwa heshima na taadhima wana JF wenzangu,nilipotea kidogo kwa takriban siku 3,4 kwani nilikuwa nasumbuliwa na maumivu makali ya mguu wa kulia lakini nashukuru mungu nimefanyiwa check...
0 Reactions
49 Replies
3K Views
Kama mke wangu alizaa huko kabla sijamuona, Je mtoto wa mke wangu ni ndugu yangu? Je lwapo na mimi nlikuwa nimezaa kabla ya ndoa kuna ubaya gani watoto wetu ambao kila mtu alizaa kabla hatujaoana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Baghosha na bhakima, napenda kujua kati ya watu wa bara na wa pwani wepi ni wataalam zaidi kwenye uwanja wa sita kwa sita?
0 Reactions
33 Replies
13K Views
wana jf habarini za muda!! bwana mi nipo kwenye uhusiano na bint fulani tangu 2007 inshort alinitokea ckua nimempenda kiviiile sema nikazidiwa na mapenzi yake.nikawa chuo dsm yeye arusha.kamaliza...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wana JF naomba mnishauri kitu mimi kuna dada mmoja ninampenda sana na yeye analifahamu hilo maana nimewahi kumueleza kwamba nina mpenda sana ningependa tuoane, akaniambia hapana maana yeye hana...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Mzee Mwanakijiji tunaona ukituma tu hadithi zako huku, lakini hatukuoni ukichangia kwenye mabandiko ya watu wengine, je kulikoni??
0 Reactions
8 Replies
2K Views
When your partner leads a double life To the outside world, he looks like the perfect gentleman but beneath that carefully put-together front lies a completely different persona. Photo/FILE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
VING'ASTI vimeanza ooh hujambo,nimekuota lakini yote hiyo mwisho wa siku Invoice .......... Doh sijui tukajifiche wapi?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wana jamii mnaoishi morogoro mimi nipo katika mkoa wenu! ningefurahi kama ningekutana na anyone jf member!if any pls pm me.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Eti wanaume walevi wengi wao hukojoa kitandani wakati wamelala na ulevi wao? Nimepeia kwenye kijiwe kimoja hapa K/ndoni B nikakuta madereva taxi wanapeana changamoto juu ya swala hili!!! Wana JF...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Huyu mjukuu amenitisha sana, hebu ona hapa chini The Finest JF Senior Expert Member Join Date: Wed Jul 2010 Posts 5,568 Thanks 1,695 Thanked 907 Times in 729 PostsRep Power 32...
0 Reactions
149 Replies
8K Views
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Una kipato kizuri, una mke na watoto wawili. Pembeni una kibinti kikali sana. Umekipangia nyumba Kijitonyama na umemuwekea mlinzi wa kuilinda. Siku moja unaenda kumtembelea bila taarifa, unawakuta...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamani kwa uzoefu wangu toka nianze mapenzi mpaka sasa nimeoa, mara zote baada ya kufanya mapenzi wanawake hunifuta vizuuuri sehemu nyeti alafu na kujifuta wao pia. Sasa sijui wanafundishwa au ni...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakati nikitafuta kivuli ili nijisitiri kwa jua hili kali nimejkuta nimekalia kuti kavu baada ya kupendwa na shemeji yangu.Kisa hichi kimetokea baada ya kupeleka maombi JF kumbe shem nae ni mdau...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Najiuliza siku zote sipati jibu,imekuwa ni kama desturi kwa hawa wa kina dada wanakuwa c wa kweli katika kutaja umri wao wa ukweli,sasa cjui wanaona aibu....kuna vitu ambavyo confidential lakini...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom