Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ndugu wanawake hasa mlioolewa nawaomba mtumie busara kutatua tatizo la kupungua nguvu za kiume za wapendwa wenu. Maana hamwezi kujua nini kimewapata wapendwa wenu mpaka washindwe kuimudu kazi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona...
0 Reactions
109 Replies
11K Views
Ndugu wanaJF, kuna rafiki yangu ana mke ambaye ana mimba ya miezi mitatu, juzi aliniuliza kuwa anapenda kuendelea kufanya mapenzi na mke wake ila anaogopa asije akaharibu mtoto aliye tumboni. sasa...
0 Reactions
11 Replies
33K Views
Habari senu wana JF wote nafurahi kuwa pamoja nanyi kwani mmefanya maisha yangu kuwa ya furaha sana. Jamani mimi kama mimi toka nianze kuingia JF maisha yangu yamekuwa ya raha na furaha sana mpaka...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
13 desemba,2010. usiku wa kuamkia leo tumepata habari za kusikitisha kuhusu kifo cha dk remmy ongala. kwa kuwa chidumule ni mtu aliyepata kufanya kazi na dk ongala, nimeona bora niwarudishie...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Hii ni hatari ndugu zangu.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
The Way You Kiss Aries Your kisses are quick and passionate fits of lustful pleasure that are there and then gone. Taurus Your kisses linger; they are deliberate, heartfelt and they can go...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Hii imemtokea dada mmoja na kaja kwangu kunisimulia na kilio juu,anasema baada tu ya ndoa yao wakiwa honeymoon jamaa akamwambia tumefunga ndoa sasa,mimi na wewe ni wazima hatuna ugonjwa wowote wa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi napata tabu sana kuelewa mawazo ya watu!!hivi humu JF ni sehemu ya watu wanaobarehe??aiingii akirini umepata demu wako umegonga unakuja kuanika huku,huu nadhani siyo usitaarabu hata...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Jamana hebu nisaidieni katika jambo hili, mbali ya tabia nzuri na kujiheshimu, uzuri wa wa mwanamke umeegemea kwenye nini zaidi kati ya umbo nzuri au sura? Sijajua nichague sura au umbo?
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Kuelekea X.Mass Nshanga G.House wameamua kupunguza bei ili Infii muenjoy sana. Inabidi muwahi mapema infii maana panawahi kujaa mapema sana.
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Nimpenzi gani uneweza kumfanya awe mpenzi wako kati ya hawa?? Dr. Solder Nurse Taxi driver Security Police Captain Airhostes Paparaz Kati ya hawa niwale wasiokaa ndani kila siku wao niwatu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Unakutana nae kwenye gari, hamfahamiani, unaenda kupiga one night stand. Hajui una kifaa cha uzito gani, kama ni tubelight au sigara. hata kama una tube light wala hakimbiii, atagugumia maumivu...
0 Reactions
87 Replies
6K Views
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu. Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda. Ni watu ambao hawawi...
0 Reactions
87 Replies
13K Views
  • Closed
Hamujambo jambo humu wapenzi wote wa chadema na hata wa kile chama kingine cha maf…. Majambazi, Wizi na wachakachuaji wa kura? (Chadema wameshawasha moto wa Katiba mpya hakuna wa kuuzima na ni...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna mambo yanashangaza sana na kukupelekea uwaze sana na hupati jibu Ilikuwa hivi: Jamaa amempeleka mkewe hosp na ikabidi alazwe na vipimo vilionyesha kuwa ana upungufu wa damu. Hivyo ikabidi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimefikiria nikahitimisha kuwa hakuna sababu ya kumbembeleza mtu (mwanamke/me) kama hujamkosea. Kuna sababu nyingine ya kubembeleza zaidi ya hiyo? Binafsi siamini sana katika kubembeleza bali...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau wa jukwaa hili kwa heshima na taadhima nawaomba mnisaidie kumshawishi cheusi wangu(cheusimangala) asiende kuhasabiwa x-mas hii karibu na mlima mrefu kuliko yote africa na akubali kuwa nami...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi karibumni katika pita pita zangu nimekutana na hichi kitu mara nyingi sana kwa wadada lakn nashindwa kuelewa kina maanisha nn.Hv wadada kuvaa pete kidole kinachofuata dole gumba maana yake nn?
0 Reactions
38 Replies
28K Views
Aua mke kwa kisu, naye ajiua papo hapo Imeandikwa na Nashon Kennedy, Mwanza; Tarehe: 11th December 2010 @ 23:15 IKIWA ni wiki moja tu imepita baada ya Tanzania kuadhimisha siku 16 za harakati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom