Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Leo katika kucheki Mwanachi ya leo nikakuta habari nzuri isemayo MAMA AJIFUNGUA WATOTO 5! Nilifurahi sana nikasema hana haja ya kuongeza watoto wengine wametosha. Nilipoendelea kusoma newz hii...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
hebu nijuze, hawa watu wanaoigiza picha za ngono ni watu huru kabisa katika jamii zao, yaani kiasi ambacho wanapita mitaani na watu wanawajua kuwa yule ni porn star ameigiza picha fulani na fulni...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Siongeli kumdanganya mpenzi wako kwamba amependeza wakati anachukiza…. Hapana!!!!! Lakini Je? Kuna ubaya gani kumficha mwenza wako kama ukweli unajua utamuumiza, na hawezi kuvumilia….. Just...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Msaada tafadhali wakuu,maana toka kuche siku ya leo najiuliza na sijapata jibu,hivi inakuwaje inaonekana ni jambo la kawaida pale baba anapokuwa na umri mkubwa kushinda mama inaonekana kawaida...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
PILIPILI Kama tunavyojua wote mara nyingi chakula ambacho kimeungwa pilipili hufanya hata mapigo ya moyo kuwa tofauti na wakati mwingine hata jasho kutoka au kamasi kutoka. Kwenye pilipili kuna...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Kuna baadhi ya wanaume wanapenda sana mavazi ya kike! Unakuta mwanaume anavaa kikuku ama pete kwenye vidole vya miguuni. Mwanaume anavaa G string, ama vipedo jamani mavazi ya dada zetu hayo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
kwanini hili tendo latendwa gizani, tena kwa uficho wa hali ya juu/ Na mkiwa mnatenda hamtaki watu wengine wasikie japo miguno yenu?
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Jana nilichelewa kidogo kulala, nilikuwa nikisoma novel huku nikisikiliza clouds fm. Mida ya saa sita kipindi kilianza , mwanamke na mwanaume walikuwa wanaongea NGONO hadharani. Watu walikuwa...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Huyu dada anatisha sana na anameremeta...Hebu ona vitu vyake... afrodenzi JF Senior Expert Member Join Date:Mon Nov 2010 Location:sweet home Posts:2,096 Thanks:250 Thanked 232 Times in 216 Post...
0 Reactions
118 Replies
7K Views
Dears I hope all of us are ready to party for the coming sikukuus. Tunamwomba MUNGU atujalie tufike salama maana duh......ni rehema zake tu tutazisherehekea. Kuna kitu kimekuwa kikinitatiza siku...
0 Reactions
88 Replies
6K Views
Wana jamvi, Hivi ni kweli watoto wa kiume huona wivu sana wanapowakuta mama zao na wanaume wasio baba zao, kuliko wanavyowakuta baba zao wakiwa na wanawake wasio mama zao? Kama ni kweli, kwa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wife goes to supermarket, sees men's briefs on sale. She buys a dozen of the same colour. Goes home and gives hubby. Hubby protests, 'Why buy me same colour? People will think I do not change...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hakika kifo cha mkongwe wa muziki nchini Dkt. Remmy Ongara kitakuwa kimewashtua watu wengi. Leo hapa nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake nyingi tu. Na katika pekua pekua yangu nikakutana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huwa nachefuka sana nikiona mwanamke anapaka mkorogo ili awe mweupe. Inachefua unamkuta mama amekuwa mwekundu kama komamanga. Kwa nini weupe hawajibadili kuwa weusi? Ina maana weusi ni laana? Kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habarini wapendwa. Nimewamiss Jamani niko huku kijijini nikitafakari mwaka uishao na kuufikiria uanzao kwa Rehema za Mwenyezi MUNGU. Kwangu mie 2011 ni mwaka wa kipekee sana as nimeupangia...
0 Reactions
82 Replies
5K Views
wana JF, nimejaribu kupitia kwa juu juu nikaona kuwa topic zinazohusu ma 'love dove' ndio zenye chart na huchangiwa sana hapa jf kwa sasa (mods nisaidieni takwimu).najiuliza kunani GREAT...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
I just imagined this, nimecheka sana nikaamua kupost humu! Hivi kama sehemu ya siri ya men ingekuwa kama kifutio ukitumia inaisha ingekuwaje?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika...
0 Reactions
130 Replies
12K Views
Mamboz vipi wana JF!!! Hivi majuzi wakati nipo kwenye graduation ya 4m4 kwenye ukumbi maarufu the Rocky City nilichoka kucheza muziki nikaamua kupumzika ndani ya kibanda kimoja wapo! Wakati...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
WanaJF naomba tu niwaulize swali hili,maana siku hizi kila kukicha tunaona post za ajabu na vile vile kuna zile zilizokwenda shule,na ili watu wajitathmini naomba tu wewe msomaji utakayepitia hapa...
0 Reactions
172 Replies
10K Views
Back
Top Bottom