REF: INSTALLING HUSBAND !
A woman writes to the IT Technical support.....
Dear Tech Support,
Last year I upgraded from Boyfriend 5.0 to Husband 1.0 and I noticed a distinct slowdown in the...
WAPWA NA MABINAMU nina rafiki yangu ambaye huwa ananunua beseni zima la ndizi la dada mmoja hivi anayetembeza ndizi akisha nunua huyu dada anakaa kwake mpaka jioni anamchakachukua mpaka jioni...
Kati ya mambo ambayo wanawake wengi wanakosea au hawajui ni tabia za wanaume. Kimsingi binti au mwanamke anaposhawishiwa na mwanaume na kuwa na uhusiano wa kimapenzi, mara nyingi hupanga malengo...
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili...
Fikiria mmeoana na ndoa yako ina miaka zaidi ya kumi.
Wote kibaiolojia mko fiti kabisa...!!
lakini ndoa yenu haijabahatika kuwapeni mtoto ilhali jitihada za dhati...!!
wewe kidume umechepuka...
Paid to do it, but fails to make his friend's wife pregnant after 72
Attempts
A nice story, with surprising end:
In Stuttgart, Germany, a court judge must decide on a case of honorable...
Kila kukicha wimbi la ukahaba linaongezeka ingawaje watu wanaelimishwa kuhusu ukimwi, halafu mbaya zaidi watoto nao wanajihusisha na ukahaba jambo ambalo ni hatari kwa afya na maisha yao, je...
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku...
Habari zenu wana JF, Napenda kuomba msaada wenu wa mawazo ili na mimi nipate ushauri wenye hekima. Nina rafikiangu alipata mchumba wakati yule kaka anamuomba dada huyo awe mchumba wake mungu...
Salaam aleykum!
Wapendwa naomba mnijuze, mme wangu kila akisafiri anafunga kabati lake la nguo hii inaashiria nn? kipindi cha nyuma nilikuwa nampangia nguo zake baada ya kizinyoosha nikakuta kanga...
Hii ni kwa wale wapwa na mabinamu hasa hasa Teamo, Finest, Asprin, Keizer, Roya roy, Bigirita, G-Y etc ....pale mnapotoka kwenye infii wakati mnawai home....
60 km/h - "It is well with my...
usimtumbulie macho au kumlaumu kikojozi ujue hilo ni balaa.....................wengi wa vikojozi hutokea kutokana kuishi kwenye mazingira magumu wakiwa watoto.............................yaani...
Umeoa/umeolewa ushauri , mawazo au maelekezo yapi ni ya kuya fuata? unayopewa na mmeo/mkeo au wazazi? na kama mwenzi wako anafuata sana yale anayopewa na wazazi kulioko ya mmewe/mkewe je yupo sasa...
yaani kila ukienda sehemu utakutana na jina hili " MA.TA.KO. bar
Hivi hili ninini kinapelekea kuitwa hv?
Hata jina la bar linakuwa ni jingine ila duh linapachikwa hili jingine
mmh inanikera sana...
During one of our seminars, a woman asked a common question.
She said, "How do I know if I married the right person?"
I noticed that there was a large man sitting next to her so I said, It...
Kumekuwa na wimbi kubwa la ushoga hapa nchini kwa sasa.Ni aibu na fedheha kwa jamii yetu ya kitanzania kuiga tabia hii ambayo ni kinyume kabisa na maadili yetu.inashangaza sana pale unapokutana na...
Nimehamia nyumba ingine hivi karibuni, ya kupanga. Ni upande wa nyumba, chumba kimoja na sebule. Kasheshe ni jirani wa upande wa pili. Dada mmoja hivi. Hapo miaka ya nyuma kidogo nimewahi kuwa na...
Yaani ipo njemba moja ambayo ilimganda binti wa watu hadi akamegewa...........baada ya kuonjeshwa asali jamaa sasa adai hakufurahika na aona bora ajinasue..........wakati mwenzie afikiri sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.