Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Fellas, what is the best way to breakup with your girlfriend/ boyfriend? By email, phone (sms), phone call, face to face, or do you just give him/her the silent treatment until she/he figures out...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Waheshimiwa,naomba mawazo yenu ktk hili.nina mchumba rasmi tangu mwaka 2008.nampenda na nadhani ananipenda pia.tunakusudia kuoana mwaka kesho.ila amenifanyia kitu ambacho natafakari nashindwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto kwa muda zaidi hata baada ya kumaliza kupiga pasi. Kwa wengi wetu huwa inatokea either kusahau au kujifikiria wao wenyewe. Utakuta...
0 Reactions
98 Replies
11K Views
Sijui ka kweli lakini jamaa zangu huwa wananambia kuwa malovi davi yasokuwa na fomula huwa ni matamu sana. Yaani ukiwa na demu wako popote muwapo wawili nyie twende kazi. Sebuleni shega, bafuni...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Wadau poleni na shughuli za hapa na pale.Poleni pia kwa mikikimikiki ya mwisho wa wiki. Nina rafiki yangu kipenzi ambaye yeye sio memba wa JF ila siku moja moja huwa anapitia humu hususani hapa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
0 Reactions
20 Replies
2K Views
we kama mke una halali ya kuomba michezo unayotaka so kama ukiwa mwanandoa mwenzangu unahisi mumeo katoka nje na we nenda mwombe mungu akuonyeshe macho ya ndani sec nenda omba tunda la roho hiyo...
0 Reactions
72 Replies
5K Views
There was a blind girl who hated herself because she was blind. She hated everyone, except her loving boyfriend. He was always there for her. She told her boyfriend, 'If I could only see the...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Je, leo hii ikitokea ukaambiwa una nafasi ya kurejesha bikira yako ya asili ili ipate kutolewa na mtu fulani badala ya yule aliyeitoa, utafanyaje? Utakubali itolewe na yuleyule, lakini katika siku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wapwazi na mabinamu wa kweli! Niwieni radhi nimezama kwenye jukwaa la Siasa na Uchanguzi kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho. Nimeamua kurudi kwa muda nyumbani. Nisaidieni hivi kwanini baadhi...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
...wale watu wapendao sana kuutetea uzinzi/ uzinifu ni maneno tu na wala si wazinifu kihivyo. Pia wale wapendao kuupiga vita sana ndio wenyewe haswa kwenye hayo mambo. Unakuta mtu anatembea na...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Baada ya kuambiwa ukweli, lipi lina unafuu kwako? a) Amekucheat, lakini hampendi kama anavyokupenda wewe au, b) Hajakucheat, lakini hakupendi tena wewe kama anavyompenda
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna dada ambaye ameolewa aliniambia ameniota subuhi asubuhi, akahisi aliongea katika ndoto to the point ya kutaja jina langu. Aliniambia hivyo mra alipofika kazini. Kumuota mtu si tatizo, pengine...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa akitokea shamba pamoja na mkewe. Wakiwa njiani waliona uyoga, wakaung'oa na kwenda nao nyumbani kwa lengo la kwenda kupika na kuula. Lakini kabla ya kufika nyumbani, wakahofu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani, utashangaa unakutana na libaba mtu mzima, ameshafika kwenye 30s, ila bado story zake ni "you know my girl friend", yaani bado anaendekeza tu mambo ya girlfriend. sitaenda kwa wanawake kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Utaniambia leo ulipitia wapi na ulikuwa na nani! Inasemekana kila mtu duniani ana siri zake binafsi na kuna wakati hapendi mtu yeyote ajue ila ni yeye na Mungu wake. Si siri tu bali hupenda...
0 Reactions
151 Replies
15K Views
Nataka marafiki wa kike na kiume..Umri wangu 43,Tall 6'1,white color,(mweupe).Strong..Naomba walio serious na wakweli
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Nasikia eti wanawake wanaopenda kunyonya vidole huwapagawisha wanaume wakikutana nao hadi wanaume wengine huamua kuwatongoza hata kama hawakupanga. eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo...
0 Reactions
63 Replies
9K Views
Siku kama ya leo ndio ilikuwa siku yangu ya harusi with my beatiful, lovely wife . Siwezi kuisahau hii siku kubwa na ya furaha ktk maisha yangu yote. Kila nikikumbuka kiapo pale kanisani machozi...
0 Reactions
46 Replies
3K Views
Nilikuwa ninalipitia gazeti la Tanzania Daima na nikakutana na hii story ya huyu baba ambaye amechukizwa sana na tabia mbaya ya mtoto wake hadi kusababisha kujinyonga..........tukio hili limetokea...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom