Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone...
0 Reactions
200 Replies
12K Views
Hivi huyu mtu anayekwenda kwa jina la Pape amepotelea wapi????? Au ameshachakachuliwa nini?????
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku za hivi karibuni nimekumbana na kisa hiki. Rafiki yangu ananiambia mke wake hataki kushiriki nae kisa ananyonyesha. Hoja yake ya mke ni myth iliyoshamiri ndani ya jamii kwamba sperms huchafua...
0 Reactions
55 Replies
13K Views
Nimepata swali nikaona si vibaya wana JF mkanisaidia.Nina jamaa yangu ana miaka 34.Siku moja huyu jamaa alikwenda kumtembelea dada yake anayeishi kama 50km toka kwake.Alipofika huko akakutana pia...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
JAMANI HAWA MABAZAZI NAO WANA HAKI ZAO??LOH NIMEONA HII WAKILALAMA HAKI ZAO KENYA
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Leo wakati wa chakula cha mchana nikatoka na kabinti kamoja kageni kametoka chuoni siku za karibuni kwa ajili ya kupata mlo wa mchana. Tukaenda florida pub na kuagiza mexican chicken na chips...
0 Reactions
105 Replies
8K Views
topic closed
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hey yooh!...I know!i know it has been a while...but i just want to let you all know that I am so excited, I am getting Married to Nyani Ngabu. There is so much to do, so many plans to make. I am...
0 Reactions
107 Replies
7K Views
Life is too short to wake up with regrets. So love the people who treat you right. Love the ones who don't just because you can. Believe everything happens for a reason. If you get a...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu mkasa umetokea, lakini ichukulie ni wako...! Imagine wewe unaye BF/GF/Wife/Husband, ambaye upo naye kwa miaka zaidi ya mitano sasa, na pengine mmeshazaa! Na kama ulitokea mapishano ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Take care of your parents.... A simple man tells how his booking an air ticket for his father, his first flight, brought emotions and made him realize that how much we all take for granted when...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. No body is supposed to say "I want everything" except women 2. When a man likes something, he will think what he will do to get that thing. 3. When a woman likes something, she will figure out...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
HII NI ORIGINAL AMA YA KICHINA/YA KICHAGA KWENU WAPENDWA
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Hi people,am so desperate,before i tell you my story please dont judge me jus help me with yo advice. Am a female afed 27 years with two kids. am a graduate. i have been in love with my sister's...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwezi ujao tunatimiza miaka mitano ya ndoa na my lovely wife wangu. Je nifanye nn kizuri kama kumbukumbu ya hii siku. Naomba ushauri nifanye nini kizuri kwa mke wangu na familia yangu kwa ujumla...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi wana JF? Ni hivi, kuna lililonikabili hivi sasa mpaka nakosa raha. Nimeoa na nimekuwa nikiishi na shemeji yangu wa kiume pamoja na dada yangu. Huyu shem kaanza kujitegemea takribani miezi tano...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
hembu tufurahi pamoja leo na nacheka tu sijui na nini hembu leteni mambo mazuri niendelee kufurahi kuna siku unaweza amka na kisirani tu GREAT DAY LOVE U ALL MWAAAAAAAAAAAAAAA
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani wana JF (the Home of Great Thinkers), naombeni niwaulize kuhusu hili; Mtu mwenye BF/GF/Husband/Wife, lakini inapotokea kwa namna moja ama nyingine, akajua kuwa mwenzie anachukuliwa na...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
jamani kwa wale wenye ndoa help me out,nasikia ukishaingia kwenye ndoa i mean ukiolewa ni lazima kilasiku mfanye lile tendo wewe na mwenzio,sasa mimi nauliza hivi huwa hamchokani?au haukinai?hiyo...
0 Reactions
142 Replies
10K Views
Habari lenu bana? Hivi nani huwa anaumia pindi anapokosa unyumba muda mrefu kwenye ndoa, ni baba au mama??? Hebu tupeane uzoefu!
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom