Nimeikuta hii somewhere, binti anaomba ushauri, binafsi nimeona kama ni uchuro flani flani hvi,
"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na...
Women can determine what type of a man are you, by looking at your shoes you are wearing at the first time you meet with them. This happened, if not all but 70% of women/ladies they do glance...
Naomba mchango wenu wa mawazo wanajamii
kuna mdada anajirengesha kwangu ila mimi sina mpango nae
sasa jana usiku katuma sms ktk simu yangu akilalamika kwamba namtesa
ksababu najua ananipenda ndio...
"MEN FALL IN LOVE THROUGH SEX BUT WOMEN FALL IN SEX THROUGH LOVE"
Nimefikiria nimeona nililete kwenu wadau mnipe mawazo,hivi mnalionaje hili? ni kweli huwa tunafall in love after having sex? au...
Habarini za mchana wana ndugu,....
nimefika zanzibar nikaona mambo ya kunishtukiza ambayo kama
waelimshaji wa jamii tunaitaji kurekebishana......
Mshiriki wa miss tanzania 2007/8 Ailiekuwa MISS...
Unakwenda kijijini unakuta familia masikini sana, hawana hata uwezo wa kupata mlo mmoja kutwa, kuwaonea huruma unachukua binti yao hadi kwako mjini akufanyie kazi za ndani, apate pesa awasaidie...
Huyu mdogo wake na hanei wangu, huwa anapenda kufuatilia issue zangu kila kukicha. Mara kwa mara ugomvi wetu na dada yake yeye ndio chanzo au kichocheo, kosa hanei wangu akiliona dogo akilijua...
Hazikunishangaza habari hizi angalau hawa jamaa wanasema yaliyokuwe ndani ya jamii zao
Brits among the 'ugliest people in the world'
Last updated at 5:04 PM on 11th November 2009...
Ni wazo tu ndugu zanguni msinitafune
Mara nyingi tunaambiwa uwezo wa kumdhibiti mwanamme uko mikononi mwa mwanamke mwenyewe kwa maana ya mahaba, vionjo na ubunifu wake hasa katika suala zima la...
TO MY FRIENDS WHO ARE
TO MY FRIENDS WHO ARE... SINGLE

:
Love is like a butterfly...

The more you chase it, the more it eludes you

, But if you just let it...
ni mahusiano na urafiki wa familia zao ndio uliopelekea yeye na mwenzi wake kuwa wife & husband mwaka mmoja na nusu sasa
Mwanaume alikuwa anasoma urusi -mwanamke akiwa TZ anafanya kazi...
Imefikia kipindi sasa wanaume tumekuwa hatuhitajiki na wanawake kama zamani.
Sasa hivi wanawake wengi wanajifanyia mambo yao wenyewe kama kulipia karo/ada za watoto, wanajingea nyumba, wananunua...
Labda kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndio maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kulizungumzia. Hata hivyo, tunachofanya siku zote...
CHECK THE VERSES BELOW AND SEE HOW SMALL MISTAKES COST IN YOUR MARRAIAGE LIFE.
A baker was asked to print 1 John 4 verses 18 on a wedding cake. He forgot and printed John 4 verses 18.
The 1...
wana JF mi nina swali naomba mawazo yenu.Hivi kwa nini sisi wanaume hatupendani na kujaliana wenyewe kwa wenyewe? hivi punde nilichomoka ofisini na kwenda bank ya NMB kwenya ATM nikakutana na...
Haya madudu wanayofanyiwa baadhia ya wanaume na akina mama yapo kwa kila kabila, utafiti umebaini kuwa ni moja ya taaluma ya Kibantu katika kuongeza au kuthibiti chachu ya mapenzi na ambayo...
http://www.dullonet.com/cloudsfm-11-11-2009.php
Wadau hebu tusaidiane mawazo katika mkasa huu, haya mambo ndo yakoje,jaribu kubofya link hapo juu,kama huipati Mods tuasaidiane its important
Kuna swala linanitatiza kidogo naomba wenzangu mnipe maoni yenu.
Mimi na wife tunaenjoy maisha yetu ya kuwa pamoja kwa kama miaka miwili sasa tukiwa huku mwisho wa reli, Kigoma na tumebahatika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.