Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mimi ndimi mke anayelalamikiwa katika thread iliyotolewa mapema leo. Nimelazimika kutoa maoni yangu kwa PI, baada ya mume wngu kuniambia kusoma comments za watu kuhusu maisha yetu. Kwanza kuna...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanafaa sana! Je, umechoka kusikia kuhusiana na tofauti kati ya mwanamke na mwanaume? Ni kweli mwanaume na mwanamke wapo tofauti sana na hakuna mjadala kuhusu hili. Wote mwanaume na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nilimwambia sikuwa na tatizo la kwenda kwao isipokuwa aniwezeshe kimaisha ili nami niwe na maisha mazuri, akaniambia jambo hilo liliwezekana nisiwe na wasiwasi. Maimuna aliniambia licha ya kuwa...
1 Reactions
0 Replies
10K Views
Je mwanamke mwenye umri wa miaka hamsini na tano ambaye ameishi maisha ya utulivu, kalea wanawe wamekuwa, yupo stable economically anaweza kupata mwezi wa kuzeeka naye mwenye mahitaji sawa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chunga sana........ Fedha! Linapokuaja sula la fedha, kwa ndoa mpya wakati mwingine fedha ni kama mtungi wa gas ambao unasubiri kushika moto na kuwaka siku mambo yakiwa ovyo. Kwenye ndoa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF nambieni, Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa? Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Imetokea katika baadhi ya familia pale mama kujiuliza kama mwanae yupo kamili kimaswala pale anapoona mwanaye wa kiume hadi kufikia miaka 20 yupo yupo, hana mazoea na mabinti wala hata haonesha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kitchen party ni biashara kubwa sana kadri miaka inavyoenda.Nielewavyo mimi KP ( kufundwa bi harusi) huko nyuma,makabila mbalimbali yalitumia siku chache kabla y aharusi kukaa na bi harusi...
0 Reactions
82 Replies
18K Views
Hallo Wanajamii! Kuna kitu huwa najiuliza mara nyingi -Wakati Wa FUMANIZI Tuseme umemfumania mke/mme wako Au tuseme tu Girl/Boyfriend kuna kitu huwa nashangaa: Kwa nini mgoni ndiye huwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Rafiki yangu mama moja ambaye ameenda retire alipatwa na masaibu baada ya kumpigia one of her former male collegue young enough to be her son akitafuta biashara.Alipoenda yule jamaa jioni home...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wifestyles of the rich and famous Too wealthy to find their own mate? Someone else can do that! Last Updated: 8th October 2009, 3:27am Connections of the heart can be had for a price...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mke ni bidhaa hadi atafutwe kama vile ni kuku au ng'ombe? Nimekuwa nasikia watu hasa wanaume wakiomba watafutiwe wake na dada au mama zao.Tena wengine hudiriki hata kwenda vijijini kwa ajili ya...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Leo mida ya saa mbili usiku nilikuwa nasikiliza Radio Maria na walikuwa wanajadili hichi kisa ambacho kimenishangaza sana. Kisa chenyewe ni hichi: Kuna jamaa alikuwa na mke wake wa ndoa na...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
jamani wana JF mimi ni newcomer.nawapongeza wana jamii hii kwa kutupa elimu mmbadala katika jamii,dont worry JF i willm air very interesting love tips in this site for today just accept me as a...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wapendwa, Ni sisi wale wa miaka 47 kama wanavyotuita. Nina miaka 10 na watoto mchakato! tatizo ni kuwa tulioana tukiwa pale na sasa tuko hapa. Nimepitia maisha ya aina mbalimbali nchi mbalimbali...
0 Reactions
86 Replies
9K Views
Tangu utotoni nimeambiwa the ultimate goal for a woman ni kuolewa. Kusema kweli nilikuwa natamani ku-meet Mr Right and walking down the isle but what I've seen around me has made me wonder if...
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Ni mwanamke wa miaka 30, alikutana na kijana chuoni , wakapendana na wakaishi pamoja wakafanikiwa kupata mtoto mmoja.baada ya hapo walifunga ndoa ya serikali.mungu akawajalia wakapata mtoto wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
This topic needs honest comments from you guys. Men can live/survive with his girlfriend/wife for a long time if she lost her job before she get another or even she doesn’t have a job at all...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
SA man's mass wedding 'saved money' By Pumza Fihlani BBC News, Durban South African businessman Milton Mbele broke all the traditional rules of a polygamous wedding when he recently...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaidieni Jamaa yangu huyu, aliponiomba ushauri nilimwambia anipe mwezi mmoja nifikirie: Jamaa yangu anaitwa Sam(si jina la kweli) ni kijana mwenye mafanikio kimaisha,anafanya kazi katika kampuni...
0 Reactions
123 Replies
63K Views
Back
Top Bottom