Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna maoni mseto katika kila kigezo. Uzuri unaweza kutoweka kwa magonjwa ama ajali. Akili inaweza isifanye kazi kutokana na mazingira na jiografia ya eneo anapoolewa. Kipato chake kinaweza...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Inakuwaje wakuu, Hii hali inanisumbua sana nashindwa kumsahau huyu mwanamke niliyekuwa napendana naye kipindi nipo o level. Tulishaachana na yeye alishapata mtu mwingine. Imepita takribani miaka...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Yaani hii tabia iliyoibuka ya wadada kuacha maziwa yananing'inia, inatuweka wanaume mahala pagumu sana. Mimi nadhani kwa upande wangu makalio yalikuwa hayanisumbui sana lakini hili suala la boobs...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Leo ni mara ya nne nakunywa smart gin naona kama nakunywa maji harufu yake ipo Ila stimu zinachelewa. Nakunywa kitu nahisi kabisa kimechanganywa na H20. Sasa kutokana na Hiyo suspicion Leo...
2 Reactions
7 Replies
474 Views
Kuna mtu ana kimtandao chake kipo moshi hiki kimtandao nakitumiaga kwa matangazo ya kazi na kazi ya udalali . Sasa wanatangaza sana kazi za finance na accountants . Kidhibitisho hiki hapa ila sasa...
4 Reactions
9 Replies
342 Views
Ndugu zangu. Wanawake jueni wanaume tuna moyo wa nyama na tunaumia sana ni vile tuu hatuwezi kusema hadharani. Nimeamua kunyamaza ila moyoni na umia sana, mwanamke wangu kasusa kabisa kunitakia...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Yani haka katabia ka wanawake kukata mitaa wakiwa tupu bila nguo ya ndani kameenea sana. Wanawake ndio fassion au mnarahisisha X kua Y.?
1 Reactions
114 Replies
30K Views
Mara nyingi mabinti huchukua tabia za mama zao aidha kwa kurithi au kuadapt hivyo ni bora kabla ya kuoa mchunguze mama mkwe maana tabia yake ndo tabia ya mkeo mtarajiwa, kama mama mkwe anachepuka...
5 Reactions
61 Replies
10K Views
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi. Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
Poleni na kazi wakuu! Nimebahatika kuwa na mji wa kawaida wenye apartment. sasa kuna ndugu yangu naishi naye anampango wa kuoa mwakani ameniomba aishi hapa hapa kwenye moja ya apartment hata...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Hii ni maalumu kwa ladies wote ambao hamjaolewa. Ni hivi, hupaswi kabisa kumwamini mwanamume anapokwambia "nakupenda" kabla hajakuoa. Kwa kawaida mwanaume hutumia neno "nakupenda" akilenga...
13 Reactions
115 Replies
5K Views
1. Wale vijana msingi kiuno. Kiukweli mna kipaji cha kuvumilia masimango, kejeli za Hawa mashangazi. 2. Enzi zangu niliwahi kuwapelekea moto mashangazi Kwa idadi yanafika Saba (Kwa wakati...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa sasa hiyo ndo hali halisi yetu. Tuufungue mwaka huu mpya kwa kuambiana ukweli huu mchungu ili kama lipo la kufanya basi tufanye....hali ngumu.
5 Reactions
27 Replies
2K Views
mwanamke ana thamani kubwa sana na haina mfano,angalia wanaume tunawapiga,tunawatukana,tunawadanganya,tunawanyanyasa,tunawaharibia maisha,sasa cha ajabu,ndio haohao tunataka papuchi zao,tunataka...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Kila nikijaribu kuzama nashindwa kabisa, nimejaribu sana lakini nikifika karibu kuanza kuna kitu kinaniambia " acha uboya wewe". Dada ukipata mwamba wa aina hiyo mfunge kabisa kamba.
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Naandika uzi huu kwasababu nazidi kujionea baadhi ya ndoa hizi za kizazi kipya zimekuwa za ajabu sana, hata ile tafsiri ya kuvuta jiko imeanza kupotea. Na tuache masikhara, ndoa zetu za kiafrika...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Nyie wanaume kuumbukeni kila ubaya umtendao mwanamke, na mnakuja hapa kujisifu kuwa umempakua demu, umemla jicho, umempa mimba ukamtelekeza, ndivyo hivyo hivyo mwanao wa kike atakavyotendwa.
8 Reactions
31 Replies
910 Views
Leo nimefanikiwa kung'oa pisi ya kingoni mixture mnyakyusa,,,,,Ndagaa fyijooo
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Kwa muda sasa nimekuwa niki keleka pale wife anapotupia/vaa tisheti zangu Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu...
5 Reactions
63 Replies
8K Views
Back
Top Bottom