Je, ushawahi kuwa na mpenzi ambaye alitokea kupendwa sana na Mama, baba au ndugu zako kupita maelezo kana kwamba hata afanye kosa lolote ni ngumu kwa ndugu zako kuamini au watakua tayar kufanya...
habari wadau.
hii couple maarufu inayotrend sana tik tok na instagram ya vijana wanaojiita Meet Us. inafanya ma single tujione mayatima wa mapenzi.
mahusiano mazuri matamu sana na muhimu hela...
Habari za weekend wana JF?
Leo tufunguke kituko kilichowahi kukutokea wakati ukifanya mapenzi.
Nianze na changu.
Nakumbuka wakati nazagamua katikati ya mzagamuo mara dada kakata moto, yaani...
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume...
Kuna time unaweza kujikuta kwenye situation ya kumpenda mtu sana ambaye hakupendi pia unaweza kujikuta kwenye hali ya kupendwa sana na mtu usiyempenda.
Naomba kushare Uzoefu kwenye situation zote...
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni...
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa...
Kama wewe sio mtaalamu wa kupiga mipira iliyokufa , hutowaweza single maza.
Unajua katika mchezo wa mahusiano sio kila mchezo MTU anaweza kuutawala wote ,hivyo kupiga mipira iliyokufa hiyo kazi...
Unakutana na msichana mzuri unaomba namba hana ujanja wa kukutajia,ataanza kupekenyua simu yake su ataomba ya kwako akubeep ndio upate nsmba yake.
Sasa mwanke kama huyu atakumbuka kweli tarehe...
Dalili tano kwamba mwanaume uliye naye kwenye mahusiano ni mume wa mtu zinaweza kuwa:
1. Anapunguza Mawasiliano au Haonekani Mara kwa Mara: Ikiwa mwanaume anakuwa mgumu kupatikana au haonekani...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Kuna uzi juzi niliuanzisha hapa ulikuwa unazungumzia namna mpangaji mwenzangu yeye na mkewe wanavyonifanyia makusudi na maudhi yasiyokuwa ya lazima katika...
Kila nikiwa nakasalio kidogo tu, anakuwa anaongeza mapenzi ya masham sham, nikiishiwa kidogo tu, ata simu zangu nikimpigia hapokei.
Huyu mwanamke nimfanyeje?
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna...
Merry Christmas [emoji320]
Hivi karibuni nilitembelewa na ndugu yangu majira ya saa tano asubuhi tena bila taarifa.
Kwakuwa alikuja time naenda job nikamuachia maelekezo yote ya msosi...
Unajua najiuliza , hivi nyie mliooa mliona nini kwa wake zenu that other women dont , maana mimi kila mwanamke naona the same characteristcs , yani shida shida , ukipata atleast ana a very...
Wasaalamu,
dronedrake kiongozi wa Nyeto baba wa kataa ndoa ni utumwa. I, proton pump baba wa No Fap.
Nimechunguza nyuzi nyingi za hivi karibuni zinahusu maumivu ya mapenzi zikiwemo;
1. Vijana...
Habari,
Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana.
Sasa wiki mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.