Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini, Kila mmoja bado alikua kamkasirikia mwenzie. Mimi na yeye wote tunafanya kazi mjini...
13 Reactions
42 Replies
2K Views
“Naanzaje kukataa Joshua? Nipo tayari uniowe hata kesho. Nikikumbuka jinsi tulivyokutana moyo wangu unajawa na furaha na amani sana. Nakupenda pia Joshua” Alisema Noela kisha alimkumbatia...
5 Reactions
55 Replies
1K Views
Wakuu Mimi si member mpya kama inavyojieleza ni mwenyeji haswa humu ndani. Ningependa kufahamishwa inawezekana mwanaume kukutana na mwenza wake mara tano tu ndani ya miezi mitatu ilhali mwalala...
6 Reactions
41 Replies
805 Views
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine...
49 Reactions
278 Replies
7K Views
Habar wana jf. Bwana katika harakati zangu niliweza kukutana na wasichana wawili " Eliza na Grace" sio majina halisi, macho yangu yalitokea kuvutiwa sana na uzuri wa Eliza japo wote ni wazuri...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
Mapenzi bwana. Juma kisauti a.k.a mnyamwezi wa Mgeta Roro mkoani Morogoro amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababishia ulemavu wa kudumu kwa mpenzi wake walipokuwa wakinyanduana. Katika...
52 Reactions
155 Replies
10K Views
Me and her we were made for eachother, we laugh at the same joke, she is gorgeous, smart and more importantly, ananiheshimu sana, mwaka wa sita huu lakini kama vile tumekutana jana. Usikatae...
26 Reactions
81 Replies
3K Views
Nikiri kwamba nina wivu kupita maelezo! Hii hali mimi mwenyewe siipendi na hata hivyo nashindwa kuicontrol. Sipendi kujiingiza kwenye mahusiano na wanawake kwa sababu hii hii! Wakuu ni jinsi...
25 Reactions
240 Replies
8K Views
Wakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona...
13 Reactions
66 Replies
1K Views
Najua kila mtu usiku uingiapo huhitaji kupumzika,lakini unapumzikaje bila hata kuchati na yeyote,unaangalia simu yako labda utakuua sms unakuta hola,unajaribu kumtumia dada wa watu "mambo" ila...
1 Reactions
5 Replies
144 Views
Wako wapi wanawake wife material?
13 Reactions
201 Replies
2K Views
Mambo zenu. Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation. Naombeni Ushauri.
16 Reactions
273 Replies
6K Views
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna...
25 Reactions
268 Replies
6K Views
Mume wako Alipe Kodi Anunue chakula na mavazi Alipie billis za umeme , maji na hospital Ada za shule watoto Akupee pesa Bado anakomaa aweke akiba kwa ajili ya maendeleo yenu. Na kitandani awe na...
2 Reactions
8 Replies
294 Views
Bila salamu. MTAANI. Ukweli iko wazi wakipita wanawake 15 wembamba mbele ya wanaume, wanaume tutageuka mara moja tu na kuendelea na shughuli zetu. Lakini ukipita wewe chibonge mmoja tu mbele ya...
31 Reactions
324 Replies
7K Views
Heshima yenu wanajf, ipo hivi: Nipo kwenye mahusiano na huyu mwanamke kwa miezi minne sasa. Wakati namtongoza nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilikosea—nilimwambia nitamuoa ilhali sikuwa na...
9 Reactions
76 Replies
2K Views
Kuliko mabinti, wasichana na wananawake pekee kujaza makanisa na masinagogi wakitafuta wenza na wachumba kwa maombi na maombezi kwenye nyumba za ibada, Uko umuhimu wa kufanya kongamano la kitaifa...
5 Reactions
9 Replies
224 Views
Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!. Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu...
13 Reactions
59 Replies
727 Views
Ni miezi takribani mitatu sifiki kileleni Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata...
12 Reactions
105 Replies
7K Views
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na...
51 Reactions
348 Replies
10K Views
Back
Top Bottom