Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
kijana mwenye jinsia mbili alipata shida ya kibofu cha mkojo na kufanyiwa surgery Lakini hali yake haikutengamaa bali ndio ikazidi kuwa mbaya sana sana . Sasa jana kanitumia meseji watsap...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Habari za wakati huu, moja kwa moja, wanawake hawajui wanachokitaka, yaani ni vurugu vurugu kabisa, ipo hivi; * Ukiwa na uume mrefu atakwambia unafaa kwa kuangalia na unavutia ila una muumiza...
14 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu! Hii imeleta shida...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Watu mliopo kwenye mahusiano zaidi ya miaka 15 mnafanyaje fanyaje hadi mnadumu muda mrefu bila kuachana?
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Nimerudi tena. Tuwaheshimu, tuwajali, tuwatunze, tuwapende kwa moyo mkunjufu. Wengi wetu tuliolelewa na single mothers huwezi kukuta tunawadharau na kuwakejeli wanawake. Guyz, hawa viumbe wana...
1 Reactions
2 Replies
320 Views
Dah nakumbuka me ndio nilikuwa naanza nikakutana Na demu Fundi balaa basi nilikuwa nazidiwa possession kila round. Me ndio sijui chochote zaidi ya stori za kitaa.Nikapapasa kama nilivyokuwa...
24 Reactions
134 Replies
24K Views
Ni janga la taifa, kila mtu anataka Ke yenye kalio la kufa mtu. Japo hiyo Ke inaweza ikawa na tabia Mbaya lakini kama nyuma imejazia hizo nyama nyama SAWA SAWA hata ndoa Inaweza ikatangazwa na...
13 Reactions
48 Replies
5K Views
Mwenye nguvu Hana pesa! Mwenye pesa hana nguvu! Mwenye pesa na nguvu Hana muda! Hivyo kubali kuridhika na uliye nae utaishia kulia tuuu Mistari michache tu kwa leo
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Kids na teenagers wanapenda entertainment, right? Sasa kila muda mtoto wa kike anapoweka chaneli ya trace anakutana na wadada wako nusu uchi wakikatika. Mtoto huyu akiweka chanel ya E...
1 Reactions
2 Replies
573 Views
Kuna demu nilikuwa na mfukuzia mda kidogo alikuwa ananizungusha saana. Lakini kwa bahati nzuri jana ile alinikubalia. Lakini kila nikifunga macho naona kabisa huyu ni chuma ulete Mtu kanikubali...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Wala GENTAMYCINE nisizunguke sana katika hili Mimi siwezi abadan ila Majina ya Wazazi wangu nitayatumia tu kwa kuwapa Wanangu ( Watoto Wangu ) ila siyo Vinginevyo. Haya tayari nimeshachokoza Mada...
1 Reactions
5 Replies
495 Views
Nawatakia Jumapili njema Wakristo wote, na mfungo mwema wa Ramadan kwa Waislamu wote. Niende kwenye mada yangu. Uhuru kwa mtoto hasa wa kiume mwenye miaka kuanzia 15 kama sayansi inavyosema kuwa...
19 Reactions
176 Replies
5K Views
Wikendi jana nilikuwa zangu kanda ya ziwa. Nikafikia lodge moja yenye sehemu nzuuuri ya kutulia na kula kinywaji. Nyakati za jioni nikatoka nje kupunga upepo,kunywa wine huku nikipitia nyuzi za...
22 Reactions
57 Replies
4K Views
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona. Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda...
26 Reactions
91 Replies
3K Views
Hellow african Watu wengi hawajui kumuandaa mwenza wake kabla ya tendo leo nataka niwatoe ushamba kidogo [emoji23][emoji23] Kwaza kabisa in the morng kama mnataka kukutana leo bas anza...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Ni siku nyingine tena natumai sote tu wazima wa afya. Niende kwenye lengo langu. Katika mahusiano na ndoa kuna kukoseana na kuhitilafiana. Ndoa na yafanyikayo humo mara nyingi huwa ni siri ila...
4 Reactions
80 Replies
3K Views
Utamaduni huu naomba kwangu ubaki maana Ndoa nyingi siku hizi hakuna japo tunaona sherehe nyingi sana kuliko Ndoa. mimi naomba wazazi wangu wanitafutie mke atakayenifaa hivo tu sijajua kwako...
1 Reactions
9 Replies
482 Views
😳😳 Mchungaji huyo wa kanisa nchini S.Africa kwa jina la Jeslynn ameibuka kuwashauri wanawake walio kwenye ndoa lakini tofauti na matarajio yake amepingwa kwa karibia asilimia 95% na wanawake...
0 Reactions
1 Replies
492 Views
Je ni sawa kumpeleleza Mpenzi wako kutaka kujua kuhusu mahusiano aliyowahi kuwa nayo kabla yako!? maswali kama umeshakuwa na wapenzi wangapi kabla yangu? kati ya hao ulokuwa nao ni wangapi umelala...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimewaza kuhusu mimba zinazotokea bila mpango kwa wasichana wa shule na vyuoni..... Nafikiria kuhusu nani haswa ndo mwenye hatia kwenye hizi kesi ila jibu haliji. Huko mtaani wanalaumiwa sana...
0 Reactions
17 Replies
350 Views
Back
Top Bottom