Kipindi nasoma, naishi home kwa wazee, mfanyakazi wa ndani aligundulika ana mimba. Ikabidi ahojiwe muhusika ni nani. Ile nyumba watoto wa kiume tulikuwa watano ( kuna mtoto wa baba mdogo nae...
بسم الله الرحمن الرحيم.
Mimi ni mwalim wa dini na imam katika msikiti ulipo eneo ninalo ishi...
Kwa nafasi yangu huwa napokea kesi na migogoro mbalimbali kusuluhisha na kushauri.
Nina wito huu...
Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara...
Hello JF,
👇👇👇
Juzi Kati hapa nimekoma nimeingia lodge na manzi mmoja mitaa ya area D hapa Dodoma, nilivua suruali mbele yake nikaitundika kwenye enga ukutani, si akashangaa akauliza au...
Utakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye ndoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu...
Nina mtizamo hasi (negative perception)dhidi ya wanawake naomba wana saikolojia na sociologists waliomo humu kunishauri ni jenge imani umpya kwa wanawake ili niweze kua na mapenzi ya dhati sio ya...
kwenye mapenzi...
Wanawake huwa hawawana upendo ila wanatengenezewa upendo na mwanaume...naamaanisha nini?
mwanamke anaweza kukupenda wewe kama alivyompenda mwanaume wake wa kwanza katika...
Habari zenu wanajukwaa,
Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake...
Masomo yangu ya O-Level nilipata katika shule moja ya kikatoliki ya wavulana.....
Nlivokua form 2 nikahamia bweni kubwa, form 1 tulikua na mabweni yetu peke yetu. Bweni kubwa wanakaa form 2,3na...
Heri ya mifungo ndugu Wakristo na Waislamu.
Nakumbuka wakati nikiwa kidato cha nne, 'washkaji' zangu wa enzi hizo waliwahi kunitania siku moja utani mchungu mno. Kuna jamaa yangu akabong'oa...
Ukimuona utadhani malaika/
Kwa jinsi alivyo umbika/
Jicho la kulainika/
Kiuno kimebinuka/
Tumbo limefutika/
Mpodo umejazika/
Sauti yake tamu hakika/
Yaani mtoto kakamilika/
Ana haiba ya...
Nawasalimia!
Nimeogopa na kutishika sana kila nisomapo baadhi ya ripoti za mashirika ya kiserikali na yale yasiyo ya kiserikali kuhusu vifo vya mabinti wakati wa kujifungua kutokana na udogo wa...
Mwanaume unathaminiwa kutokana na uthamani unaotoa kwenye jamii.
Harakati zako na mapambano yako vitaonekana vya maana pale tu unapofanikiwa.
Lakini kabla ya hapo utaonekana tu kama kijana...
Huu ndio ukweli wanaopaswa kuupokea.
Kumuamsha mdada wa kazi saa 11 alfajiri na kuwaacha binti zako wamelala ni kumuandaa binti wa kazi kuwa mke Bora kuliko wanao.
Eti kumtumikisha dada wa kazi...
Habari za wakati huu popote pale ulipo... Mungu yu nasi.
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA...
Habari za muda huu wana Jf. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwanye hoja mahususi.
Mapenzi ni kitu kimoja cha ajabu sana. Ni mwaka wa pili sasa, tangu nikutane na mwanamke nahisi ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.