2020
Bwana Hamis (sio jina halisi) alikua ni kijana wa mtaa, wakati huo amemaliza form 4 pale kinondoni, hakufaulu na hakupata ajira yoyote so akawa ni mtu wa maskani tu.
Maskani ya vijana wengi...
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila...
Kuna siku Niko club ya usiku nacheza macho yangu yakaangukia kwa mdada flanj hivi alikuwa beautiful kweli Sasa katika kumchombeza akawa amekubali bwana akanieleza yeye anaishi pekee yake kwake khy...
Wanawake wasasa…
Jamani kwanini wanawake wamekuwa wakatili hivi ukigombana nae tu anakushafisha vitu vyote na bado anahitaji matuzo ya mtoto, serikali imewakingia kifua wamekuwa na kiburi sana.
Jamaa ni msimuliaji mzuri sana wa visa/mkasa humu jukwaani. Ukiwa unasoma andiko lake pamoja na content anayozungumza lakini mpangilio pia huwa uko vizuri sana. Big Up Deep Pond [emoji1534]
Jamani ndugu zangu hasa sisi wanaume, tuna mengi mno tunapitia
Hivi utajisikiaje unakufa juu ya kinena cha hawara? Ni aibu kiasi gani utaiachia familia yako?
Tuache ama tupunguze kununua malaya...
Kwema Wakuu!
Baada ya kushauri Vijana wa Karne hii ya 21+ mambo ya kuzingatia ili wasijekuuwa na kujiweka matatizoni, Leo nitamalizia na Wanawake ili mambo haya yapungue.
Andiko hili...
Morng friends,
Sikia niwaambie kitu ambacho wengi wanakijua hila wanakificha au wanaogopa kukili kwamba ndio hali halisi.
Mapenzi hisia na utundu wako ukitaka wanawake wakupende au upige sana...
Habar wakuu,
Kuna Jamaa mmoja alikua ni msomi msomi Sana. Alipofikisha Miaka 30 net akawa ndo kamaliza chuo kikuu na kuingia rasmi mtaani kusaka ajira. Hapa na pale uko mitaani Kuna binti...
Mimi ni mwana JF wa siku nyingi japo niliacha kutumia JF na KUDELETE ACCOUNT 2016.
Na 2018 nilirudi kwa staili ya kusoma habari za JF kwa "KUFOLLOW LINK" kutoka FB (bila Ku log in MAANA SIKUA NA...
Ex wangu aliniacha mimi na kukimbilia kwa jamaa fulani kisa jamaa ni mtu mwenye pesa nyingi.
Wakati mimi ndo nilimtowa kijijini na kumleta mjini ila cha ajabu mazuri yote haya walisau yeye na...
Wananzengo salamu kwenu.
Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.
Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada...
Habar za saa hizi jameni...
Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in...
Msichana uyu katika picha alikaa miaka 25 bila kuwa na mahusiano alikuwa akisubiri mwanaume atakaye kuwa tayari kumuoa, kweli alifanikiwa kumpata na baada ya miezi kadhaa walifunga ndoa kubwa tu...
Happy new year wakuu,
Hivi ni kweli kuwa sikuizi mapenzi ni expensive au tunatishana tu? Tokea nijiunge JF sikuizi naogopa hata kusimamisha manzi njiani nikiwa sina hela, maana humu story ni kuwa...
Kuna watu wanapotoshana humu kwamba tusioe mzae tu. Sasa wewe umekuwa paka, kama tu ndege, kama njiwa huu na njiwa mwenzake na mke na mume, wewe ni nani?
Nakumbusha tu wakati wa kuoa tusiangalie...
Wadada wana mahusiano ya wazi na ya siri kama ilivyo kwa wanaume.
Kwa sasa si mlokole wala sister du wa club,wote wana wapenzi wengi na wakiwahitaji wanawatafuta kwa siri kupitia mitandao mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.