Wasaalam kama kichwa cha habari kinavojielezaa, twende moja kwa moja kwenye mada,
Nitaeleza kisa kimoja ambacho nimekutana na hawa baby mama drama kwa Sasa ni wamejaa sana, siku hizi wakina dada...
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu...
Habari,
Samahani leo nimepata kujiuliza hilo swali, hii ni kutokana na wasichana omba omba hivi huwa wanatumia akili gani kuwaza mpaka kufikia hatua kuomba? Hivi wako na rational thinking? Mtu...
Watu wazima ovyoo mnaona wivu na mtaona sana na kama matusi mnayo basi fungueni kijiwe muwe mnapeana notes ila kuachwa siachwi ng'o mtabakia kubadili ID muwe mashoga , muwe vichaa kazi kupiga...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Kwa masikitiko makubwa niwaombe tuu dada zangu pale tunapo watongoza badala ya kutupa jibu kama mmetuelewa au laha hasha mnazugazuga na maringo kibao na hapo...
Habari za wakati huu ndugu zangu..
Nimekua kwenye mahusiano na mwanamke wa kichaga japo hayupo peke yake na spare za kutosha ili kutunza afya ya akili..nakupata muda wa kuchambua chambua wa...
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa...
Unajua kuna kitu mimi kina ni changanya, zamani tulifundishwa mwanamke mzuri wa kuishi naye au mwanaume bora wa kuishi naye ni yule ambaye ana tabia njema lakini siku hizi tunasikia mashauri...
Walimwengu usema thamani ya kitu uonekana pale tu unapo kipoteza au kutoka mbele ya macho yako
Na malipo ya mwenye kiburi ni majuto
Nilimpoteza mwanamke ambaye alikuwa msaada kwangu. Mwanamke...
1. Usiharakishe kutoka nyumbani kwa wazazi wako kwa gia ya kwenda kuolewa.
2. Usimsubiri mwanaume mpaka aje ndio uanze kuishi. Unaweza kuishi maisha timilifu hata ukiwa huna mwanaume.
3.Achana...
POISON THAT KILLS MEN
Once upon a time a beautiful girl got tired of her marriage life and wanted to murder her spouse.
One morning she ran to her mother and say to her " mother, I am tired of...
Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri...
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.
Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura...
Mama watoto wangu niliachana naye kwa miezi kadhaa, sasa ila kila mara huwa ananiambia kwamba nitapatwa na majanga kazini na nitajutia.
Kuna yoyote mwenye uzoefu wa jambo hili, aliyewahi kuachana...
Huyu mwanamke nilikutana nae miezi mitatu iliyopita nikiwa katika harakati zangu za kikazi mkoa flani. Alinivutia muonekano wake na tabia (napenda wanawake wapole). Tukaanza mahusiano baada ya...
Katika pilika za haya maisha kote niliko pita nakutana na malalamiko huyu kala mke wangu .....yule katembea na mme wangu.
Sijui jamaa wa ist kanigongea mchumba wangu uchumba umekufa .
Sijui yule...
Nakwera nawatu wanaoniona Malaya humu .
Ni hivi mjue Hili xmass nisiku ya kufurahia sio yakukerwa na mtu kaungua zake anastress sana.
Mwanaume ukishaoa wake zaidi ya mmoja sio Suna ni UMalaya ...
Vijana kama mnaona mjamaliza utamu wenu msije kujiingiza huku.
Baada ya ndoa unaweka familia na familia ndio inakuweka gerezani kwa kila kitu,yani piga ufanyavyo lazima kuwezesha familia ijalishi...
Kwanza niseme mimi ni mwanaume mwenye uchumi wa kawaida sio tajiri wala sio masikini nipo katikati.
Me ni mwanaume ninayependa Mwanamke mwenye sifa zifuatazo
Mwanamke ambaye hawezi kuniomba mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.