Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Vijana mnaoanza maisha msikurupuke kuowa tu sababu ya kupenda jaribu kuchunguza na familia ya huyo unayetaka kumuowa kiuchumi na kiutamaduni iko vipi la sivyo hamtaisha kuja na nyuzi za kurusha...
30 Reactions
124 Replies
19K Views
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Dah sijui niseme hii tabia ni nzuri au mbaya, anyways nitajua baada ya kupitia maoni yenu, Lemme pull in weed's smoke then out 😤 "Psss Kho kho"... Okay Let's go Baada ya kuachana na aliekuwa...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Out there wakuuuu, Wakuu kama kuna kitu kimenishinda ni hii ya kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Nilijaribu zaidi ya mara moja lakini automatically tu mmoja akaomba kufanyiwa sub...
16 Reactions
70 Replies
3K Views
Ladies and Gentlemen hope all your doing fine. Direct to the point. Some years back, nakumbuka 2019 nilianza mahusiano rasmi na binti mmoja wa kinyakyusa. Binti huyu nipo nae hadi Sasa na kwa...
7 Reactions
50 Replies
3K Views
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Ukipata mnayependana mshikilie, usimwache aende. Utakuja kujuta kama wanandoa wengi wanavyojuta kwa sasa. Kukuta wote mnapendana inatokea mara chache sana maishani. Wengi wetu tuna wapenzi wenye...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Inshallah Mungu ajalie January 1, 2023 naanza na penzi jipya la mtoto wa kisagara. Ni hatari sana hii mashine nafungua mwaka kivingine. New year New mashine new show. Nyota ya "Pisi mpakato"...
4 Reactions
70 Replies
2K Views
Nilimpa nauli ya kwenda na kurudi ili kusherekea siku kuu na mwaka mpya, zawadi za wazazi wake kapewa, hera ya pempas za mtoto, na 90,000 za dharula emergence in case, inakua je leo asubuhi ana...
11 Reactions
48 Replies
2K Views
Kwenye swala hili nahisi limenipita na dunia imeniacha, Samahanini wana JF hivi vipipi mahaba ni nini? Maana kila sehemu nikipita kwa baadhi ya watu wanazungumzia sana na wapo wanaonunua mpaka...
5 Reactions
73 Replies
14K Views
Ni mtoto wa geti japo sio geti kali sana, ni hawa mabinti wanaojifanya slay queen kutwa uzungu uzungu na kujitik tok. Nilikutana nae maeneno yangu ya site hapa kiwandani kwangu, siku ya kwanza...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Tangu mwaka 2014 ni meficha mke wangu mahusiano yangu na singo maza mwenye watoto wawili wa kike. Sisi wanaume Mungu alitumba kua na huruma kwa viumbe vya kike na tunakua na roho ya kusaidia...
10 Reactions
107 Replies
11K Views
Eti mwanamke hamsahau kabisa mwanaume wake wa kwanza(aliyemtoa bikira)? na hata inapotokea wameachana na mwanaume huyo still anakuwepo moyoni mwake maishan mwake? Na kwamba hata ikitokea siku...
1 Reactions
166 Replies
31K Views
Hii mada ni zao la ile post ya ufahamu uchawi wa kisambaa...interest kubwa imekuwa kwenye kipengele cha NDELE, sasa badala ya kujibu maswali kwenye forum na pm , pitia hapa upate full version...
31 Reactions
153 Replies
64K Views
Tangu nimeachana na mchepuko wangu mwaka jana sikutaka tena masuala ya mahusiano nimejipa muda Nikawa najichukulia sheria mkononi maisha yakasonga. Ila hadi leo hii tar 1/1/2023 sioni dalili ya...
4 Reactions
4 Replies
527 Views
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake, hapo mgahawani kulikuwa na mabinti watatu. Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina, hakuna mtu mtaani alijua uhusiano...
21 Reactions
80 Replies
3K Views
Je unakubaliana na mdau? Au bora liende tu? Happy New year 2023 wakuu.
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Fetish ni kitendo ambacho kinamuongezea mtu raha kwenye sex, kwa hawa wengi kwa nchi walizotokea fetish zao huwa ni mtungo wa kumchangia binti moja huku wakimuingilia zamu zamu kinyume na maumbile...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Salaam za muda huu wana JF wenzangu, Please, kwa wale wakazi wa Iringa wakina Kamwene napenda kuomba msaada wa mawasiliano ya Bibi Mkunga maarufu kama Bibi Msabato. Anayefahamu anapatikana...
2 Reactions
3 Replies
657 Views
Ili penzi la ukweli baby nipe tu Na ukinikuta nimelala unakuja juu Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu Oooh unadunda...
5 Reactions
79 Replies
3K Views
Back
Top Bottom