Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nani anaikumbuka ladha ya mpenzi wake ambaye walishaachana mwaka mmoja uliopita? Tuache mwaka, ikiwa ulikuwa na mtu kisha ukakutana naye kimapenzi wiki iliyopita na baada ya hapo hamjakutana tena...
4 Reactions
62 Replies
8K Views
Mie ni kijana nilimaliza chuo ajira hamna. Basi nikaamua kujiajiri now nafanya biashara Mungu anasaidia. Kutokana na shughuri zangu za Biashara nina mazoea na watu wengi, dada kwa Kaka, wamama...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Leo nimeamua Kuja Kwenye Jukwaa langu Pendwa Baada Ya Kupotea Kwa Muda Mrefu. Sote Tunajua Kuwa mapenzi na Siasa Ndio vinavyo ‘Run’ dunia Kwa Sasa. Mimi Sio Mwanasiasa “So” Siwezi Kuongelea...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote. Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha...
37 Reactions
149 Replies
9K Views
Wandugu habari za mwaka mpya, Kama mtakumbuka miezi takriban minne iliyopita nilishusha uzi hapa nikielezea kuhusu kuamua tu kuishi na mdada mmoja kwa sababu alionyesha mapenzi kwangu ila mimi...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Hi guys, Hope mmeanza weekend poa.!! Niende kwa mada, Nina rafiki yangu wa kike alikuwa ana date mpenzi wake ambaye yupo abroad kimasomo, time passes by wakiwa wanaendelea vizuri kwa mahusiano...
2 Reactions
282 Replies
14K Views
Mwanamke akipenda huwa kapenda kweli hili neno siyo uongo kabisa! Wengi wanaolia wake zao au wapenzi wao ni viruka njia kiukweli hawajapendwa, kuna kitu walichonacho ni sumaku kiufupi kimemvuta...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Mwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana, lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka...
6 Reactions
66 Replies
3K Views
Heheee hii Dunia ni raha sana, nilipata bahati ya kuoa mwanamke kimasihara tu mwaka 2019 nikiwa hapa Dodoma niliishi nae maeneo ya mjimpya,. Basi bwana nikawa na route nyingi za kwenda Kilosa, na...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Hi, Vipi wakuu Ni mawasiliano gani unayapenda;. Yale ya kuwasiliana na mpenzi wako Mara kwa mara yaani asubui, mchana,jioni na usiku, au Ile ya asubui na usiku basi. Au Yale ya kuwasiliana Leo...
3 Reactions
68 Replies
6K Views
Ikiwa unataka kuachana na mtu kwa amani, mfano umemchoma, hujisikii kuwa nae, ukamwambia ki roho safi kua achukue anachotaka aondoke au aseme anataka nini halafu akagoma, unamfanya nini mtu kama...
11 Reactions
68 Replies
3K Views
Anaandika, Robert Heriel Vijana muache ubishi na ujuaji, oooh mimi siwezi msamehe mke wangu endapo nitamfumania amelala na njemba nyingine, hayo utayasema ukiwa timamu, unajiweza na nguvu za...
24 Reactions
103 Replies
7K Views
Mwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena. Not only outside, hata kitabia na akili ni exceptional. Kutoka na hilo amekua akipata usumbufu sana kitu...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Nikiwa nimekaa zangu natafakari uwezo wa hali ya juu wa Rais Samia kuweza kuwamaliza kabisa kisiasa Chama Cha Mbowe kwa kuwaruhusu kufanya mikutano.. Katumia sayansi ya hali ya juu sana. Wapinzani...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Sijui kosa langu lipi hapa iko hivi, Kuna kijana hua anafanya kazi na me wangu sasa hua anatabia yakuja kila siku jion kula nyumban. Yeye kapanga nadhan mvivu kupika tumeshamzoea ni kama mwaka...
30 Reactions
107 Replies
9K Views
MWANAUME MPUMBAVU NDIO HUMPIGIA MKEWE MAGOTI;. JIONYESHE KUWA MWANAMUME Anaandika, Robert Heriel Shahidi Mwanamke pekee ambaye mwanaume anaweza kumpigia magoti ni Mama yake. Na hapa...
17 Reactions
37 Replies
3K Views
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu. Nimevumilia...
27 Reactions
357 Replies
22K Views
Enzi zetu wakati tunasoma sekondari hili jambo lilikuwa maarufu hata kulikuwa na matangazo magazetini wadau mbalimbali kutafuta marafiki wa kalamu yaani rafiki wa kuwasiliana kwa njia ya barua...
5 Reactions
19 Replies
963 Views
Katika blogu hii nimetoa takriaban mada sita (06) zinazohusu vyakula na aina mbalimbali ya mazoezi ambayo mwanaume akizingatia hakika hatokuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mada hizo ni...
7 Reactions
62 Replies
82K Views
Back
Top Bottom