Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama...
Katika dodoso zangu binafsi nimejiridhisha kuwa, kifo cha mende ndio style inayowapa raha zaidi wanawake wakati wa kunyanduana.
Ikumbukwe kuwa style hii unaweza kumkunja mwanamke utakavyo na...
Denis ni mfanyakazi wa moja ya ubalozi wa nchi maarufu sana hapo Oysterbay, miaka mitano iliyopita alikuwa mkoani Iringa kikazi, vijijini huko wazee wa mamiradi na ma padiem, hana demu hana nini...
Inafahamika wakurugenzi na mameneja wengi wako likizo na wengine wanashughulikia masuala yao binafsi ya watoto zao waende shule week ijayo so maofisini mengi hakuna activities zozote zinazoendelea...
Wakulungwa! Hii Ndio itakuwa Salam yangu rasmi.
Wakulungwa!!!...
Wakulu. Mimi Nina familia imebarikiwa niseme ukweli wa wazi.
Na mabarikio yanatokana na kujituma na kutii wakubwa na wadogo...
Kuna watu wanadai ni wanaume ila nimefanya utafiti ni mashoga
Nipo serious Kwa sababu huwezi mtu kufurahia status Yako kimaisha na mtu aje aandike mbovu Kwa hasira sijui Malaya wewe.
Unaliwa...
Ghafla bin vuuuuu,
Wadau leo nimekaa na jamaa angu mmoja wakaribu tulikua katika mazungumzo mbali mbali yakimaisha lakini mwenzangu hakuonekana na furaha ile ya siku zote yani vibe lake lilikuwa...
Ndiyo shida za kuingiza mambo ya dini kwenye faragha binafsi haya. Kifupi ameokoka na huyu binti ni muimba sifa. Jambo la kushangaza akiwa ana ride kanipa mgongo hataki nilipekenyue tako wala...
Kama kawaida yangu Sina mengi sana ya KUSEMA lakini hili swala la ndoa nyingi kuharibika huanzia kwa wanawake.
Kwanza ndoa ni muunganiko wa mwanamke na mwanaume kuishi pamoja KATIKA mapito yao...
Sio mpenzi wa jf na hafagilii mitandao mitandao hii so hakuna noma.
Mwamba huyu alikutana na demu wa kishua yaan kishua haswa, mwana ni un employee kwa sasa, kama ujuavyo mjini maisha ni gharama...
Huyu binti tangu nasoma shule namuona akiwa mtoto anakimbia nje na kuingia ndani ya nyumba Yao akiwa mtupu bila nguo, MIMI nilikuwa nakabeba nakapeleka Kwa mama yake anakavisha nepi
Ilikuwa 2002...
Usiwe kama samaki atoae machozi baharini yakamezwa na maji ukajiona wewe ni nunda wa mapenzi.
Maumivu ya mapenzi ni makubwa Sana Kaka/Dada hivyo yakupasa ufanye maamuzi magumu kwa nyakati ngumu...
Natumai mko poa,
Nina girlfriend wangu tuliedumu kwa takribani miaka miwili sasa ila ktk hali nisiotarajia baada ya kushika ujauzito wenye kama mwezi na sehemu sasa, kaanza kunichukia bila...
Mimi BabaMorgan mwaka huu kidogo mambo yangu hayakuniendea vizuri hususani kipindi cha katikati ya mwaka(mwezi wa 6 & 7) kitu kilichopelekea kutoka sehemu niliyokuwapo nakuanza kusafiri bila ya...
Naomba ushauri wako, mimi nina miaka 37, naweza kusema kuwa sijaoa, lakini nilikua naishi na mwanamke ambaye ni kama mke wangu kwa miaka 10, hatukuwahi kufunga ndoa na nilikua sijawahi kukanyaga...
Salale
Wanawake Mungu anawaona, acheni visa chezeni game fair, sio poa unatumia mchezo wa kujiviringisha sana na mpapaso kama wote mwanzo wa mechi hadi mwisho wa mechi mgongo massage mwanzo...
Yule ambaye una malengo naye ndo anaye sumbuwa akili yako na kukupa stress kila kukicha
Na yule ambaye huna malengo naye ndo mwenye mapenzi ya kweli kwako
Me and my wife tuna siku muhimu ambayo tumepanga rasmi kwa ajiri ya kuwakumbuka wale wote ambao tushawah kuwapenda kimapenz kama sehemu ya maisha yetu kabla ya kufunga ndoa kati yangu na wife...
Jamani kama wewe unahisi una shidaa sikiliza redio za dini wapendwa utamkumbuka Mungu kila siku. kuna mdada ameomba ndoa yake ina shida saana sana akaulizwa why akasema mume ni dreva. Akapata bibi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.