Wakuu habari,
Kiukweli issue ya dini tofauti katika mahusiano inatesa sana, usiombe ikukute.
Huyu mwanamke ameamua kubadili dini na kuwa mlokole wakati tulikuwa Catholic wote, saizi muda wote...
Hivi wakuu kupenda ndio kitu gani? Mimi navutiwa sana na akina dada, na nikizamilia kumla nitafanya yote ili nimpate, but after that, ndo inakua mwisho wa habari.
Sasa huwa siwaelewi wale unakuta...
Natumaini mko salama katika ujenzi wa taifa hii ni story ya kweli kuhusu maisha yangu nimeamua leo kuisema ila kuna ambavyo mnaweza kujifunza.
Nilipomaliza chuo(nilisoma kilimo) niliamua kwenda...
Nilileta thread hapa ya Dr. Ceaser akiongelea uhalali wa kuoa mke zaidi ya mmoja..
Maoni yangu kama mwanamke ntaongea kile nilichogain kutoka huyu mchungaji
Kuna watu kama Yakobo, Abraham...
Salaam wakuu, leo nimeona niwajuze kuhusiana na kisa cha kushangaza kinachomuhusu mchezaji wa mpira Jermain Defoe.
Jermain defoe huyu ni mchezaji wa zamani wa soka katika timu za...
1. Mtambue uliyenaye hulka zake na tabia zake Usipomtambua mwanaume au mwanamke wako, itaiupa shida kujua nini anapenda, nini apendi au anapenda, tabia zake mbaya na nzuri, udhaifu wake. Hii...
Habari za harakati za maisha wananzengo,
Niiende kwa hoja moja kwa moja. Nina mke wangu ambae leo tunamiaka mitatu kasoro. Tumekuwa tukiishi vzr tu bila ugomvi na kama upo ile kupishana tu kauli...
Nisimchoshe MTU yoyote.
Katoto kazuri nilikachakata utamu.
Nilipata kadada kadogodogo juzi. Nikakaalika lodge Moja mafichoni.
Kalikuwa na hamu ingawa hakakuonesha waziwazi. Katika hangaika...
Siku zote wanaume wameendelea kuwa madaraja yaani wao pesa yao wakiishika inapitiliza kwenda na hasa kwa wanawake.
Ila katika haya makundi mawili bora yule ambaye ni mtu mzima anayejielewa yeye...
Katika mahusiano mahitaji ya kihisia huwa ni mahitaji ya kimsingi hususani suala zima la kujamiana mwanaume na mwanamke wake (Wenza). Kumekuwepo na maneno mengi ya kuonyesha umuhimu wa ngono...
1. Oga maji ya baridi na uingie kwenye chumba chako unacholala.
2. Zima televisheni na redio ili isikupigie kelele ... .
3. Washa feni au A.C ili kutoa hewa safi ndani ya chumba.
4. Sasa...
Happy new year 2023
Hivi inakuwaje wanaume wenzangu unaoa mwanamke
Anaongea sana iwe ndani ya nyumba, nje, kwenye simu yani yeye ni talkative unaweza kuwa unaongea nae kwenye simu huku akiwa...
Habari,
Kuna namba za ma x nimepotezana nao kitambo. Nikaamua mwaka huu namba ambazo hazina umuhimu ni kbra kupunguza storage. Nikaanza kuzipiga, yaani kumbe bado hawajanifuta; zaidi wameniambia...
Habari za leo ndugu na dada zangu wa hapa jukwaani. Natumai nyote wazima. Hongereni kwa walioudhuria ibada jumapili. Huku kwetu leo tumejifunza JINSI TUNAVYOWEZA KUMWIGA MUNGU WA REHEMA, namna...
Habari ya Uzima wanajamvi. Natumai wengi wetu, Mungu wetu wa Rehema ametuvusha Salama kufika mwaka 2023. Jambo la Kumshukuru sana Mungu.
Nijikite sasa kwenye Mada yetu husika wanajamvi. Kama...
Hellow dears
Ilikuwa morng nipo kwenye mwendokasi kutoka kimara mpaka kivukoni nilushuka pale garden tukawa natembea kuangalia pembeni nikamuona kijana wa kike na wakiume ambao teyali...
Hamjambo!
Sijui kwanini watu wa ndoa nyingi za watu wa bara hazidumu ukilinganisha na Ndoa nyingi za watu wa pwani sijajua shida ni nini aisee tafadhali labda watu wa bara mnaweza kunisaidia...
Nakumbuka mwaka 2010 ndiyo nilijiunga hapa, enzi hizo niko kidato cha tatu. Zama zile kulikuwa na jukwaa la wakubwa na ili ilitembelee ilikuwa ni lazima mods wakuunge.
Basi nikaomba kuungwa...
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la...
Niwatakie heri ya mwaka mpya 2023 wadau wote, Bila kupoteza muda na mameno mengi niende kwanye tatizo lililonileta labda mtaniasia kwa ushauri.
Labda nitaeleweka kwa mamsap.
Mimi ni baba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.